NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 17,002
US is exploring options to limit Russia's access to cryptocurrencies - Deputy Secretary of State Nuland.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Venezuela was once twelve times richer than China. What happened?Mkuu Google Gdp per capita Ya Venezuela, ni kweli walikuwa na Hali mbaya miaka kadhaa iliopita (Gdp per capita chini ya dola 5000), ila miaka ya karibuni wanakuwa kwa kasi mno. Wameshafika zaidi ya $10,000 Sasa hivi.
Ka nchi ka watu milioni 20 kufika Gdp ya zaidi ya bilioni 400 si haba.
Kakimbia midge wanaume waUkraine wasizilipue Russiajamaa kachafukwa kiukweli ,yaani ukweli ni kwamba Putin hayuko tayari kuona Russia yake inadidimizwa kinamna yeyote ile .Sasa sijui ata backup vipi hii impact ya zuio la bidhaa yake ya nishati.na naskia amehamisha makumi ya midege yake ya Vita ,ameipeleka Sudan imepaki pale na bado anaihamisha na midege mingine kuipeleka hukohuko Sudan ,huyu jamaa sijui ana plan gani aise .ila yy anadai ameipeleka Sudan ili kukabiliana kwa dharula yeyote itakayojitokeza
Ok,kwa hiyo issues kubwa Ni kupeleka troops,ndio Maana nimeona Raisi wa Poland anasema hatopeleka wanajeshi wake Ila atatoa vifaa nikawa sielewi inakuwaje.Ndio kwa sehemu, ingawa sio moja kwa moja kwasababu hajapeleka wanajeshi wake katika uwanja wa vita dhidi ya Urusi.
Nadhani wewe ndio unahitaji kuelewa. Venezuel shida zao hazijaanza baada ya vikwazo miaka ya 2000 matatizo ya Venezuela yalianza miaka ya 80 walikuwa na uchumi mzuri sana kuanzia miaka ya 50 mpaka 80 shida yao kubwa walikuwa wanategemea sana Oil hawakuwa na mbadala baya zaidi walikuwa wanatoa ruzuku kwenye kila kitu mpaka chakula miaka ya 80 baada ya bei ya mafuta kuanguka vibaya wakashindwa vibaya kufanya yale waliyokuwa wanayafanya ruzuku zote zikawashinda hali ikawa mbaya ndio mambo ya haki za binadamu zikaanza marufuku ya mafuta yamekuja miaka ya 2000 wakati Venezuela hali ishakuwa mbaya. Hali mbaya ya venezuela haikuletwa na USA please nenda kasome history vizuri. walishindwa kubadilika wala ha wa ku invest utajiri wao kwenye sector zingine. walibweteka na mafutaVenuzuela walikua na Hali nzuri sana uchumi ulikua unakua kwa haraka sana na sababu kubwa ilikua ni crude oil Kosa alifanya Hugo Chavez alivyoanza migogori na marekani wakamwekea vikwazo Kama hii huijui basi Kuna vitu vingi huvijui
""Mpaka muda huu urusi imeshajirihidhisha ya kuwa haina lolote technically za kijeshi wamebakia kuringia silaha zao nzito za maangamizi ambazo haziwezi kutumika, vita hii ni kipimo madhubuti kwa Dunia"">silaha zake mjuzi akiziangamia Russian Kwishneyi! (America which this and calculate very well)Hii Vita Kiana Fulani inaisaidia Marekani.
Kama Russia ataendelea nayo mwaka, watafilisika.
Vikwazo vya marekani ndo vilifanya Hali ikawa mbaya Zaid kila mtu anajua labda wewe ndo hujuiNadhani wewe ndio unahitaji kuelewa. Venezuel shida zao hazijaanza baada ya vikwazo miaka ya 2000 matatizo ya Venezuela yalianza miaka ya 80 walikuwa na uchumi mzuri sana kuanzia miaka ya 50 mpaka 80 shida yao kubwa walikuwa wanategemea sana Oil hawakuwa na mbadala baya zaidi walikuwa wanatoa ruzuku kwenye kila kitu mpaka chakula miaka ya 80 baada ya bei ya mafuta kuanguka vibaya wakashindwa vibaya kufanya yale waliyokuwa wanayafanya ruzuku zote zikawashinda hali ikawa mbaya ndio mambo ya haki za binadamu zikaanza marufuku ya mafuta yamekuja miaka ya 2000 wakati Venezuela hali ishakuwa mbaya. Hali mbaya ya venezuela haikuletwa na USA please nenda kasome history vizuri. walishindwa kubadilika wala ha wa ku invest utajiri wao kwenye sector zingine. walibweteka na mafuta