T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Mzee hiyo taarifa ni ya uongo! Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana zinazowasaidia kipindi hiki cha vita. Warusi wakizisoma zinawachanganya na waanaandamana nchini kwao. Hivyo Putin anapata pressure ndani ya nchi.
Kingine ni morali. Ina busti morali ya jeshi na raia ndani ya nchi kupambana na Urusi. Taarifa uliyoiweka mamlaka ya Uturuki imekanusha baada ya Zelensky ku-tweet hivyo. Nusu saa iliyopita walishakanusha hiyo habari.
View attachment 2132074
Yani humu mijitu inajiandikia andikia tu gademshit!Putin confirmed dead cnn news now
Muda ni Mwl. mzuri.Wengi hawataki kukubali ukweli huu kwamba hii vita Putin kaingizwa chaka, na ajiandae kwenda kuwa mkimbizi China. Ufaransa ashaanza kutanguliza msaada wa silaha kabisa. Baada ya hilo kombora kuangushwa Poland Kitachofata itakuwa ni jeshi na sio msaada wa silaha peke yake.
🤣🤣😂😂Wale wanaokufa na njaa kila siku. Uchumi wao unazidiwa hata na huu wa kwetu. Kiduku bure kabisa.
Angalia nchi zilizobaki na Russia. Majirani zake wote wanamkimbia. Kabaki na madikteta tu.Bado ana nguvu,ndio maana unaona USA ana bwabwaja,hasogei kwenye uwanja wa vita.
Oyaa acha hizo basi... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaan wewe ujue huo mpango na URUSI wasijue??Inasemekana ishapangwa kabisa vijana wa myahudi (jeshi la Ukraine) watafute kombora moja tu la Mrusi walivugumize Poland ili wanaume wa kazi wakiongozwa na baba yao USA waingie kazini kumalizia mission yao. Ikumbukwe kwamba Poland ni moja kati ya nchi wanachama wa NATO waliokaribu kabisa na ukanda huu wa vita. Na kwa vile sheria za NATO zinaruhusu mataifa hayo kuishambulia nchi yoyote inayomvamia mwanachama wao, basi hii ndio itakuwa njia rahisi ya wao kutimiza malengo yao walioyapanga muda mrefu. Ikumbukwe pia katika siku za hivi karibuni za mzozo huu Marekani na baadhi ya nchi wanachama wa Umoja huo wa NATO wamekuwa wakipeleka silaha nzito nzito na wanajeshi zaidi katika nchi ya Poland, Lithuania na baadhi ya nchi zingine wanachama zilizo katika ukanda huo, lengo ni kutaka kutengeneza mazingira ya kuivamia Urusi kupitia kila upande wa nchi hizo wanachama ambazo tayari kwa muda mrefu nchi hizo zina silaha na wanajeshi wa NATO karibu na mipaka ya Russia. Kitendo cha Mrusi kuivamia Ukraine ambayo bado haijawa mwanachama wa NATO wala umoja wa Ulaya huku akiziacha nchi ambazo tayari zishajiunga umoja huo muda mrefu na ni jirani zake, kimewashangaza wengi. Kama lengo ni kuzuia upanuzi wa NATO katika eneo hilo anaziachaje nchi jirani zake kama Latvia, Estonia na Lithuania ziendelee kutamba na silaha hizo za NATO badala yake anaenda kuivamia nchi ambayo bado haijafikiriwa hata kuwa mwanachama halisi wa umoja huo?
View attachment 2132090
View attachment 2132091
An 26 ni Nini?Unachokataa ni nini? Hii ni taarifa ya Zelensky.
View attachment 2132087
Hii ni taarifa ya kutoka Uturuki kukanusha hiya taarifa.
View attachment 2132088
Ni juu yako! Kuchagua kuamini au kutoamini. Muda huu An-26 ya Ukraine imelipuliwa.
Yaan TZ tunamzidi NORTH KOREA?? are you serious mkuu?? Sisi tunaweza kujiendesha bila misaada??Wale wanaokufa na njaa kila siku. Uchumi wao unazidiwa hata na huu wa kwetu. Kiduku bure kabisa.
Ninachotaka kukuonyesha ni kwamba hakuna jambo utakalolijua wewe uliyepo huku halafu wenyevita vyao wasilijue boss. Kama unajua ni propaganda na ni kweli ni propaganda basi na russia wanajua ni propaganda.Unachokataa ni nini? Hii ni taarifa ya Zelensky.
View attachment 2132087
Hii ni taarifa ya kutoka Uturuki kukanusha hiya taarifa.
View attachment 2132088
Ni juu yako! Kuchagua kuamini au kutoamini. Muda huu An-26 ya Ukraine imelipuliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana na Facebook, mimi nashangaa wamepata wapi muda wa kuhesabu maiti?
Soma acha porojo, tatizo hamtaki kusoma ila mnapenda tu ushabik.Yaan TZ tunamzidi NORTH KOREA?? are you serious mkuu?? Sisi tunaweza kujiendesha bila misaada??
Nina wivu na Russia, Eukrain au nina wivu na wewe? Una stress.Jamaa una wivu juu ya kutojua kuelewa kinachoendelea. Yani unaona umepoteza sana ndio maana emoji za kujichekesha haziishi kwako. Kuna mada za ufyatuaji matofali, kilimo cha pilipili, ufugaji wa mabata, n.k zipo unaweza enda kuchangia, humu huna tija unaongeza emoji tu.
Hujui unachopinga, hutoi facts wala huna source za info kazi kubisha. Wenzako wanatoa hoja we unapinga kisa ni "Watanzania"
Urudi,urudi,urudi?????Urudi chini ya Putin, wamepigana Vita 7 na zote wameshinda.
In fact kwenye hostoria yote ya vita vya urusi... HAWAJAWAH KUSHINDWA.
Ni suala la muda , serikali ya Kyiv alichofanya ,nikuweka Majeshi mengi kwenye mji mkuu, ndio sababu Urudi wanapata shida .
Ila lazima watoboe..... Urudi keshapigwa vikwazo, hana tena cha kupoteza, ni kupiga tuu.
Yaan nikm Tundu Lissu alivyopigwa Risasi alafu akapona .
Unakatwa na mashetaniPutin confirmed dead cnn news now
Na wewe umepata wapi reliable sources wakati hauko uwanja wa vita? Punguzeni ushabiki maandazi...Achana na Facebook, mimi nashangaa wamepata wapi muda wa kuhesabu maiti?
80% ya jeshi la Mrusi bado lipo mpakani.Sviatlana Tsikhanouskaya mwanaharakati wa Belarus anafanya mobilization afanye mapinduzi amuondoe Alexander Lukashenko aliyepitisha majeshi ya Urusi kwake kuingia Ukraine.
Kuna raia 50 wa Belarus wamejitolea kuipigania Ukraine wako frontline. Urusi inaonekana haijatumia wanajeshi wazoefu imeleta wengine ni drafted
Tuseme chanzo ni Marekani na washirika wake kutaka kuweka silaha zao za Nuke Ukraine kwa kupitia mgongo wa Ukraine kujiunga na NATO.
Mkataba wa Minsk uliosainiwa sijui miaka mingapi iliweka wazi kwamba NATO haitaendelea kujitanua kuelekea upande wa Urusi hivyo kitendo cha NATO kutaka kupokea Ukraine ni kuvunja mkataba huo.
Hii ndiyo maana Putin amezionya Finland na Sweden nao wakijifanya kutaka kujiunga na NATO watapigwa vibay
Mkuu wangu, soma tena hiyo Minsk agreement inasema nini. Hakuna hayo mambo ya NATO.Tuseme chanzo ni Marekani na washirika wake kutaka kuweka silaha zao za Nuke Ukraine kwa kupitia mgongo wa Ukraine kujiunga na NATO.
Mkataba wa Minsk uliosainiwa sijui miaka mingapi iliweka wazi kwamba NATO haitaendelea kujitanua kuelekea upande wa Urusi hivyo kitendo cha NATO kutaka kupokea Ukraine ni kuvunja mkataba huo.
Hii ndiyo maana Putin amezionya Finland na Sweden nao wakijifanya kutaka kujiunga na NATO watapigwa vibaya.