View attachment 2132849
Angalia kama nchi yako ipo hapo kwenye hii Ramani.
Kisha uendelee kumshabikia Mmarekani aliyejenga vituo 25 vya maabara za silaha za kibaiolojia duniani kote kituo cha majaribio cha silaha hizo kikiwepo Georgia na Ukraine kwa sasa.....Katika nchi zilizokuwa wanawachama wa kisoviet kajenga vituo 11 vya maabara za silaha za kibaolojia target kubwa ni kuanza na Russia.
Marekani wanatengeneza magojnwa ya hatari kwa ajili ya kuangamiza binadamu kwa miradi inayogharimu mabilioni ya dola,lengo ni kuuwa watu na kuwa super power anayewapangia watu maisha,inawezekana Putin anataka kusambaratisha maabara hizo hapo Ukraine....maana inasemekana wanapandikiza magonjwa kwa mmbu na wadudu wengine kisha wanatumwa Russia.
Magonjwa kama Ebola,Zica,Corona,Mers, na mengine mengi yanatengenezwa kwenye maabara hizo kwa tafiti za mabilioni ya dola chini ya mpango wa Pentagon project uliochini ya jeshi la marekani DOD- department of diffence.