LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
In the US, a patient who received the first pig heart transplant died two months after the operation.

It is reported by AP with reference to the Maryland hospital. David Bennet, 57, was bedridden and had a terminal heart condition.

It is reported that he was not eligible for a human organ transplant, which is why he agreed to a risky operation. The heart was modified with human genes to increase the chances of success.

And, according to the doctors, at first the patient felt good and the body accepted a new heart. However, a few days before his death, rejection began, and David Bennet passed away.

Nevertheless, experts believe that this should not stop doctors from trying to perform animal organ transplants on humans.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
The Ministry of Economic Development of Russia proposes to introduce external management in companies that have left the Russian market, more than 25% of which are owned by foreigners.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Roskomnadzor demanded that TikTok remove restrictions from the video recording of the address of the President of Russia.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
The UN has no information that would confirm the claims about the development of weapons in biological laboratories on the territory of Ukraine, the Guterres office said.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Nnaamini yanayotokea Ukraine ni dua za Waislam wa dunia nzima walizokuwa wakiziomba usiku na mchana wakati USSR walipoivamia Afghanistan na US na marafiki zake wa NATO walipoivamia Afghanistan. Hakuna dua isiyojibiwa na Allah.

Sasa watamalizana wenyewe kwa wenyewe, mpaka wafanye toba na wawalipe Afghanistan na nchi zingine walizozifanyia dhulma hao madhalim wakubwa wawili.

Hapo ka Ukraine nacho kalikuwa USSR enzi hizo, katashika adabu kama watazoshika US na USSR na NATO yao. Watamalizana bila kujitambua.
 
Kumbuka hata Idi amini alikuwa na zana nzuri kuliko sisi. Unajua ni kwanini tulimshinda!!?

Kwenye suala la zana katika hizi nchi zetu sidhani ni kigezo kikubwa cha kushinda vita kwasababu hata tukizidiana zana ni kwa kiwango cha kawaida tu hakuna atakayemzidi mwenzake ifike 70% kwa 30%.
Labda kitu cha kujiuliza je ile backup ya wananchi na spirit ya kujitolea kuipambania nchi kama ile ya 1978/79 BADO IPOOO???? Na je wapiganaji wa sasa ni aina ileile au??
Umenifanya niipitie kwa juu juu historia ya vita ya kagera upya.

Tanzania ilitumia kiasi Cha USD million 500 mpaka USD one billion.

Hasa ilibidi inunue siraha kwa kipindi kifupi na hiyo ilikuwa miaka ya 70.
Screenshot_20220309-210312.jpg
 
Tatizo kubwa ni kwamba wananchi wa Ukraine wapo na Rais wao na kubwa zaidi hawataki kusikia kuhusu Russia kwani wanaona Russia inawazuia kujiunga upande wanaoamini una neema kwao. Hivyo hata huyo Rais akiondolewa haitakuwa suluhisho
Sio raia wote, sema western Ukrainians tu, east wapo tofauti
 
Mbunge mmoja wa Uingereza amesema bungeni kwao leo kuwa Putin na Russia watapigwa na kufurushwa kama nduli Idi Amini wa Uganda alivyopigwa na kufurushwa na Tanzania.

Sijajua kwanini mbunge huyo katumia mfano huo labda ni vile Uingereza aliwahi kututawala.

Maendeleo hayana vyama!
Weka chanzo cha taarifa..
 
Cardless kwann Urusi inataka raia waondoke sasa na si wakati walipoanza mashambulizi kuivamia Ukraine?
Wanajeshi wengi UKRAINE wanajificha kwenye makazi ya watu na kufanya Ambush, hali hii inapelekea kuua hata watu wasiohusika. UKRAINE naona wanakuwa wagumu kuruhusu Raia wake watoke mijini hii ni kwa kujua wazi kifuatacho ni mashambulizi ya anga mfululizo.

Naomba tu wakubaliane kwa amani, lkn kama UKRAINE ataendeleza ukaidi amini nakwambia hiyo miji yao itakuwa kama Mogadishu.
 
Ukrane ni jeshi dogo una uhakika mzee.?
nukuu: Russia has about four times as many soldiers as Ukraine, twice as many tanks, and more than six times as many combat aircraft. The huge imbalance in forces reflects the defense budgets of the two countries. Russia spends about $78 billion on its armed forces annually, Ukraine $1.6 billion.
1646849353948.png

Ila Warusi wameandaliwa vibaya pia wanaongozwa vibaya hadi sasa. Wanalipa gharama ya udikteta; maana kama raisi yako ni "dume" asiyetaka kusikia mawazo tofauti - basi yuko hatari! Maana kama watu wake wanamwogopa mno hataambiwa ukweli ilhali watu wake wanaogopa kumbia kitu ambacho wanajua hapendi.
Ni dhahiri hii imetokea hapa. Picha nyingi za vifaru vilivyoachwa njia zinaonyesha: Warusi hawakupanga dizeli ya kutosha kwa vita iliyo ndefu kuliko siku chache. Picha za wanajeshi Warusi wanaovunja madukla na kuiba chakula zinaonyesha: wengine hawana chakula cha kutosha. Warusi walitegemea kwamba askari wa Ukraine watakimbia na wananchi wa Ukraine watawashangilia.
Ambayo haikutokea. Kinyume chake.
 
Kaka SImon, unachekesha! Rais wa Ukraine hajapandikiwa huko na yeyote. Amechaguliwa na Waukraine wengi. Una habari yoyote kuhusu historia ya Ukraine na uchaguzi uliopita? Sidhani.-
Basi sikiliza: ilikuwa uchaguzi huru. Si kama Tanzania 2020. Kwenye awamu la mwisho (ambako wagombea wawili wenye kura nyingi zaidi walishindana) Zelensky alipata 72%.
Ni dhahiri: hata kama Putin akifaulu kumwua Zelensky, atashindwa kumnweka yeyote atakayekubaliwa.
Tukiona jinsi Putin alivyoandaa vita yake vibaya na jinsi jeshi lake lina matatizo kushindana na jeshi dogo kama Ukraine - basi tuone!
Wewe Yale mapinduzi ya maidan square unayakumbuka?
Yale na kina nani ?
Kwa ufadhili wa nani?
Ile serikari iliondolewa kwa sanduku la kura?
Kumbuka ndio kipindi ambacho neo Nazi ilijipambanua.
Kwa nini Zelensky alipochaguliwa alikuwa na soft approach towards Russia?
Kwa nini alitishiwa kuuwawa?
Kwa nini alibadili approach yake ghafra na kuwakumbatia Azov batallion?
Kwa nini kiev walikuwa wanatumia nguvu nyingi kuwanyamazisha pro Russia?
Kwa nini ghafra lugha ya kirusi ilipigwa marufuku?
Kwa nini watumie nembo au ishara za kinazi?
Kwa nini wapate misaada mikubwa Toka Magharibi na ukijua Magharibi hawaupendi unazi?
Hule haikuwa uchaguzi kama uchaguzi, ni kundi tu la wahuni walio amua kuiteka serikari.
 
Back
Top Bottom