LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Unatumia nguvu nyingi kwa kitu simple,,elewa kwamba wewe kama ni Mtanzania ukaenda kuwekeza Kenya,wanaofaidia kwa sehemu kubwa ni Wakenya na wewe binafsi,Nchi kunufaika itategemea ukipata faida unatunza kwenye subsidiaries za host country au laa.

Ndio maana Russia analia Lia kwa sababu anaona moto wa vikwazo.
Tatizo lako unajikuta mjuaji kwe kitu usichokifaham au unakifaham kwa mazoea... System za Taxation duniani kote hazifanan kila nchi ina taratibu zake.

Tanzania sio kama Kenya au sio kama Singapore au sio kama USA...

Kama kitu hukielewi omba uelekezwe au toka kafatilie af urudi na umepata ukweli so kubisha bisha usichokifaham.

Kwa niaba ya wengine ngoja nikuelekeze aina za kodi.

1. World wide based taxation System
2. Territorial based taxation System
3. Citizenship based taxation System

Kajifunze kila moja wapo af fatilia marekan anatumia ipi na kwanini nchi 3 duniani kwa sasa zinatumia mfumo huo kama wake.

Kafatilie tena Kwani huo mfumo wa pili niliotaja apo ndo kimbilio la wawekezaji wengi duniani.

Af kingine yaonesha ata biashara huijui vzuri. So ka unawaza biashara ni kuuza nguo na nyanya so ukinyanyuka ukaenda kuuzia tandale kutoka mbagala umewanufaisha wana tandale so watu wa mbagala umepwaya mzee...

Hao wachimbaji walojazana Afrika kutoka nchi za nje wanakunufaisha wewe na si mataifa au sio?

Unafail wapi jamaa angu.... Una vitu vingi kichwani na nav'admire sana sema una mahabba yanakupunguzia fikra fikirishi.
 
Wanajeshi waoga wa Ukraine walio salia katika viunga vya mji mkuu wa Kiev wameamriwa kuanza kuandika Wosia na Warithi mapema ili kuiepushia mahakama usumbufu wa kesi za mirathi.. masaa machache yajayo watakua majivu meusi baada Wanajeshi Shupavu wa Usoviet kuingia mjini Kiev na mizinga mikubwa ya kuulia magaidi na mamluki
Screenshot_20220311-152958.jpg
 
Tatizo lako unajikuta mjuaji kwe kitu usichokifaham au unakifaham kwa mazoea... System za Taxation duniani kote hazifanan kila nchi ina taratibu zake.

Tanzania sio kama Kenya au sio kama Singapore au sio kama USA...

Kama kitu hukielewi omba uelekezwe au toka kafatilie af urudi na umepata ukweli so kubisha bisha usichokifaham.

Kwa niaba ya wengine ngoja nikuelekeze aina za kodi.

1. World wide based taxation System
2. Territorial based taxation System
3. Citizenship based taxation System

Kajifunze kila moja wapo af fatilia marekan anatumia ipi na kwanini nchi 3 duniani kwa sasa zinatumia mfumo huo kama wake.

Kafatilie tena Kwani huo mfumo wa pili niliotaja apo ndo kimbilio la wawekezaji wengi duniani.

Af kingine yaonesha ata biashara huijui vzuri. So ka unawaza biashara ni kuuza nguo na nyanya so ukinyanyuka ukaenda kuuzia tandale kutoka mbagala umewanufaisha wana tandale so watu wa mbagala umepwaya mzee...

Hao wachimbaji walojazana Afrika kutoka nchi za nje wanakunufaisha wewe sio mataifa sio?

Unafail wapi jamaa angu.... Una vitu vingi kichwani na nav'admire sana sema una mahabba yanakupunguzia fikra fikirishi.
Maelezo meengi afu nayashmmarise kwa kukuuliza hivi,kama wawekezaji wananufaisha zaidi Mataifa walikotoka then why njia kuu ya ku boost uchumi ni foreign investment hususani kwa Nchi ambazo hazijaendelea?
 
Wewe ulitaka wajifiche wapi sasa chumbani mwako ama maana ile ni nchi yao na wana uhuru nayo kama mmeshindwa vita jisalimisheni acheni utoto na hoja za kipimbi kama hizi bhana!!
Mnataka ngumi za kujificha nyuma ya refa hakunaga mapambano ya aina hio! Thats a Gay move... Toeni sura zenu live parling mtu mbike man to man!
 
Mkuu vitu vingine muwe mnakaa kimya, mtajidhalilisha bure. Nigeria itaipiku Russia uchumi?
Alafu muwe mnafanya research kidogo, je ukiachana na US aliyeban oil ya urusi kuna nchi nyingine ime ban? Uingereza wenyewe wamesema mpaka mwishoni mwa 22, napo hatuna uhakika.
Sasa niambie Germany na wenzie watapata wapi mbadala wa nishati ya urusi? USA bado anaendeleza ukoloni pale Ulaya, lakin wameanza kushtuka ndio maana wanakaza.

Poland kagoma kupeleka ndege vita kawaambia wapeleke wenyewe US, hakuna nchi ulaya ime ban uingizaji wa mafuta na gesi, achalia mbali Asia na Africa

Tukusaidie tu, uchumi hatuupimi kwa GDP peke yake pia tunaangalia factors zingine kama HDI (human development index) ambayo inaangalia vitu kama life expectancy, education systems, healthcare systems nk. Ndio maana US wana uchumi mkubwa lakini nchi kama Norway watu wanaishi kama peponi.
Vita ya uchumi haina mshindi, leo hii mafuta yanauzwa kwa bei juu zaid pale US anayeumia ni putin?

Balance of power is inevitable in our world, hakuna taifa askari la kuwasimamia wengine.
interms of GDP na hiyo human developmnet index kwenye top 10 urusi ipo nafasi ya ngapi?
 
Maelezo meengi afu nayashmmarise kwa kukuuliza hivi,kama wawekezaji wananufaisha zaidi Mataifa walikotoka then why njia kuu ya ku boost uchumi ni foreign investment hususani kwa Nchi ambazo hazijaendelea?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado nikikwambia unaelewa vitu kimazoea jamaa angu sijui ka nitakuwa nakukosea...

Hivi ata maana sahihi ya Uchumi unaijua au unajua uchumi n kua na hela mfukoni?

Na unaeza jaribu tu ata kuelezea how economy is boosted kupitia wawekezaji wa kigeni?

Ukijifunza udereva bas jifunze udereva kamili sio aina ya Gari kias kwamba ukibadilishiwa Gari unaweka leseni chini...

Ukitaka kujifunza tuelekazane nitag ila ukitaka kubishana au kujimwambafy kwa ujuaji tena kwe vitu ambavyo vingine unapwaya kbs... Sipo kwa ajili hyo apa...

Zaidi nitakupuuza tu.
 
The UN Security Council meets in New York City on Friday, March 11 at Russia's request, in order to discuss Moscow's claims about "the military alleged "biological activities of the US on the territory of Ukraine."
 
Back
Top Bottom