Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Uthibitisho uko wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrusi hakutegemea haya kutokea alipotangaza kuivamia Ukraine? Ni suprice kwake?Kumbe hata hujielewi, Waukraine wanavua magwanda ya jeshi kisha wanajichanganya na raia mitaani au kwenye huduma za kijamii na kuwafanyia ambush warusi huku wakizuga kama raia. Lakini kumbuka pia kuna raia wa ukraine wanazo silaha za vita wanafanya ambush kwa warus unategemea mrusi afanyeje. Ndio mana amewahimiza raia wasiotaka madhara waondoke ukraine na wewe mwenyewe unaona wanavohama ukraine. Then utaona kyiev inavochukuliwa through total war. Sahivi mrusi anatumia akili kuubwa sana kuepuka masacre.
Tatizo kubwa ni kwamba wananchi wa Ukraine wapo na Rais wao na kubwa zaidi hawataki kusikia kuhusu Russia kwani wanaona Russia inawazuia kujiunga upande wanaoamini una neema kwao. Hivyo hata huyo Rais akiondolewa haitakuwa suluhishohiyo vita haiishi leo wala kesho mpaka mpaka putin amtoe madarakani huyo comedian kibaraka wa mabeberu...putin anataka kupandikiza kibaraka wake ukraine,kama putin akimtoa madarakani huyo comedian itakuwa ni ushindi mkubwa sana kwake naitakuwa ni pigo takatifu kwa mabeberu hasa marekani ndio maana marekani anafanya kila awezalo kumzuia russia...
Waache propaganda wamtume Poland apeleke ndege za kivita Ukraine kisha atarudisha salaam kwa PUTIN kwa Nato.Propaganda peddlers
Dawa ya moto ni motoKwa nini zelensky anaomba ndege ziliziundwa na Urusi?
Operation irakuwa imefanikiwa kwani lengo la mrusi ni usalama wa nchi na sio kutawala Ukraine.Tatizo kubwa ni kwamba wananchi wa Ukraine wapo na Rais wao na kubwa zaidi hawataki kusikia kuhusu Russia kwani wanaona Russia inawazuia kujiunga upande wanaoamini una neema kwao. Hivyo hata huyo Rais akiondolewa haitakuwa suluhisho
Si upokee tu, umesifiwa na Wazungu 😀Tuwekee ushahidi sipendi sifa za kijinga
Kwa kuendelea kuwadanganya Wa Ukraine kuwa wanaweza kupigana na Putin au NATO itakuja kuwasaidia, hawatendi fair maana watazidi kupigwa.Mfano mbaya. Idi Amini hakuwa na mabomu ya nyuklia, Putin anayo. Mwenye bomu la nyuklia hawezi kushindwa vita.
Kaka SImon, unachekesha! Rais wa Ukraine hajapandikiwa huko na yeyote. Amechaguliwa na Waukraine wengi. Una habari yoyote kuhusu historia ya Ukraine na uchaguzi uliopita? Sidhani.-hiyo vita haiishi leo wala kesho mpaka mpaka putin amtoe madarakani huyo comedian kibaraka wa mabeberu...putin anataka kupandikiza kibaraka wake ukraine,kama putin akimtoa madarakani huyo comedian itakuwa ni ushindi mkubwa sana kwake naitakuwa ni pigo takatifu kwa mabeberu hasa marekani ndio maana marekani anafanya kila awezalo kumzuia russia...
Cardless kwann Urusi inataka raia waondoke sasa na si wakati walipoanza mashambulizi kuivamia Ukraine?Hatoboi vipi wakati UKRAINE haikaliki?? We unadhani URUSI hawezi tupia makombora hapo KYIV?? ni kwakuwa ataua raia wengi na ndio maana kwa ustaarabu ameomba raia waondoke. Unajua kwann Urusi wanalazimisha Raia waondoke KYIV??
Itakuwa imefanimiwa kama Ukraine watakubali nasharti ya Mrusi au mrusi atasimika utawala unaofata masharti yake.Operation irakuwa imefanikiwa kwani lengo la mrusi ni usalama wa nchi na sio kutawala Ukraine.
Hawawezi. Hivi sio vita vya majogoo kwamba yatatoana damu, ni vita vya binadamu wenye uwezo wa kupiga mabomu ya kufuta nchi nzima isiwepo tena.Mikutano,Vikao haviishi kuijadili Urusu
Kama wanaweza si waingie Kumpiga
Yaani Wamebakia Makelele tuHawawezi. Hivi sio vita vya majogoo kwamba yatatoana damu, ni vita vya binadamu wenye uwezo wa kupiga mabomu ya kufuta nchi nzima isiwepo tena.