Warusi hawajakubali kushindwa vita na Magharibi!
Walichofanya Wamerakani na Mshirika wao Gorbachev ilikiwa ni kushinda pambano sio Vita!
Ni ngumu sana kuwashinda watu wenye Imani na kitu Fulani!(CCM mjinze kitu hapa)
Bila shaka hiki ni kiashiria kuwa Vita vya Tatu vinawezeka kitokea kabisa !
Kama sio Mgogoro wa Israel na Palestina /Waarabu basi ....kuibuka Tena kwa Vita Baridi!
Kilichotokea Cuban Missile Crisis miaka ya 60 kinaweza kutokea tena!
Na haya yakitokea Afrika tutkuwa tunasubiri tu kufa kama sisimizi,kwenye moto wa nyika!
Walichofanya Wamerakani na Mshirika wao Gorbachev ilikiwa ni kushinda pambano sio Vita!
Ni ngumu sana kuwashinda watu wenye Imani na kitu Fulani!(CCM mjinze kitu hapa)
Bila shaka hiki ni kiashiria kuwa Vita vya Tatu vinawezeka kitokea kabisa !
Kama sio Mgogoro wa Israel na Palestina /Waarabu basi ....kuibuka Tena kwa Vita Baridi!
Kilichotokea Cuban Missile Crisis miaka ya 60 kinaweza kutokea tena!
Na haya yakitokea Afrika tutkuwa tunasubiri tu kufa kama sisimizi,kwenye moto wa nyika!