LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Subili wakabidhi hizo ndege. Utakuja hapa kutupa mrejesho.

Mmedanganywa mpaka mmekua hamuuoni ukweli. We na akili zako Russia ndio wa kumtumia askali 7,000 eti mmesogeza askali wa NATO. Huko donbas kulikua na askali zaiei ya 60,000 na walipigwa kwa saa mbilitu wakatupa bunduki na kuvua gwanda kujichanganya na raia huku wakiwaelekeza askali mamluki wa urusi vituo vya kuanza kuviwhika. Na hapo haijatumika silaha yeyote modern. Ni ma 40 Barrow's,Kyatuehka,120mm,140mm,60mm, hivo Yani air defense alizoingia nazo Russia Ni ma Buk,SAAMs,Kub na mizinga michache ya infantry ya kutungua ndege Ant air cannon na ant air gun. Saivi mnaleta polojo za Russia kuishiwa nguvu ivi mpo serious kweli?.
👏
 
Punguza vichambo adija kopa.vita ni vita na silaha ni silaha
Basi tulia usitingishike. Vyuma Kama. T90,72,Armata nk and her series havijaingia Ukraine Sasa unafikiri unapoambiwa Russia hajatumia nguvu kubwa unataniwa happy Ni Kama kaenda kudump old military weapons zake tu kuliko kutumia gharama kubwa kuyadeploy bill faida. Putin kapiga ndege Kama sita sab hivi kwa jiwe moja
 
Ngoja nikuambie hii ilikuwa sio vita ni operation ya kijeshi baadhi ya vifaa ni tishia kumkamata rais na hapo ukraine wapo mamluki wa russia ila USA na NATO ndio wamakuza hii ishu ili jamaa wanapigwa kisaikolojia

Ninachomba putin afanye kweli pelekea moyo kabisa wauwane
Wapi wewe sio vita ni nini sasa?
 
Basi tulia usitingishike. Vyuma Kama. T90,72,Armata nk and her series havijaingia Ukraine Sasa unafikiri unapoambiwa Russia hajatumia nguvu kubwa unataniwa happy Ni Kama kaenda kudump old military weapons zake tu kuliko kutumia gharama kubwa kuyadeploy bill faida. Putin kapiga ndege Kama sita sab hivi kwa jiwe moja
👍
 
Service branches
23px-Flag_of_the_Russian_Federation_Ground_Forces.svg.png
Russian Ground Forces
23px-Flag_of_the_Russian_Aerospace_Forces.svg.png
Russian Aerospace Forces
23px-Naval_Ensign_of_Russia.svg.png
Russian Navy
23px-Flag_of_the_Russian_Airborne_Troops.svg.png
Russian Airborne Forces
23px-Flag_of_Strategic_Rocket_Forces_of_Russia.svg.png
Russian Strategic Missile Forces
23px-Flag_of_the_Special_Operations_Forces.svg.png
Russian Special Operations Forces

Katika hizi kamandi ngapi umezjona hapo Ukraine. Hiyo air Force yenyewe bado haijaingia mzigoni. Mmetumiwa mamruki na vijana kadhaa wa airborne na air and missile defence Force. Air Force wana wa subiria NATO
 
Sasa mimi nitaangalia channel zote wako watu wanatizama TBC wako Channel 10 na wanaamini hizo 100% yote inategemea na wewe unataka kusikia nini. Mimi natizama wale wale Pro west media ndio maana nimesema toka asubuhi sijaona jipya ni yale yale ya jana sasa kama kuna channel unatizama iko update tuwekee hapa jina tuangalie pia hakuna shida
Germany kamsupport Ukraine military weapons na pia kadouble military budget fund euro billion 100.
Hivyo Russia naona mwisho wao.

SourceDw live news
 
Leo vita imesimama kupisha majadiliano ,kama majadiliano wasipopatana kesho vita itaendelea,na misaada ya kijeshi inazidi kumiminika kwa ukraine kutoka member wa nato
 
Salama wandugu,

Tufahamu maana ya NATO wengi wanaifafanua kuwa ni umoja wa kujihami nchi Magharibi lakini tafsiri sahihi ni umoja wa kujihamu nchi magharibi kuikabiri Urusi ndani yake kukiwa CIA.

Lengo la NATO kwenda Ukraine siyo kupeleka ubwabwa Ukraine, ila nikupeleka intellejensia itakayotumika na cia kwa kivuli cha NATO hapa dunia haielewi wanabaki kuwa Putin mkorofi la hasha kuna mambo behind hayajawekwa hadharani. Rais kennedy alitaka kuivunja cia akisema hakina majukumu ya maana ndipo wakamuua
 
Germany kamsupport Ukraine military weapons na pia kadouble military budget fund euro billion 100.
Hivyo Russia naona mwisho wao.

Source😀w live news
Ndoto ya mchana
Leo vita imesimama kupisha majadiliano ,kama majadiliano wasipopatana kesho vita itaendelea,na misaada ya kijeshi inazidi kumiminika kwa ukraine kutoka member wa nato
Vita haijasimama
 
Germany kamsupport Ukraine military weapons na pia kadouble military budget fund euro billion 100.
Hivyo Russia naona mwisho wao.

SourceDw live news
Mkuu kudouble badget unadhani kunaanza siku hiyo hiyo? Amesema kuanzia mwakani wataongeza bajeti ya ulinzi.
 
Service branches
23px-Flag_of_the_Russian_Federation_Ground_Forces.svg.png
Russian Ground Forces
23px-Flag_of_the_Russian_Aerospace_Forces.svg.png
Russian Aerospace Forces
23px-Naval_Ensign_of_Russia.svg.png
Russian Navy
23px-Flag_of_the_Russian_Airborne_Troops.svg.png
Russian Airborne Forces
23px-Flag_of_Strategic_Rocket_Forces_of_Russia.svg.png
Russian Strategic Missile Forces
23px-Flag_of_the_Special_Operations_Forces.svg.png
Russian Special Operations Forces

Katika hizi kamandi ngapi umezjona hapo Ukraine. Hiyo air Force yenyewe bado haijaingia mzigoni. Mmetumiwa mamruki na vijana kadhaa wa airborne na air and missile defence Force. Air Force wana wa subiria NATO
picha zimepungua kuna kimya kimetawala

Screenshot_20220228_140733.jpg
 

Attachments

  • The_base_of_the_Ukrainian_Navy_in_Ochakiv%2C_which_was_built_and_controlled_by_the_United_Stat...mp4
    3.5 MB
Back
Top Bottom