LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Sviatlana Tsikhanouskaya mwanaharakati wa Belarus anafanya mobilization afanye mapinduzi amuondoe Alexander Lukashenko aliyepitisha majeshi ya Urusi kwake kuingia Ukraine.
Kuna raia 50 wa Belarus wamejitolea kuipigania Ukraine wako frontline. Urusi inaonekana haijatumia wanajeshi wazoefu imeleta wengine ni drafted
 
 
Muda ni Mwl. mzuri.

Tusubiri.
 
Oyaa acha hizo basi... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaan wewe ujue huo mpango na URUSI wasijue??
 
Hivi vita kwa sasa bado ila pale warusi watakapoingia kwenye jiji kama Kiev na wanajeshi wa Ukraine kuvua magwanda na kuvaa kiraia ndio warusi wataimba kikwao.

Kule nyumbani Russia wananchi wataanzisha maandamano nchi nzima kudai askari wao warudi nyumbani baada ya kuanza kuona mifuko ya plastiki zenye maiti za wanajeshi wao zikirejeshwa nyumbani.

Huo muda unakuja na hauko mbali na tena itakuwa ni mbaya kuliko ile ya wamarekani kule Iraq.

My Take: Inaonekana huu ndio mwisho wa utawala wa mbabe Putin na atakuwa ni Hitler mwingine sidhani kama mwaka 2023 Russia itakuwa tena na Putin kama rais wao.

Ninachoona, baada ya Putin kuondoka "Post Putin Russia", nchi hiyo itabadilika sana na itakuwa kama Japan au Ujerumani kwani wataachana kabisa na mambo ya vita "Belligerency" na watajikita zaidi kwenye mambo ya maendeleo ambapo baada ya miongo kadhaa watakuja kuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani.
 
Unachokataa ni nini? Hii ni taarifa ya Zelensky.

View attachment 2132087

Hii ni taarifa ya kutoka Uturuki kukanusha hiya taarifa.
View attachment 2132088
Ni juu yako! Kuchagua kuamini au kutoamini. Muda huu An-26 ya Ukraine imelipuliwa.
Ninachotaka kukuonyesha ni kwamba hakuna jambo utakalolijua wewe uliyepo huku halafu wenyevita vyao wasilijue boss. Kama unajua ni propaganda na ni kweli ni propaganda basi na russia wanajua ni propaganda.
 
Nina wivu na Russia, Eukrain au nina wivu na wewe? Una stress.
 
Urudi,urudi,urudi?????
 
80% ya jeshi la Mrusi bado lipo mpakani.

Kuna wanamgambo wa majimbo yaliyojitoa Ukraine nao wanapambana.

Kuna wanamgambo 1000 kutoka Chechen jana wamejitolea kwenda kupigana kwa kuiunga mkono Urusi. Wanne kutoka Chechen tayari wameshauliwa. Wamepigwa ambush hiyo hatari.

Ukraine hii vita akitaka kuirefusha na kumsumbua Urusi apige ambush kama wapakistani. Akienda nao kimpambano huu anaokwenda nao atamalizwa. Kwa sababu Urusi ameshambulia base za Ukraine nyingi sana. Ghala za kuhifadhia silaha nyingi zimeteketezwa. Mifumo yake ya anga imekuwa ya kusuasua sana.

Amegundua mwishoni anaanza kujichanganya makazi ya raia. Swali muhimu Ukraine wanaweza wakairefusha vita kwa muda mrefu kama wapakistani? Kupigana kwa ambush?

Lakini kingine cha hatari zaidi Urusi ametumia vifaa vya zamani kupambana na Ukraine. Zana za zamani tofauti na za sasa. Za zamani athari ya mlipuko ni ndogo si kubwa. Na kufanya hivi ni kuzuia uharibu mkubwa usitokee kwenye makazi ya watu, miundombinu na kusababisha athari kwa raia wa kawaida(maafa).

Tayari Urusi imebadili mbinu wanatumia drones sasa hivi. Ikiwa hali itaendelea hivi maafa kwa Ukraine yatakuwa makubwa.
 
Mkuu wangu, soma tena hiyo Minsk agreement inasema nini. Hakuna hayo mambo ya NATO.

Minsk agreement ni kati ya Russia na Ukraine na ilisainiwa kuanzia 2014 baada ya ile vita ya 2014 ya Russia kuivamua Ukraine. Hakuna NATO kwenye mkataba huo.

Huo mkataba wa nato kukubaliana na Russia kuhusu expansion kwenda East haupo. Kama upo nionyeshe link yake. Kulikuwa na mazungumzo wakati ule wa Yeltsin kutaka USA itoe guarantee hiyo Lakini Bill Clinton alikataa. Pia rais Bush na yeye baadaye alikataa.
Soma maneno ya Clinton hapa chini.

Declassified White House transcripts also reveal that, in 1997, Bill Clinton consistently refused Boris Yeltsin's offer of a 'gentlemen's agreement' that no former Soviet Republics would enter NATO: "I can't make commitments on behalf of NATO, and I'm not going to be in the position myself of vetoing NATO expansion with respect to any country, much less letting you or anyone else do so…NATO operates by consensus."

Putin is a bully and needs to be stopped.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…