Naona wewe hutaki kujuwa ukweli, wameshtukizwa? acha hizo bwana hata kama chuki basi usipindishe facts watu miezi wanaambiwa jamaa wanaingia unasema umeshtukizwa? hata kama kushtukizwa ndio siku moja watu wanachukua space yote na watu wako mjini Kiev, nenda kafungue Fox news watu wana report ndani ya Kiev unasema wamekomboa? ikiwa Airport tu wamechukuwa. Unashtukizwa basi ndio dhaifu huna hata inteligence poor country. Sasa hivi kaomba pooo kwa Putin tuongee kokote. vita sio propaganda kwenye TV wakubwa wenyewe NATO wamefyata mkia wanatizama kwa mbali.Kwanini Urusi imeshitukiza Uvamizi? Walisema hawatavamia lakini wakavamia,huoni waliogopa Jeshi la Ukraine kujipanga na ndio maana wakateka maeneo mengi faster. Lakini Leo ni siku ya 3 bado Kievu imeshindikana kutekwa. Baadhi ya Kambi za Jeshi za Ukraine Zimekombolewa.
Pia kumbuka Saddam Hussein alikuwa na Wanajeshi Active Milioni Moja + Plus reserve Million 4 + Wapiganaji wa Kiislamu kutoka pande zote Middle East hasa Syria na Egypt. Ukraine ina Active Millitary Personnel 160,000 TU.
Kiufupi,Ukraine hakujua Kama Urusi itavamia ndio maana ndege za Urusi zilifanikiwa kuharibu Mifumo ya Ulinzi wa Anga ya Ukraine Aina ya Pantsir na S-200 haraka Sana. Ukraine hakujipanga na Vita siku ya Tarehe 24 make Lavrov alitoka kuongea na wandishi wa Habari kwamba hawana Mpango wa Kuvamia Ukraine.
Zelensky said Thursday that "according to our information, the enemy marked me as target №1, my family - as target №2. They want to destroy Ukraine politically by destroying the head of state. We have information that enemy sabotage groups have entered Kyiv."Kwanini Urusi imeshitukiza Uvamizi? Walisema hawatavamia lakini wakavamia,huoni waliogopa Jeshi la Ukraine kujipanga na ndio maana wakateka maeneo mengi faster. Lakini Leo ni siku ya 3 bado Kievu imeshindikana kutekwa. Baadhi ya Kambi za Jeshi za Ukraine Zimekombolewa.
Pia kumbuka Saddam Hussein alikuwa na Wanajeshi Active Milioni Moja + Plus reserve Million 4 + Wapiganaji wa Kiislamu kutoka pande zote Middle East hasa Syria na Egypt. Ukraine ina Active Millitary Personnel 160,000 TU.
Kiufupi,Ukraine hakujua Kama Urusi itavamia ndio maana ndege za Urusi zilifanikiwa kuharibu Mifumo ya Ulinzi wa Anga ya Ukraine Aina ya Pantsir na S-200 haraka Sana. Ukraine hakujipanga na Vita siku ya Tarehe 24 make Lavrov alitoka kuongea na wandishi wa Habari kwamba hawana Mpango wa Kuvamia Ukraine.
Mbona kama hizi siku 2 umechanganyikiwa Natalia? Punguza presha kidogo kwanza
Nikama wana weka "V" Estonia,poland, Romania.Haya sasa NATO hao wanaingia Astonia (NATO's member country) nchi inayopakana na Urusi. Mkuu wa NATO amesema Urusi ikiishambulia tu mwanachama yeyote basi wao hawatasita kuingia rasmi kwenye vita maana vikosi vyote viko standyby
Bado una msimamo ule ule?Take it from me, hakuna vita hapo!
Kwa watu wa dini wenye mioyo minyoofu, hiyo ni ishara kubwa sana kwamba sasa uovu wa wanadamu umefikia kikomo kama ilivyokuwa wakati wa Gharika na Sodoma na Gomora.
Mungu yule wa Gharika na Sodoma na Gomora ndiye yule yule ambaye tunaye sasa. Hajabadilika.
Amekuwa na subira kwa muda mrefu, sasa:"Enough is enough "
Propaganda pia ni mbinu za kijeshi walisema hivyo Ili kumuhadaa ukraine a relax asijiandaeKwanini Urusi imeshitukiza Uvamizi? Walisema hawatavamia lakini wakavamia,huoni waliogopa Jeshi la Ukraine kujipanga na ndio maana wakateka maeneo mengi faster. Lakini Leo ni siku ya 3 bado Kievu imeshindikana kutekwa. Baadhi ya Kambi za Jeshi za Ukraine Zimekombolewa.
Pia kumbuka Saddam Hussein alikuwa na Wanajeshi Active Milioni Moja + Plus reserve Million 4 + Wapiganaji wa Kiislamu kutoka pande zote Middle East hasa Syria na Egypt. Ukraine ina Active Millitary Personnel 160,000 TU.
Kiufupi,Ukraine hakujua Kama Urusi itavamia ndio maana ndege za Urusi zilifanikiwa kuharibu Mifumo ya Ulinzi wa Anga ya Ukraine Aina ya Pantsir na S-200 haraka Sana. Ukraine hakujipanga na Vita siku ya Tarehe 24 make Lavrov alitoka kuongea na wandishi wa Habari kwamba hawana Mpango wa Kuvamia Ukraine.
Walivyoingia iraq na libya hao ni wanachama wa NATO?Haya sasa NATO hao wanaingia Astonia (NATO's member country) nchi inayopakana na Urusi. Mkuu wa NATO amesema Urusi ikiishambulia tu mwanachama yeyote basi wao hawatasita kuingia rasmi kwenye vita maana vikosi vyote viko standyby
Sikupata faida yeyote Ile haya mambo nayaongelea kwa kiasi situmii nguvu nyingi sana, na marekani alikosea sana hata wao wanajuakwani Marekani alivyovamia Iraq na Syria ulipata faida gani?!!
Bila kuuwa watu magaidi wa Isisi hali Ingekuwa tete sana.Ilikuwa ni lzm baadhi watolewe kafara Ili wengi wapone.Umejificha ficha mwisho umeonyesha kua una support USA
Wewe mbona wakati US anaua watu huko Afghanistan na Iraq ulikua unachekelea? Au wale sio watu?
Mmarekani wa Buza una hali mbaya sana huko sasa hivi.
Marekani ana influence mambo mengi sana mfano wewe humpendi marekani lakin unatumia bidhaa zake mfano facebook, Instagram, android, iphone n.k hivyo ni baadhi mmarekani kumeupaka ni kujiondoa kwenye mfumo wa duniaMwisho wa Putin ni Mwisho wa Russia ? Jiulize Sentiments za Average Russian kuhusu Other European Countries na America
Unadhani wote wanafurahia kudeal na kina Europe na America; Anaweza kutokea China; Nchi za Kiarabu pamoja na wasiofungamana na upande wowote
Kwanini hata watu wanatumia dollar..., China, Brazil na Russia na wengine wakiamua kuanza kutumia na ku-deal na currency nyingine unadhani ni nani wa kupoteza zaidi ya America ?
Ni vigumu ku-predict ila sio rahisi ku-squueze Russia kama ilivyo kwa Iran au nchi nyingine; vilevile wa-Russia wengi washazoea maisha ya ku-hassle sio kama hizo other countries kidogo tu watu wanaandamana na kuleta shinikizo kwa serikali zao...
Ukiangalia bbc na cnn lazima ule haya matango pori
Ndio naenda nao Ukraine kuunga juhudihv huo mguu kwenye profile ni wako?