EU na NATO wameshamuona PUTIN kateleza kwahiyo hapa hapa ndio pakummaliza. Putin aliingia vinginene kakutana nahali nyingine, alinua eazy tu anapiga anafukuza raisi anaweka wake, hakwenda kwa total war, akawa anajitahkdi kukwepa kuumiza raia, akajua akikamata viwanja vya ndege, akipiga maghala ya siraha na sekta muhimu tayari kawanyong'onyesha, mambo yamekuwa magumu, hapa ni aidha ajitoe akili apigane total war au akubali kuvuka nguo kitu ambacho sidhani atakubali. sasa kitu kibaya kwamba na raia nao wakuwa wajeda wasaidizi, haoa ndio pagumu.
Marekani hii situation alikuwa anaitaka kwa hali na mali, kote kwake faida urusi akiingia hata akishinda anakula vikwazo si mchezo, wakati huo yeye na washirika wake wanatoa msaada kimya kimya ili kuzidi kumnyong'onyesha mrusi.. Toka awali nilihisi ukraine bila kufanya maamuzi sahihi nchi yao ndio itakuwa uwanja wa vita, watu watakuja kutestia mitambo yao hapo.
Putin hali tete, akichomoka hapa ndio nitajua huyu kichwa.
Nimejifunza vitu viwili, Dunia bila unafiki haiendi mmarekani mtu mbaya sana, ukiwa na pesa hata ukiwa na sura kama ya nani utaambiwa we ni handsome, alichokifanya putin MMAREKANI kaishakitenda mara zisizo na idadi ila wapi, sasa putini kajitela, ananuka ubaya tu.