Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Ukraine si ni nchi huru?
Sasa mbona kama Russia anawapangia wenzie? Kwani ye hofu yake nini km NATO wakiweka hizo silaha huko Ukraine? Ye si anasifiwa ana nguvu za kivita,na jeshi nk!
Basi km ni hivyo anawaogopa NATO
Ndo maana huwa nawatukana wanaoshobokea hawa nguruweTuache wauane hakuna huruma.Nashangaa Watanzania wanavyolia lia ilhali wakati wanasoma kuhusu ukoloni na utumwa kwenye vitabu walikua wanasoma Kama gazeti and funny stories.
#KARMA
Kutoka Marekani Hadi Iraq ni 6800Km. Ilichukua siku 17 Marekani Kupeleka Majeshi yake laki moja na Nusu nchini Kuwait. Vita vilianza siku ya 20 ambapo ndani ya siku 7 Saddam alikuwa kashakimbia. Pia,Sadam Hussein alikuwa na Siraha Nyingi na Jeshi kubwa Kuliko Ukraine.USA kwenda Iraq tu alikusanya kijiji cha Dunia na alichukuwa siku 28 Russia siku mbili tu yuko mlangoni capital city. Hata huko nyumba history inaonesha aliyemuweza Germany ni Russia ndio aliokoa bara la ulaya. Sasa wewe amini hivyo na ndio maana hujasikia hao unaona wana nguvu hata mmoja kuingilia na Putin katema mkwara tu wote kimyaa. Jana Rais wa Ukraine anasema kawapigia wote kimyaa.
Ndiyo hivyo wasitupigie makelele acha wafe.Hapa kwetu Africa kila kukicha raia wanakufa ilhali watu wanachukulia poa.Kisa kapigwa mzungu gumzo kila mahali.Hakuna rekod ambayo vita vilipiganwa wakafa wanajeshi peke yake
chenobyl ishachukuliwa mkuu ipo chin ya russia upo dunia ganiAcha unazi mkuu vibaraka Ndio Nini? Russia always ni loser. Katika watu wanaopotezaga idadi kubwa ya wanajeshi vitani ni Urusi katika vita vyote.
Hata Ukraine hatatoa siraha zake zote. Kumbuka anacho kinu Cha Nyuklia. Unajua alikuwa anateengeneza chapati kule chenobly?
Marekani hakuwa na mpango wa kufika mapema Baghdad. Ukitafuta plans zao hawakuwa wanapiga mbio mbio kuingia mjini ndio maana hukuona popote mwanajeshi wa US anaiba vyakula wala kuishiwa mafuta njiani. Warusi wameanza ishiwa vyakula na mafuta, hawapati supplies that means hawakujipanga kutumia muda mwingi.Mkuu huyu raisi wa Ukraine nimempenda bure jinsi ambavyo yuko tiyari kwa ajili ya kuitetea nchi yake hata kufa maana angekuwa mwingine sasa hivi angekuwa amesha ikimbia nchi.
Ila alicho nikera ni kuwapa raia siraha ambao awana mafunzo yoyote huu ni uharifu wa kivita kwa mujibu wa sheria za kimataifa na atasabisha maelfu ya raia wake kuawa zaidi.
Alafu mkuu bado huja nipa ufafanuzi mzuri kwann una iponda Russia ya kwamba ni dhahifu ali ya kuwa mm naona imetumia muda mfupi sana kuingia mji mkuu tofati na nilivyo kuwa nategemea?
Mbona Marekani alitumia muda mwingi kufika Baghidad lakini licha ya kuwa na washirika kibao?
Exactly.Ndo maana huwa nawatukana wanaoshobokea hawa nguruwe
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Ni sawa lakini kumbuka Urusi akipeleka makombora Cuba au Venezuela au Argentina Marekani hatakubali.I don't give a damn nini umelishwa au hujalishwa. Vita is never an option kwenye ulimwengu wa sasa. Never. Putin is a savage thick cuuuunnnnt.
Propaganda tu izo
Let them die,I don't feel sorry!!!waanze kuwaonea huruna Congolese wanaokufa dailyMwaka 1955 Wakati Congo ipo Chini ya Ubeligiji
-Baba mmoja wa kizungu Alinunua mtt wa kiafrika na kumuweka kwenye wavu kwajili ya watoto wake kuchezea kama mdoli,.
[emoji26][emoji26] wazungu ni [emoji706][emoji706] View attachment 2131661
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
So hizo nuclear anazo pekee duniani? akiisambaratisha dunia hiyo urusi sio part ya dunia au wao watakua wapo Mars? Punguzeni ushabiki mandazi sio Yanga na Simba hiiNATO wakiingia kwenye vita urusi atamlazimu atumie silaha za Nuclear aisambaratishe dunia yote