LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Russian banks switch to China's UnionPay after Visa, Mastercard snub
6th March, 2022

Several Russian banks said on Sunday they would soon start issuing cards using the Chinese UnionPay card operator’s system.
The new issues will be coupled with Russia’s own Mir network.
The move comes after Visa and MasterCard said they were suspending operations in Russia.
Announcements regarding the switch to UnionPay came on Sunday from Sberbank, Russia’s biggest lender, as well as Alfa Bank and Tinkoff.

https://pmnewsnigeria.com/2022/03/0...o-chinas-unionpay-after-visa-mastercard-snub/
75% ya Warusi wanatumia MasterCard na VISA. Makampuni ya China yameanza kununua nishati kwa kutumia cash, mnafanya shipment then mnapakia hela sijui kwenye ndege hapo. UnionPay itasaidia kubalance mihamala duniani tusitegemee sana mifumo ya Westerns. At least mnaweza toa benki chache za kujitoa mhanga mziunganishe uko hata zikipigwa sanctions zinawaunganisha mlipane kwenye biashara zenu. Iran, China, Russia, South Korea na Venezuela wakianza na wengine watakaopata sanctions watajiunga kwa mbinde. Hawatakuwa na impact kwenye uchumi wa dunia ila watajiokoa
 
NATO is not ready to discuss Ukraine's entry in the next 5-10 years, Kyiv will not fight for an application for membership, said Arakhamia, a member of the Ukrainian delegation.

He clarified that the Ukrainian authorities are ready to discuss some "non-NATO" models, but it is necessary to conduct a dialogue about this not only with Russia.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Kyiv has unconfirmed information that Trump and a number of US congressmen are planning to come to Ukraine, Arakhamia, a member of the Ukrainian delegation at the talks with Russia, said.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Ndio maana nilikueleza mwanzo kuwa nilidhani unafatilia habari hizi kwa kina.unapotumia neno "kama ni kweli" maana yake ni kuwa hufatilii hii habari ya Russia na Ukraine-na huna uhakika kama Kiongozi yoyote wa Urusi ametamka maneno hayo.

By the way,maneno kuwa kama Russia haipo World cup kwamba hakutakuwa na mashindano hayo-ni propaganda zilizoenezwa na pro-western.
Ulipaswa kutumia haya maneno kucomment tangu mwanzo na siyo kunijia na maneno ya madharau wakati ulikuwa hujasoma vizuri comment yangu. Haya endelea kusikilizia kichapo cha Russia huko ,na povu ruksa kama utaendelea kukereka zaidi kwa kichapo cha Ukraine

SLAVA UKRAINE👏
 
Sina muda wa kubishana na mtu anayesema "NATO wamepewa room ya kupimishana uwezo..." vita unadhani ni ugali kwamba mnachemsha maji na kutia unga. Unatakiwa ujue NATO ni nini, wanachama ni wapi na ina kazi gani, sio hata wewe hapa leo uvamiwe na Msumbiji uwaite NATO.
Mkuu achana naye huyo mkuu.

Mm napendaga uchambuzi wako maana umejikita kwenye Utaalam na uhalisia badala ushabiki na mihemko

Kwanza niwa pongeze Ukraine kwa kufanikiwa kuidhibiti mbinu ya kwanza ya Russia ya kufanya ambush kwenye miji mingi kwa wakati mmoja maana hii ambushi ingefanikiwa Ukraine angepoteza vita mapema mno.

Ila naona Urusi sasa hivi ime badili mbinu imeanza kutumia mbinu za kuizingira miji na inaonekana kufanikiwa maana baadhi miji kama vile maletopol uko kwenye hali mbaya na unakaribia kutekwa.

Jana chanel ya Aljazeera ilikuwa ina fanya mahojiano na kamanda mstaafu wa Marekani aliye ongoza kikosi moja wapo kwenye vita va Iraq akawa ana sema ya kwamba kwa anavyo ijua Urusi bado haijatumia hata asilimia 15 ya nguvu zake za kijeshi akaongeza kusema ya kwamba kikosi kilocho tumika kuivamia Ukraine kimeundwa 2016 kwa hiyo kimejaa vijana wasio na uzoefu wa mapigano.

Je una kubaliana na huyu kamanda mstaafu mkuu?
Screenshot_20220305-161104.jpg


Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Ulipaswa kutumia haya maneno kucomment tangu mwanzo na siyo kunijia na maneno ya madharau wakati ulikuwa hujasoma vizuri comment yangu. Haya endelea kusikilizia kichapo cha Russia huko ,na povu ruksa kama utaendelea kukereka zaidi kwa kichapo cha Ukraine

SLAVA UKRAINE[emoji122]
Ila dada yangu tuache utani Ukraine ana hali mbaya sana leo nilikuwa nafuatiria zoezi la uhamishaji wa watu kwenye mji uliko karibu na mji mkuu nimejikuta nikiwaonea huruma sana.
Inaonesha jinsi gani walivyo fadhaika na kinacho endelea na hawa amini kama wana pitia haya wanayo yapitia.

Tuombe tu vita ihishe jamani watu wana teseka mno.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Unabisha kwamba Ukraine siyo underdog kwa Russia kijeshi? T14 Armata Frustration ankai Lisa Rina RTI NYUNDO YA MOTO Tsh huyu tumweleze ukweli au tumwache tu kwa Dunia yake peke yake 😂
Ukraine hawezi kupigana na Urusi kivita kwa sababu Urusi anasilaha na jeshi kubwa na lenye weledi ukifanannisha na Ukraine. Kwenye operation hii lengo la Urusi ni kumtoa Zelensky madarakani na sio kuua wanajeshi wa Ukraine japo nao wameamua kupambana nae. Urusi hajaamua tu kutumia nguvu kama Ukraine anavyotumia.
 
Umeandika mashudu lakini unajiona bonge la genius, unafikili hizi ni time of savagery watu sasa wamestaarabika wewe mjinga, kwa akili yako ya matope unafikili mabeberu wanaweza kujiingiza kwenye vita za kijinga ambazo zinachochewa na emotions, mataifa mengi yalipata somo kwenye vita ya pili ya dunia iligharimu maisha ya mamilion ya watu. Mabeberu yanamcheki tu huku yanamfrustrate putini na media bias kupitia propaganda pia kwenye vita kama hizo mercenaries huwa wanatumika kutoa back up ili kutochochea vita zaidi. Siku nyingine usilete hoja za kishabiki kama unaishi urus au ni military analyst wakati hujui hajui lolote kuhusu jeshi na uwezo wa medani

Huna lolote unalojua bwegest kabisa
 
Ila dada yangu tuache utani Ukraine ana hali mbaya sana leo nilikuwa nafuatiria zoezi la uhamishaji wa watu kwenye mji uliko karibu na mji mkuu nimejikuta nikiwaonea huruma sana.
Inaonesha jinsi gani walivyo fadhaika na kinacho endelea na hawa amini kama wana pitia haya wanayo yapitia.

Tuombe tu vita ihishe jamani watu wana teseka mno.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Ingekuwa raia nao wasimulie wanayopitia naamini humu kila mtu angekuwa anaomba Putin wasamehe Putia wasamehe,wamekosa sana wamekosa sana.
 
sio uoga.enenda yu tube katizame kitu kinaitwa dead Hand cha mrusi.
hio system kila mwemy akil anajua kuwa huyu jamaa ni kumpa vikwazo na maneno ila sio kumrushia silaha

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app

Kuna watu humu wanaichukulia russia poa sana. Russia akiamua kutoa makucha yake ni kitendo cha dk tu hao dagaa wanavuliwa
 
Back
Top Bottom