LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
muda utasema ukweli
Screenshot_20220228-012932_Twitter.jpg
Screenshot_20220228-012941_Twitter.jpg
 
Kwa vile Urusi imegoma kutoa taariza za vifo vya wanajeshi wake, Ukraine imeona isiwe tabu, kila mwanajeshi wa Urusi anayeuawa wanachukua taarifa zake na kuziweka kwenye tovuti, pamoja na mapicha na vielelezo vyote.
Warusi wajiandae kwa misiba kama ilivyotokea kwa Marekani kule Vietnam, sio rahisi uingie kwenye nchi ya watu walio wazalendo kwa nchi yao halafu utake kupigana nao kwenye vitongoji vyao.
Putin alipaswa atumie akili kwa kuwachonganisha raia wa Ukraine kwanza, waanze vita wenyewe halafu yeye apige kwa ndege tu, kama alivyofanya Marekani pale Libya.


Smoke rises from a Russian tank in UKraine

Smoke rises from a Russian tank destroyed by the Ukrainian forces on a roadside in Lugansk region on February 26, 2022. PHOTO | AFP

Ukrainian authorities on Sunday launched a website to help Russian families track down soldiers who have been killed or captured fighting in Moscow's invasion of the pro-Western country.

The site — 200rf.com — contains pictures of the documents and corpses of Russian soldiers Ukraine said had been killed since President Vladimir Putin launched the attack.

It also has videos of soldiers Ukraine says it has captured.

"I am talking to you in Russian because this site was created for you," Viktor Andrusiv, an adviser to the interior minister, said in a video posted on the site.

"I know that many Russians are worried about how and where their children, sons, husbands are and what is happening to them -- so we decided to put this online so that each of you could search for your loved one who Putin sent to fight in Ukraine."


3,000 troops dead​

Andrusiv said that over the past three days Ukrainian forces had captured almost 200 Russian soldiers and more than 3,000 Russian troops had died.

"We have documents, photos and videos of all of these people," Andrusiv said.

The name of the site references the well-known term Gruz-200 (Cargo-200) that was used by Soviet military for corpses being flown back from the war in Afghanistan in the 1980s.

Russia's defence ministry has so far given no details of any military losses in Ukraine since launching a multi-pronged attack Putin called a "special operation" to protect two separatist regions.

First death report​

The head of the North Caucasus region of Dagestan, Sergei Melikov, on Saturday became the first official to report the death of a Russian soldier in Ukraine.

He posted a tribute on his official Instagram page, paying homage to an officer he said had been killed during the "special operation to defend Donbas".

The Kremlin has launched a major propaganda campaign to control coverage of the war in Ukraine and has ordered media to use only Russia's official versions of events.

Moscow has long been accused of covering up losses suffered by its forces as they backed pro-Russian separatists in Ukraine and fought in Syria.

Lev Shlosberg, a prominent liberal politician, has suggested Russia's military was using mobile crematoriums to destroy evidence of those killed in Ukraine.

"There is no war. No dead. No tombs. People will just be no more. Forever," he wrote on his blog.
 
Nasikia eti Wanafunzi na Waafrika wasio Wanafunzi wanazuiliwa kuingia Poland ambako awali ilikuwa waende Ili kuwa salama kiufupi wanabaguliwa
Ni kweli kabisa huu undezi wa kibaguzi lazima utatokea, na tukumbuke ubaguzi upo kwenye nchi zote za ulaya, usione diaspora wanajifanya kujidai na mapicha kwenye social media,
Na sio tu kwa weusi, hata wahindi na waarabu ni moto ule ule wa kibaguzi wanaupata ukweli kila siku na wenyeji kwa uhalisia kuwa huku sio kwenu, iwe shuleni au mitaani au katika maisha ya kila siku...ni kama wewe ukiona mhindi, au msomali ana gorofa kariakoo...
Nimeona hizi clip za huu ubaguzi, lakini ikumbukwe miezi kadhaa iliyopita, nchi ya Belarusia kwa kufuata miongozo ya Putin, aliaamua kutoa viza kwa yotote anayetaka kwenda kwao kwa malengo ya kuwaleta wakimbizi wa kiaraabu na africa ili wawapeleke kwenye mipaka ya nchi za umoja wa ulaya ili kuwapelekesha Umoja w Ulaya kutokana na vikwazo vilivyowekewa Belarussia baada ya kuteka ndege ili kumkata mpinzani wa serikali ya Belarussia.
Katika clip moja niliyoona, kama kawaida yao Wanaigeria, wamefika boda badala ya kujieeleza kistaarabu kuwa ni wanafunzi, bali wameenza kupiga makelelele "we are student" huku wakiji selfie""mara kadhaa mpaka kati ya kundi hilo akatokea mmoja wao kuwapaka hasa wanyamaze na makelele yao, baadae mmoja wao akajieleza kwa polisi wote wakaruhusiwa kupita...



 
Unamjua huyu jamaa alievaa shat jeupe na tai nyeusi? ndiye aliyemleta huyu kichaa madarakani. Putin akiwa kwenye mafunzo ya KGB alionekana kuwa na matatizo ya kiakili kwa hiyo hakupelekwa kufanya kazi za KGB. Badala yake aliishia kwenye shughuli nyingine tu kwenye ofisi ya Meya wa Lenningrad (St Petersberg ya leo) hadi huyu jamaa alipomuibua na kumpa madaraka ya mfululizo hadi kuwa waziri mkuu na baadaye kuwa rais.

 
Unamjua huyu jamaa alievaa shat jeupe na tai nyeusi? ndiye aliyemleta huyu kichaa madarakani. Putin akiwa kwenye mafunzo ya KGB alionekana kuwa na matatizo ya kiakili kwa hiyo hakupelekwa kufanya kazi za KGB. Badala yake aliishia kwenye shughuli nyingine tu kwenye ofisi ya Meya wa Lenningrad (St Petersberg ya leo) hadi huyu jamaa alipomuibua na kumpa madaraka ya mfululizo hadi kuwa waziri mkuu na baadaye kuwa rais.

Kumbe hujui historia ya Putin vizuri

Jamaa Alikuwa KGB mzuri SANA na lipelekwa Station ya German na kule hawatamsahau maana aliwatandika sawa SAWA
 
Hivi ndio putin anatakiwa kuwapelekea moto, hapa ni kupiga air strikes za kibabe... Na sio kuingia ukraine wakati kule wananchi wanainga mkono jeshi lao. Mbinu hii waruso walifeli saana, hawapigani na jeshi la Ukraine, wanapigana na waUkraine na maadui wa urusi.

Japo hii italeta saana madhara kwa wananchi, ila kwa kulinda heshima yake hana namna.
 
Hivi ndio putin anatakiwa kuwapelekea moto, hapa ni kupiga air strikes za kibabe... Na sio kuingia ukraine wakati kule wananchi wanainga mkono jeshi lao. Mbinu hii waruso walifeli saana, hawapigani na jeshi la Ukraine, wanapigana na waUkraine na maadui wa urusi.

Japo hii italeta saana madhara kwa wananchi, ila kwa kulinda heshima yake hana namna.
Aweke heshima ya kuua?
 
Mbona Mr Tramp, amesha zungumza na kutoa msimamo wake. Amesema kwamba, Obama alimuacha Russia Achukue Krimia, Baideni Kamuacha tena Russia anataka achukue tena Ukraine. If a I was me.......... Kwa sasa hivi USA tunaongozwa na ma Stupidity ambao awajuwi nini maana ya USA, na tupo kwajili gani.? We are here to make the World a better place to live.. THEY DO NOT KNOW WHAT BUSH DO FOR AMERICA.

USA... USA...USA...USA...USA
 
hakuna anaepinga kuwa urusi ana jeshi lenye nguvu kushinda ukraine
na kama jeshi lmezidiwa ni sahihi raisi kuwaambia raia wachukue siraha wajilinde wenyewe,
hapo rais kakosea wap?
kwa mtizamo wangu
nikuwa urusi anakosa sapoti ya raia wa ukraine,
endapo waukraine wangekuwa hawaitaki serikali yao ingekuwa kazi nyepesi kwa urusi
ni kama libya na iraki
marekani alipozivamia zile nchi alikutana na sapoti ya raia wa zile nchi.
na hii ni tofaut na hali ilivyo pale ukraine,
waukraine wameungana na serikali yao kupambana na adui,
nikuulize swali moja
kama raia wa ukraine wanataka kujiunga na Nato wewe ni nani hadi uwazuie?
swali lingine,kama majimbo ya luhansk na zelensk yanataka kujitenga kutoka ukraine,wewe ni nani uwakatalie na unaanza kuwapiga?
 
Marekani na Russia wanaheshimiana sana.popote ambapo mmoja ana maslahi yake mwenzie huwa hatii mguu,ataishia kujiuma tu kwa kutishia vikwazo na bla bla kama hizo.hapo Ukraine usa anajua kuwa Russia yuko na maslahi yake ndio maana USA ni kama hajisumbui kivile, angalia Iraq ilivyozibuliwa na USA, Russia alikaa pembeni tu,same to Libya na Afghanistan. Huko Syria wameamua kupagawana coz kila mmoja ana maslahi yake mapana.
 
Angekuwepo Trump pengine Russia ineshaichukua Ukraine tayari kwenye hii vita. Trump alikuwa mithili ya mwanasesere mbele Putin. Alikuwa anamuogopa na kumuheshimu mno maana ndie aliyemuweka madarani.

Kungekuwa na matokeo tofauti kama vita hii ingekuwa kipindi cha Obama au Bush, maana hawa hawakuwahi kumuonyesha Putin kuwa wanamuogopa.
 
Hatimaye Rais wa Ukrine akubali mazungumzo na Russia ya kusitisha vita.
mazungumzo yanatarajiwa kufanyika ktk border ya Belarus.
 
Hawa wabaguzi wa Ukraine wanawazuia waafrika kupanda treni kutoroka mapigano kwenda Poland.

Kinachosikitisha zaidi wanawazuia hadi wanawake na watoto tena wajawazito kisa tu rangi zao za mwili.

Acha tu Putin awaanyooshe. Wengi msiojua tangu Putin angie madarakani Urusi Kaleta mabadiliko makubwa sana kwa watu weusi waishio Urusi kwa kuweka sheria za kuheshimiwa na haki.

WayUkrain wabaguzi sana. Acha wanyooshwe tu.
Hawanyooshwi kamwe
 
Back
Top Bottom