LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
The German Interior Ministry reported that it prevented extremists from leaving the country who wanted to go to fight in Ukraine.
Galip SV Liwagu
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
“This is a time of opportunity. If you and I get our bearings, believe me, in six months people will forget that this happened.”

Lukashenka on Western sanctions against Russia and Belarus: Galip SV Liwagu

“And there is no need to say: “We will survive the sanctions.” Listen, we experienced them as much as we wanted. We can do without them, we have everything in order to live and work normally.”
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Lukashenka proposed at a meeting with Putin to gather in Moscow in the format of the EAEU and the CSTO and discuss how to live under sanctions.

“We need to get together in Moscow, sit down at the negotiating table and agree: “We sell this to you, we sell this to you, and we build our common economic policy,” the Belarusian president said.
Galip SV Liwagu
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Unajua Usawa katika Dunia haupo, USA ndio Baba wa dunia kwahiyo wengine ni mama, Baba akikosa anajiadhibu mwenyewe, Mama akikosa Baba anampiga mama na watoto wanampiga mama.

Nchi nyingi ni fwata upepo, Hakuna anaehoji, kuhusu USA aliadhibiwa na nani, Kwahiyo kila kitu anachokifanya yeye ni sawa hapana, Hata anachokifanya Putin sio sahihi, Lakini anasababu zake anazoona ni sahihi.

Huu mgogoro kama Zelensky angetumia akili tangu mwanzo, hata yote yasingetokea kabisa.
arafu nimekuja kugundua haya mashirika mengi sana ya kimataifa yanafanya kazi kwa maslai ya west

Mimi nilitegemea mahakama ya kimataifa ya uharifu wa kivita ingeshamfu joji bushi na mwenzie obama lakin wapi
img_1_1646994528583.jpg
 
Kuhusu biashara?
Em nikuulize swali juu ya swali... Biashara ni nini.

Af nielezee serikali inanufaika vipi na hizo biashara... Af nikuulize tena hizo biashara zinafanywa na Roboti au binadam...

Na kama ni binadam hao binadam hawana Uraia au wanaishi Taifa ya sayari nyingine?

Jomba kila biashara ina Mmiliki hata n "Corporate" ambayo inajulikana ka "Legal entity" ina wamiliki. Hao wamiliki ni binadam wanaishi ka unavoish wewe na sio State Less bali wana Uraia wa Mataifa yao.

Narudia tena Raia wa Marekan kaja apa kaanzisha kampuni au kaajiriwa... Kwenye faida inayopatikana au mshahara anaopata analipa kodi nchini kisha analipia kodi nchini kwake kwasabab ya mfumo wa kodi ambao ni wa Kiraia.... "citizenship based"

Af kingine uwe unafikira nje ya Box... Dunian Tupo zaidi ya Billion 7.8 kati ya hao Wamarekan wapo Mil320 ka sikosei... Haya makampuni makubwa tunayoyasikia yangeishia ndani ya mipaka ya America yasingekua apo tunapoyaona...

Never ever... Ukumbuke biashara unafanya na watu so katuni au simba porini. Unafanya na watu so kuvuka mipaka nie ya mataifa mengine kama unahtaji kikubwa ni lazima.
 
“We didn't attack them. Not we".

Six hours before the start of the special operation, Russia carried out preventive strikes on Ukrainian positions, from which they were going to attack the Russian-Belarusian troops during the exercises. Galip SV Liwagu

This was stated by Lukashenka at a meeting with Putin: “The Armed Forces of Ukraine started shooting when we were at your house for two days. You and I were sitting in a helicopter, this was constantly reported. They started. And now I will show you where the attack on Belarus was prepared from.”
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Hizi taarifa umetoa wapi?!? Hapa nipo chumba kina international Media zote kubwa lakini sioni hicho unachosema. Au umepigiwa Simu na wale wabongo waliokwama kule
AL JAZEERA subiri watarudia jiyi habari, kwa muda huo kuna yule mwandishi wao alikuwa anahojiwa live.
 
Unajua Usawa katika Dunia haupo, USA ndio Baba wa dunia kwahiyo wengine ni mama, Baba akikosa anajiadhibu mwenyewe, Mama akikosa Baba anampiga mama na watoto wanampiga mama.

Nchi nyingi ni fwata upepo, Hakuna anaehoji, kuhusu USA aliadhibiwa na nani, Kwahiyo kila kitu anachokifanya yeye ni sawa hapana, Hata anachokifanya Putin sio sahihi, Lakini anasababu zake anazoona ni sahihi.

Huu mgogoro kama Zelensky angetumia akili tangu mwanzo, hata yote yasingetokea kabisa.
Hakika... Af na hio mindset ya kujisemea kua Marekan yupo sahih kwa kila kitu ndo inayotuponza...

Inakuwa ka tunacheza beat lake mda wte akinuna bas wote tunune na akicheka bas itulazimu wote tucheke hata tupo kwenye matanga.

Me kilio changu bado kipo kwa Raia tu anayesulubiwa kisa maamuzi ya mtawala wake anayeshinda ofisini.

Mfano vile bei ilivopanda ya mafuta kiasi ambacho itapelekea na bidhaa kupanda pia inamuasiri biden au Raia wa kawaida wa Marekan....

Haya hayo makampuni yanayoondoka Urusi yanamuadhib Putin au Raia wa kirusi ambae huenda alikuwa ndo mlisha familia yake nyumban kwake.

Apo sasa wajiuliza hivi "Do they care about us????" [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Zelensky kuna watu wanamwona Shujaa... Ila binafs bado najiuliza amekubali vipi kutumika huku chini akiwaumiza Raia wake kwenye Vita vsivomhusu kabisa.

Dunia ya leo achlia mbali kizazi cha bongo Fleva hiki cha 2000... Ukieka siasa na ushabiki pemben hakuna asiyejua vugu vugu la itikadi na sera kati ya Mashariki na Magharibi.

Kukamata Upande ni kujiweka kua target ya upande mwingine... Yani simple like that...

Damn Politics [emoji706]
 
Ina maana Russia wameshaingia Viunga vya Kiev?
Ukisikia Kiev sio kama hapo gongolamboto na mbagala, Kiev ni big city mkuu na jiulize leo ni ya ngapi toka usikie russia wameingia Kiev? ni vile watu wengi hawajui kinachoendelea, Ukraine walikuwa wanamsubiri russia aingie kwenye 18 zao. Ni kama vile panya unamfungia chumbani na wewe umo humo humo unampa kibano
 
USA na NATO yake ana kiherehere km jiwe !! kuleeee mbali anataka nini huku!...nimuache mke wangu achukuliwe na adui yangu weee pata chimbika!! hamtaamini!.....
 
Mkuu watu wameisha ingia hadi chumba cha kulala cha ukrein wanavuruga vitanda we unasema wamejipanga?

Usiamini sana hayo matango pori ya bbc
Target ya Ukrain mkuu walikuwa wanawasubiri russia waingie kwenye 18 zao, juilize leo ya ngapi toka usikie russia wapo Kiev?? Kibano kinatembezwa mkuu ni kama vile panya umemfungia milango unampa za uso
 
Back
Top Bottom