Subili wakabidhi hizo ndege. Utakuja hapa kutupa mrejesho.
Mmedanganywa mpaka mmekua hamuuoni ukweli. We na akili zako Russia ndio wa kumtumia askali 7,000 eti mmesogeza askali wa NATO. Huko donbas kulikua na askali zaiei ya 60,000 na walipigwa kwa saa mbilitu wakatupa bunduki na kuvua gwanda kujichanganya na raia huku wakiwaelekeza askali mamluki wa urusi vituo vya kuanza kuviwhika. Na hapo haijatumika silaha yeyote modern. Ni ma 40 Barrow's,Kyatuehka,120mm,140mm,60mm, hivo Yani air defense alizoingia nazo Russia Ni ma Buk,SAAMs,Kub na mizinga michache ya infantry ya kutungua ndege Ant air cannon na ant air gun. Saivi mnaleta polojo za Russia kuishiwa nguvu ivi mpo serious kweli?.