LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
What if Ukraine wana secret nuclear warhead wakaamua kufanya suicide wakapiga Moscow??... 😀 😀
Ndicho ninachomweleza.

Anachokifanya huyu ni kusema sitapata ukimwi sababu nilimuandaa vya kutosha. Ni kweli unaweza usipate ila chances zipo ukapata, kinachotakiwa ni usifanye kama unajua upo.
 
Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
Mi naona Urusi afanye yake tu. Mbona USA kafanya ujinga marakibao tuna hakuna alomzuia?

Rejea uvamizi wa Iraq ya Saddam Hussein, Libya e.t.c
 
Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
Hukuliona hili ilipovamiwa Iraq, Libya na Afghanistan, tena wao wameuliwa maelfu na mali kuharibiwa
 
Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
Huyo ni mbwa asiye na meno mkuu
 
Back
Top Bottom