LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
kama raia wa ukraine wanataka kujiunga na Nato wewe ni nani hadi uwazuie?
Bora zako wewe Mmarekani wa Tandahimba ni mwerevu sana kuliko hata Colonel Macgregor wa Jeshi la Marekani ktk kuona kuwa hakuna ubaya kwa Ukraine kuijiunga NATO na hivyo Marekani na NATO kuweka ngome zao za kijeshi Ukraine.

Colonel Macgregor, afisa mstaafu wa jeshi la Marekani anakujibu hivi Marekani ina nafasi ya kuepusha vita na Putin (Russia). Jambo la kwanza wanalopaswa kufanya Wamarekani ni kukiri na kukubaliana na nukta ya msingi ya Putin (Russia), ambayo serekali ya Russia imeiweka wazi kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Nukta yenyewe ni kuwa Russia hawataki majeshi ya Marekani, mizinga ya Marekani, na majeshi ya NATO kwenye mpaka wake na Ukraine.

Colonel Douglas akaendelea kusema: Kiukweli kabisa hata sisi Wamarekani hatukuyataka majeshi ya Russia na mizinga yake ndani ya Cuba, Putin naye hataki mambo hayo mashariki mwa Ukraine. Lazima tukubali madai hayo. Tuache kujifanyisha kuwa madai hayo hayana maana (ni ya kipuuzi).
======



COL. DOUGLAS MACGREGOR: Let me just reiterate something. I, like you and millions of Americans, would prefer that the troops headed to Eastern Europe right now were headed to the Mexican border. But I’m also very concerned that we find a way to avoid a conflict with Russia. The first thing we have to do is acknowledge that Putin’s basic point, not just his point, the Russian government’s point, which they’ve made for 25 years, is valid. They don’t want U.S. forces and missiles and NATO troops immediately across the border in eastern Ukraine. Absolutely. We didn’t want them in Cuba, he doesn’t want them in eastern Ukraine. We should acknowledge that. Stop pretending it’s a nonissue. It is a major issue for them. Let’s acknowledge it and then let’s get down to business and tell them fine, our concern at this point is we don’t want you to proceed west towards the polish border over the Dnieper River in Ukraine.
 
Habarini za asubuhi ndugu zangu makamanda wa kirusi mlio apo kwimba na lushoto leo ivi sasa yametimia masaa 99 tangia mfanye uvamizi wenu kwenye ardhi yenu naomba kujua ni kipi cha maana ambacho mpaka sasa mmekiteka kutoka ukrain maana mlitwambia ni operation ya masaa 24 yakaja 48 yakaja 72 na sasa ni masaa 99 je bado mnajiita super power yaani kwa majigambo yenu yote vita ya siku nne mmefanikiwa kuvuka mpaka mmoja tu n hakuna chochote cha maana mlichokiteka achilia mbali kuikamata kiev maana ilo swala ni hamliwezi tena hamuwezi kuiteka kiev


Siku moja niliwahi kisema Russia is Ovarated na kweli asee yaani warusi wa Namtumbo kaka yenu Putin kawataia aibu mno na mwisho kabisa kaidharirisha sana Russia kiufupi kalivua nguo hilo taifa lenu pendwa na hakuna tena taifa litakaloiogopa urusi ubabe wake umefika mwisho
Hawataki kupiga raia na raisi anawaingiza kweny jeshi hii ni mbaya russia ana akili sio most overrated usidanganye kwa kuleta point hazipo

Wanataka kukuza ila anapigwa kwa timing kubwa na akili timamu sio sababu we ni mkristo basi unajiona ni mmarekani na UN kaa kwa kutulia
 
Mabomu ya Nuclear sio sawa na risasi eti useme uwe nazo nyingi ndio uweze kufanya total destruction, ukiwa na mabomu 15 tuu yanatosha kuangamiza Dunia. Na kwa akili yako wakati anatumia hayo mabomu yake yote hao wenzake watakuwa wapi?
Nani amezungumzia habari ya mabomu? Nimezungumzia stockpile ya Nuclear

Ni kama tuzungumzie kiasi cha gas ya mtwara kinachoweza kuvunwa Songas kwa kulinganisha na kiasi cha gas kwa nchi nyingine.
 
Russia yuko UN Security Council kama permanent member ila ile nafasi ni ya Soviet Union. Russia sio Soviet Union, aliipata ile nafasi kama successor wa USSR. Sasa ikiletwa hoja kwamba ni vigezo gani kwenye UN vinatambua successor anatakiwa arithi kiti, na ni vigezo gani walitumia kusema Russia ndio mrithi wa Soviet Union.

Options zinaweza kuwa:
1. Kwa nini mrithi awe Russia na asiwe Ukraine au member yeyote wa zamani, kigezo cha kukataa asiwe Ukraine kwa nini kisiwe kigezo cha kukataa asiwe Russia.
2. Kwa nini tusitafute permanent member mwingine kwa sababu basically, USSR ceased to exist.

Kwenye documents na makabrasha ya UNSC kwa sababu ni permanent members hata dosc hazibadiliki, unakuta walipoandika USSR wanaipa Russia juu kwa juu.

Msidhani haiwezekani
Hizi akili peleka mbagala.
 
Urusi sio kama wanavyo isema, israel huwa akipigwa na Hezbollah ana fanya surgical operations ndani ya iran na palestine with minimum casualty, urusi ana piga tu mpaka raia wasio na hatia
Wanakufaga RAIA wengi tu Nje na solders
 
wewe jamaa umekuaje[emoji848][emoji848][emoji848]
au kuna mtu kakuibia simu yako nini?
Mimi nimelivundua Hilo kitambo Sana huyu sio yupe T14 ninae mjua Mimi.

Maana Mimi Moja ya watu walio ni inspire kuwa humu Ni yeye,Nyani Ngabu,LeMutz,Malcom Lumumba,Abibu Anga,Matola,Mzee mwana Kijiji na wengine wa sampuli hyo. Ila huyu na gentacymane wamebadilika Sana.
 
Dollar Strengthens Against Almost Everything on Russia Sanctions
Demand for greenback is rising as investors seek shelter
Equities slide as risk sentiment sours, funds focus on SWIFT

The dollar is rising against virtually every peer as fallout from the sanctions levied against Russia supercharge demand for the world’s reserve currency. Treasuries also rallied.

Traders are piling into the most liquid asset as sanctions on Russia’s central bank and lenders reverberate through global markets, with talk that the Federal Reserve may have to intervene in global markets. U.S. and European stock futures fell, while currencies from the euro to the rand dropped.

“USD is king, offering liquidity and safe haven attributes,” said Rodrigo Catril, a currency strategist National Australia Bank Ltd. “When trouble hits the road, you need to look for cover.”

King Dollar
USD has risen against every Group-of-10 peer in early Asia trading Monday


Bloomberg

Signs of funding strains became apparent in major money markets early Monday as spreads widened for very short-term eurodollar contracts. The gap between future Libor and Fed rates -- the FRA/OIS spread -- widened nine basis points for one-month contracts, the most since March 2020. March eurodollar contracts dropped relative to June peers, a classic sign of funding stress.

That comes as Credit Suisse Group AG warned of how the decision to exclude some Russian banks from the SWIFT messaging system could impact money markets as payments are missed and giant overdrafts are made. Strategist Zoltan Pozsar drew comparison with how the Fed had to supply dollars during the height of the pandemic panic in March 2020.


Market Uncertainties to Remain Very High for Weeks: Lee
Homin Lee, Asia macro strategist at Lombard Odier, discusses the current state of markets amid the escalations in Ukraine, the possibility of a global recession and his investment strategy. He speaks on “BloombergDaybreak: Asia.”
A gauge of the dollar rose as much as 0.7%, extending on last week’s 0.4% gain. Global bonds rallied, with 10-year Treasury yields dropping 7 basis points to 1.89% while yields on Australia’s 10-year government debt slumped as much 10 basis points.

The ruble was indicated 28% lower versus the dollar in offshore trading on Monday. The Russian currency has fallen more than 6% in onshore trade to underperform all its emerging-market peers in February as traders brace for President Vladimir Putin’s response to the toughened sanctions.

“Europe is bearing the brunt of the invasion’s initial impact, with higher energy costs hurting consumers and the level of sanctions pressuring European growth, with a knock-on effect for U.S. growth prospects,” Scott Glasser, chief investment officer at Clearbridge Investments and investment specialist Jeff Schulze, wrote in a note.

SWIFT Risk
“Russia’s ex-communication from SWIFT would isolate Russia financially from the world and could cripple its economy,” Jason Schenker, president of Prestige Economics, wrote in a note.

SWIFT is used for trillions of dollars worth of transactions around the globe.

Credit Suisse’s Pozsar has also estimated that Russia has about $300 billion of foreign currency held offshore -- enough to disrupt money markets if it’s frozen by sanctions or moved suddenly to avoid them.

READ MORE
Australian Bonds Rally as Russia Sanctions Spurs Haven Demand

SWIFT Ban Means the Fed May Need to Be Ready With Dollars

Russia Bonds, Now Junk, Set to Reel From Central Bank Sanctions

Bonds Are a Complicated Haven as Ukraine Stokes Inflation Risk

— With assistance by Garfield Clinton Reynolds, Natalia Kniazhevich, Benjamin Purvis, and Elizabeth Stanton

(Updates with price moves, adds chart and comment)
Share this article
Follow the authors
@Ruth_Liew10
+ Get alerts forRuth Carson
In this article
EUR
Euro Spot
1.1165EUR
-0.0103-0.9141%
NAB
NATL AUST BANK
28.94AUD
+0.03+0.10%
CSGN
CREDIT SUISS-REG
7.84CHF
+0.31+4.09%
Have a confidential tip for our reporters?Get in touch
Before it's here, it's on theBloomberg Terminal
From The Web
Online Jobs in USA from Tanzania, United Republic Of. Salaries Will Surprise You
Online Jobs In USA | Search Ads
Get up to 1,000,000 TZS Today!
Parimatch
Prices of Unsold New Cars In Dar Es Salaam Could Greatly Surprise You
Unsold Cars | Search
Work as a truck driver in Canada (visa sponsorships might be available)
Trucking Jobs
by TaboolaSponsored Links
Terms of Service Do Not Sell My Info (California) Trademarks Privacy Policy [emoji2398]2022 Bloomberg L.P. All Rights Reserved
Careers Made in NYC Advertise Ad Choices Help
Your monthly limit of
Dollar yazidi kuimarika
 
Kwanza mkuu achana na porojo za magharibi (propaganda) kuwa "urusi imewekewa vikwazo na DUNIA YOTE""

Hiyo dunia yote ni ipi?! Hizi ni propaganda dhaifu sana mkuu, urusi amewekewa vikwazo na nchi za magharibi ambazo hazichukui hata nusu ya eneo la dunia, yaani ulaya magharibi na amerika kaskazini tu! Sasa hiyo ndio DUNIA YOTE?! Hebu tuache kuwa brainwashed na hawa western, dunia ni kubwa sana kuliko hao NATO, Tayari mataifa ya CHINA na INDIA yalikuwa ABSTAINED kupiga kura kwenye baraza la umoja wa mataifa kuilaani urusi that means kwamba yalikataa matakwa ya marekani , mpaka urusi ikawasifia,

Asia, Africa, Latin amerika, zote hizo hakuna hata nchi moja iliyotangaza vikwazo kwa urusi. Unasemaje dunia yote?! Dunia ni mataifa ya magharibi au?! Tuache kuwa brainwashed na western media, dunia ni kubwa kuliko NATO na western countries!
Okey boss
 
Kwahyo Russia anao uwezo wa kuzipiga nchi zote Za NATO at the same time?
Ndio, ana uwezo huo, mkuu mabomu yako 8000+ au unadhani NYUKLIA inapigwa kama AK 47?? Nyuklia inainuka hapo hapo ni direction tu mzee.
 
Russian ni lazima wapunguzwe nguvu zao za kijeshi na kiuchumi HAWANA HEKIMA HATA KIDOGO, KWA KUWA UKRAINE NI NCHI HURU IACHWE IAMUE MAMBO YAKE KWA MAENDELEO YAKE.
Huu ndio mwisho wa nguvu za Putin.
Kuna watu watabisha lakini ndio ukweli.
Very soon migogoro ya ndani ya nchi itaanza kwa kasi kutokana na hali mbaya ya uchumi kupindukia.
Hakuna kitu kibaya kama migogoro ya ndani.
 
Wenzako washaanza kuweka hofu huko atauwawa wewe unafikiri wako wanacheza mdundiko

View attachment 2133711

View attachment 2133712
Tatizo hushirkishi sense yako mkuu kama hao wote unaowasema wangekuwa na uwezo wa kuyafanya hayo tayari Russia angekuwa ameishaiteka kiev lakini leo ni siku ya tano tangia muanzishe uvamizi niambie ni kitu gani cha maana cha ukrain mlichokiteka mpaka sasa zaidi ya kuuwa Raia na kubomoa majengo tu jambo ambalo ni la kawaida ata Ukrain akiamua ni sekunde tu kulipua lipua majengo ya wananchi wasio na Hatia apa Fussia tayari kashanasa n kajitia aibu kupindukia
 
Back
Top Bottom