Sad [emoji24]Mwaka 1955 Wakati Congo ipo Chini ya Ubeligiji
-Baba mmoja wa kizungu Alinunua mtt wa kiafrika na kumuweka kwenye wavu kwajili ya watoto wake kuchezea kama mdoli,.
[emoji26][emoji26] wazungu ni [emoji706][emoji706] View attachment 2131673
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Mchumba tu kwa hili njembaView attachment 2131529
doooo...Mchumba tu kwa hili njembaView attachment 2131529
Tuache wauane hakuna huruma.Nashangaa Watanzania wanavyolia lia ilhali wakati wanasoma kuhusu ukoloni na utumwa kwenye vitabu walikua wanasoma Kama gazeti and funny stories.Mwaka 1955 Wakati Congo ipo Chini ya Ubeligiji
-Baba mmoja wa kizungu Alinunua mtt wa kiafrika na kumuweka kwenye wavu kwajili ya watoto wake kuchezea kama mdoli,.
[emoji26][emoji26] wazungu ni [emoji706][emoji706] View attachment 2131661
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Duh! Eti ehNafikiri alichofanya Russia ni kuwahi kushambulia kabla silaha zilizoingizwa toka west zikiwa hazijafungwa na mazoezi ya kuzitumia hayajafanyika!
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu huyu raisi wa Ukraine nimempenda bure jinsi ambavyo yuko tiyari kwa ajili ya kuitetea nchi yake hata kufa maana angekuwa mwingine sasa hivi angekuwa amesha ikimbia nchi.Ukraine was corrupt under Viktor Yanukovych aliyekuwa team Russia, kama unavyoona Lukashenko wa Belarus. Ukraine ilikuwa inaongozwa na remnants wa USSR wezi na hawajui modern economy wala hawawajibiki kwa raia. Ikatokea raia wakachoka kuchezewa wakafanya maandamano Maiden square (ingawa yalisaidiwa na Western countries kwa kiasi fulani). Yanukovich anakimbilia Urusi na fedha za hazina ya serikali.
Waliobaki ni walewale wamelelewa na mfumo wakaja wakapuyanga. Unamtoa Magufuli unamuweka Samia ila wote walizaliwa na kulelewa CCM. Unamtoa Samia unamuweka Januari Makamba au Nchemba ila wote ni walewale. Mwishowe rushwa haikuisha, jeshi bado likawa corrupt na disorganized, wafanyabishara wakubwa wakabaki ndio wamiliki wa kauli za serikali kupitia vibaraka wao.
Ukrainians wakagundua kumbe ukitaka kuondoa shida zote ondoa mfumo wa hizo shida usiondoe mtu pekee yake. Ukraine haikuwahi kuwa na Rais asiyepitia bungeni, baada ya kumtoa Yanukovych 2014 akakaimiwa na Spika, uchaguzi wa 2014 akashinda Petro Poroshenko akashindwa kuleta mageuzi, 2019 akatokea mchekeshaji huyu Volodymyr Zelensky akashinda. Kabadili mifumo, jeshi sio corrupt tena, hakuwahi kuwa mbunge wala mwanasiasa hivyo halindani na mtu wala hana wa kumlipa fadhila, hana team anajali utendaji, kaondoa uongozi wa jeshi uliopanda kimagumashi hata sifa hauna kaweka mkuu wa majeshi mdogo tu hata cheo kaishia Lieutenant General. Wizara zake za Ulinzi, Mawasiliano na Mambo ya Ndani naona zinapiga kazi nzuri sana. Balozi wake wa UN nimemkubali, Waziri wa Mambo ya Nje ndio usiseme.
Marekani imemwambia imkomboe imtoroshe akawajibu "Nataka silaha sihitaji usafiri". Kutoka kuwa Mpoki unavaa makatuni mpaka kuwa Rais gangwe!
Mkuu kwa ile video hakika Vita ni mbaya mno mnoNuzulati usilie bana.
vita haihusishi wanajeshi peke yake, hadi wananchi wanaweza kuwa na mchango refer kwenye vita ya kageraMkuu huyu raisi wa Ukraine nimempenda bure jinsi ambavyo yuko tiyari kwa ajili ya kuitetea nchi yake hata kufa maana angekuwa mwingine sasa hivi angekuwa amesha ikimbia nchi.
Ila alicho nikera ni kuwapa raia siraha ambao awana mafunzo yoyote huu ni uharifu wa kivita kwa mujibu wa sheria za kimataifa na atasabisha maelfu ya raia wake kuawa zaidi.
Alafu mkuu bado huja nipa ufafanuzi mzuri kwann una iponda Russia ya kwamba ni dhahifu ali ya kuwa mm naona imetumia muda mfupi sana kuingia mji mkuu tofati na nilivyo kuwa nategemea?
Mbona Marekani alitumia muda mwingi kufika Baghidad lakini licha ya kuwa na washirika kibao?
Kitendo Cha Raisi wa Ukraine kusambaza Siraha kwa Raia tayari hiyo nchi haitawaliki Tena. Hiyo ni Somalia Mpya kabisa,Marekani alikimbia Somalia baada ya Kuona nyomi ya Raia inakuja na AK-47. Kufanya Uchunguzi akagundua Kila Nyumba moja Mji wa Mogadishu ina RPG ya Kutungulia Ndege,hapo akaona hii Vita haiwezekani Tena.Na hicho hakiwezekani kwa sababu rais wengi wanachukua silaha ku defend miji yao,Urusi atafakiniwa kuiteka Kyiv lakini in long run nchi haitatawalika hata siku moja...
Wewe ndiye mpumbavu usimtukane mjomba angu Dume la dunia Vladmyr Putin kama kado unakaa kwenu usidhani ni wote afu ubakize maneno asije kukusikia ukajikuta marinda hayapo pia uwe na adabu unapolitaja jina la PUTIN JOGOO LA DUNIA nalog off.Putin ni msssssenge sana yule qumer. Na wanaomshabikia ni watoto wadogo wanaokaa kwa wazazi wao. Huwezi ukawa una interest na uchumi halafu ukafurahia vita
Basi wakiuawa tusianze kulialia kuwa Urusi wameua raia wa Ukraine.As long as wameshika silaha wao ni wapiganaji.Tusianze tafuta huruma kwenye mass media.vita haihusishi wanajeshi peke yake, hadi wananchi wanaweza kuwa na mchango refer kwenye vita ya kagera
Angalia RT kubalansi stori unayolishwa na bbcPutin ni msssssenge sana yule qumer. Na wanaomshabikia ni watoto wadogo wanaokaa kwa wazazi wao. Huwezi ukawa una interest na uchumi halafu ukafurahia vita
Natamani huyo Pilot apewe F-22 Raptor na Ukraine ipewe hata DAVID SLING ya Israel,hapo Mambo yatakuwa Yamebalance Kidogo. Mambo ya kupigana huku mmoja kafungwa Kama Miguu na Mikono ni Uonevu.Manina Russia wakutane na Poland ana kwa ana hiyo vita itakuwa sio ya kitoto,Poland wana hasira za kihistoria na Russia,Russian infantry ni wakawaida sana sio kama dunia inavyowapamba kabisa..
Kwanza hadi sasa ni siku ya 4 Russia imeshindwa kuweka No fly zone hapo Kyiv pamoja na Airforce power walionayo,ni kitu cha kushangaza sana.
Yule pilot wa Ukraine wanamuita nickname Ghost of Kyiv ameshaka kula jets 4-6 za Urusi hadi sasa,ikiwemo the most advanced Su-35 ila jamaa anda Mig-29...Jamaa ni mzee tu late 50s...
Wewe hauna Update kumbe. Mpaka Sasa Rais 260,000 wa Ukraine walishabeba Siraha na Vilipuzi. Hii Vita ni Ngumu endapo Rais wa Ukraine akishupaza Shingo.Boots on ground ni risky sana hainaga mwenyewe aisee,Na sasa raia karibia 30k wa Kyv tu wana silaha mkononi za kuwaua warusi wakiingia Kyiv,Hata Russia akishinda hii vita atapata tabu sana kuitawala Kyiv.
Hakuna rekod ambayo vita vilipiganwa wakafa wanajeshi peke yakeBasi wakiuawa tusianze kulialia kuwa Urusi wameua raia wa Ukraine.As long as wameshika silaha wao ni wapiganaji.Tusianze tafuta huruma kwenye mass media.