LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Warusi hawajakubali kushindwa vita na Magharibi!
Walichofanya Wamerakani na Mshirika wao Gorbachev ilikiwa ni kushinda pambano sio Vita!
Ni ngumu sana kuwashinda watu wenye Imani na kitu Fulani!(CCM mjinze kitu hapa)
Bila shaka hiki ni kiashiria kuwa Vita vya Tatu vinawezeka kitokea kabisa !
Kama sio Mgogoro wa Israel na Palestina /Waarabu basi ....kuibuka Tena kwa Vita Baridi!
Kilichotokea Cuban Missile Crisis miaka ya 60 kinaweza kutokea tena!
Na haya yakitokea Afrika tutkuwa tunasubiri tu kufa kama sisimizi,kwenye moto wa nyika!
 
Kwanini Urusi imeshitukiza Uvamizi? Walisema hawatavamia lakini wakavamia,huoni waliogopa Jeshi la Ukraine kujipanga na ndio maana wakateka maeneo mengi faster. Lakini Leo ni siku ya 3 bado Kievu imeshindikana kutekwa. Baadhi ya Kambi za Jeshi za Ukraine Zimekombolewa.

Pia kumbuka Saddam Hussein alikuwa na Wanajeshi Active Milioni Moja + Plus reserve Million 4 + Wapiganaji wa Kiislamu kutoka pande zote Middle East hasa Syria na Egypt. Ukraine ina Active Millitary Personnel 160,000 TU.

Kiufupi,Ukraine hakujua Kama Urusi itavamia ndio maana ndege za Urusi zilifanikiwa kuharibu Mifumo ya Ulinzi wa Anga ya Ukraine Aina ya Pantsir na S-200 haraka Sana. Ukraine hakujipanga na Vita siku ya Tarehe 24 make Lavrov alitoka kuongea na wandishi wa Habari kwamba hawana Mpango wa Kuvamia Ukraine.
Naona wewe hutaki kujuwa ukweli, wameshtukizwa? acha hizo bwana hata kama chuki basi usipindishe facts watu miezi wanaambiwa jamaa wanaingia unasema umeshtukizwa? hata kama kushtukizwa ndio siku moja watu wanachukua space yote na watu wako mjini Kiev, nenda kafungue Fox news watu wana report ndani ya Kiev unasema wamekomboa? ikiwa Airport tu wamechukuwa. Unashtukizwa basi ndio dhaifu huna hata inteligence poor country. Sasa hivi kaomba pooo kwa Putin tuongee kokote. vita sio propaganda kwenye TV wakubwa wenyewe NATO wamefyata mkia wanatizama kwa mbali.
 
Kwanini Urusi imeshitukiza Uvamizi? Walisema hawatavamia lakini wakavamia,huoni waliogopa Jeshi la Ukraine kujipanga na ndio maana wakateka maeneo mengi faster. Lakini Leo ni siku ya 3 bado Kievu imeshindikana kutekwa. Baadhi ya Kambi za Jeshi za Ukraine Zimekombolewa.

Pia kumbuka Saddam Hussein alikuwa na Wanajeshi Active Milioni Moja + Plus reserve Million 4 + Wapiganaji wa Kiislamu kutoka pande zote Middle East hasa Syria na Egypt. Ukraine ina Active Millitary Personnel 160,000 TU.

Kiufupi,Ukraine hakujua Kama Urusi itavamia ndio maana ndege za Urusi zilifanikiwa kuharibu Mifumo ya Ulinzi wa Anga ya Ukraine Aina ya Pantsir na S-200 haraka Sana. Ukraine hakujipanga na Vita siku ya Tarehe 24 make Lavrov alitoka kuongea na wandishi wa Habari kwamba hawana Mpango wa Kuvamia Ukraine.
Zelensky said Thursday that "according to our information, the enemy marked me as target №1, my family - as target №2. They want to destroy Ukraine politically by destroying the head of state. We have information that enemy sabotage groups have entered Kyiv."

Hiyo CNN Raisi mwenyewe kakubali jamaa wako Samora Avenue
 
1645873030786.png

A firefighter walks between the ruins of a downed aircraft in Kyiv on February 25.
 
Kitu kimoja nimeshangaa ni ukraine ni nchi ya vijana .Rais age 44 na members of parliament ni umri kati ya Miaka 20 -45 .Serikali nzima wafanyakazi wa serikali na member of Parliament wote wamevaa nguo za jeshi na bunduki wanaipigania ukraine .Je wewe umejifunza ninj kuhusu Ukraine .
1F0AC00A-3CA0-467A-8FE2-796672EFBE73.jpeg
3B4D7505-9D86-4787-A485-5C8F27A936A9.jpeg
 
1645873089172.png

The body of a Russian soldier lies next to a Russian vehicle outside Kharkiv, Ukraine, on February 25.
 
Haya sasa NATO hao wanaingia Astonia (NATO's member country) nchi inayopakana na Urusi. Mkuu wa NATO amesema Urusi ikiishambulia tu mwanachama yeyote basi wao hawatasita kuingia rasmi kwenye vita maana vikosi vyote viko standyby
Nikama wana weka "V" Estonia,poland, Romania.
 
Take it from me, hakuna vita hapo!

Kwa watu wa dini wenye mioyo minyoofu, hiyo ni ishara kubwa sana kwamba sasa uovu wa wanadamu umefikia kikomo kama ilivyokuwa wakati wa Gharika na Sodoma na Gomora.

Mungu yule wa Gharika na Sodoma na Gomora ndiye yule yule ambaye tunaye sasa. Hajabadilika.

Amekuwa na subira kwa muda mrefu, sasa:"Enough is enough "
Bado una msimamo ule ule?
 
Russia sio iraq, russia sio libyq, russia sio afghanistan......
Narudia tena kibalansi stori angalia western media kama bbc, cnn aljazeera etc kisha angalia pia chaleni za china ma RT ya russia. Ukiangalia upande mmoja utakula sana matango pori
 
Kwanini Urusi imeshitukiza Uvamizi? Walisema hawatavamia lakini wakavamia,huoni waliogopa Jeshi la Ukraine kujipanga na ndio maana wakateka maeneo mengi faster. Lakini Leo ni siku ya 3 bado Kievu imeshindikana kutekwa. Baadhi ya Kambi za Jeshi za Ukraine Zimekombolewa.

Pia kumbuka Saddam Hussein alikuwa na Wanajeshi Active Milioni Moja + Plus reserve Million 4 + Wapiganaji wa Kiislamu kutoka pande zote Middle East hasa Syria na Egypt. Ukraine ina Active Millitary Personnel 160,000 TU.

Kiufupi,Ukraine hakujua Kama Urusi itavamia ndio maana ndege za Urusi zilifanikiwa kuharibu Mifumo ya Ulinzi wa Anga ya Ukraine Aina ya Pantsir na S-200 haraka Sana. Ukraine hakujipanga na Vita siku ya Tarehe 24 make Lavrov alitoka kuongea na wandishi wa Habari kwamba hawana Mpango wa Kuvamia Ukraine.
Propaganda pia ni mbinu za kijeshi walisema hivyo Ili kumuhadaa ukraine a relax asijiandae
 
Haya sasa NATO hao wanaingia Astonia (NATO's member country) nchi inayopakana na Urusi. Mkuu wa NATO amesema Urusi ikiishambulia tu mwanachama yeyote basi wao hawatasita kuingia rasmi kwenye vita maana vikosi vyote viko standyby
Walivyoingia iraq na libya hao ni wanachama wa NATO?
 
Umejificha ficha mwisho umeonyesha kua una support USA

Wewe mbona wakati US anaua watu huko Afghanistan na Iraq ulikua unachekelea? Au wale sio watu?

Mmarekani wa Buza una hali mbaya sana huko sasa hivi.
Bila kuuwa watu magaidi wa Isisi hali Ingekuwa tete sana.Ilikuwa ni lzm baadhi watolewe kafara Ili wengi wapone.
 
Mwisho wa Putin ni Mwisho wa Russia ? Jiulize Sentiments za Average Russian kuhusu Other European Countries na America

Unadhani wote wanafurahia kudeal na kina Europe na America; Anaweza kutokea China; Nchi za Kiarabu pamoja na wasiofungamana na upande wowote

Kwanini hata watu wanatumia dollar..., China, Brazil na Russia na wengine wakiamua kuanza kutumia na ku-deal na currency nyingine unadhani ni nani wa kupoteza zaidi ya America ?

Ni vigumu ku-predict ila sio rahisi ku-squueze Russia kama ilivyo kwa Iran au nchi nyingine; vilevile wa-Russia wengi washazoea maisha ya ku-hassle sio kama hizo other countries kidogo tu watu wanaandamana na kuleta shinikizo kwa serikali zao...
Marekani ana influence mambo mengi sana mfano wewe humpendi marekani lakin unatumia bidhaa zake mfano facebook, Instagram, android, iphone n.k hivyo ni baadhi mmarekani kumeupaka ni kujiondoa kwenye mfumo wa dunia
 
Wanajamii tuanomba tupate update sahihi Vita ya Russia na Ukraine mji mkuu Kiev.
Mnakaribishwa
 
Back
Top Bottom