LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Nationalists blew up the building of the Physico-Technical Institute in Kharkov to hide work on nuclear topics, the Russian Defense Ministry said.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Sahihi social networks zote, zingekuw neutral hasa kwenye swala la siasa katika Dunia, ikishakuwa ya kisiasa tayari imeshachagua upande.

Na kukiwa na upande basi kuna bias, na kukiwa na bias basi kuna kuminywa uhuru na uwazi wa tarifa au habari au maendeleo ya mahali flani.

Effect yake tutashindwa kuona hata uzuri wa Russia na Ukraine na ubaya wao na chanzo haswa cha mgongano, sababu Asilimia kubwa ya vyombo vya habari Duniani n vimeshikwa na Nchi zenye lengo moja na ukaribu wao.
Na sizani ka uhuru wa habari upo ka almost more than 90% ya media zinamilikiwa na kampuni 6 tu ajab zote zipo kutoka Ardhi moja... Upande mmoja.

Tutaendelea siku zote kupata wanachotaka tuskie na hatutaskia kile wasichotaka tusikie.

Ukitaka ona uhuru wa kuzungumza haupo tofauti na tunavoaminishwa wa hasa kwe social media angalia walivomfuta Raisi wao aliyetangulia kwenye mitandao ya kijamii kwa mwanvuli wa uchochezi...

Sasa najiuliza hiki ch wao kuruhusu walichokiruhusu ni suluhisho la mgogoro au uchochezi ule ule?

Au ndo vile kunya anye kuku akinya bata kaharisha...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

MP urges Chelsea fans to stop chanting Abramovich’s name

Government minister Chris Philp called on Chelsea fans to stop the gesture.
Chelsea supporters should stop chanting the name of sanctioned Russian owner Roman Abramovich, a Conservative Party MP has urged.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kupigana apigane Putin, Af chuki zipelekwe kwa Abra dah
 
Wanachaje jamaa kakaa na timu kwa upendo wote.
Sasa hyo waionaje muhenga mwenzangu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]...

Af hii ndo tabia tulonayo kila sehem lakin... Ukigombana na mwenzio baa wataka kila rafiki yako aungane na ww kumchukia mliepishana nae.

Na ikitokea usipofanya hvo atakuita msaliti.
 
Sasa hyo waionaje muhenga mwenzangu
emoji848.png
emoji848.png
emoji848.png
emoji848.png
...

Af hii ndo tabia tulonayo kila sehem lakin... Ukigombana na mwenzio baa wataka kila rafiki yako aungane na ww kumchukia mliepishana nae.

Na ikitokea usipofanya hvo atakuita msaliti.
Ni kitu ambacho kinashindikana. Utanifanya nilale njaa kwajili ya vengeance zako. Hizo ni personal business.

Mambo ni tofauti nowadays, Mamuzi yako yasiumize wengine ukawapa shida zisizo za msingi
 
Ni kitu ambacho kinashindikana. Utanifanya nilale njaa kwajili ya vengeance zako. Hizo ni personal business.

Mambo ni tofauti nowadays, Mamuzi yako yasiumize wengine ukawapa shida zisizo za msingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atariii... na Kuna chama kimoja apo Tz ndo kina wafuasi wa sampuli hyo... Huwa nawatizama tu najsemea acha niwe shabiki wa kula kulala tu ya watu siyawezi... Hivi vingine vimenizidi uzito...
 
Sahihi ila hakuna nchi inayojitangaza vibaya nje ya mipaka yake....

Twende tu na mifano, hivi kwa wafuatiliaji walioko nje ambao huzifatilia taarifa za Tanzania kupitia TBC, StarTV, Channel 10.

Anaeza akapata habari juu ya watu wasojulikana? Anaeza akapata habari za kupotea kwa watu kama akina Ben Saanane? Anaeza kupata taarifa tfaut na zile zenye kuifurahisha serikali?

Jibu ni happana. Haya tuje upande huo em angalia hizo taarifa zinapatikana kwa wingi kwenye vyombo vipi...?

Msemo wako hakuna taifa safi duniani... Kila kona kulipo na Mwanasiasa huwa ji Ushuzi tu kasoro level za kufahamika kilingana na namna walivoweza kuzibana media taarifa zinazoruhusiwa kutoka...

Cameroon apo Raisi wao yupo toka 1972 ka sikosei... Kama nimekosea mtanisahihisha ila mpaka sasa anadunda. Na sijawah sikia kona yoyote anatuhumiwa kwa udictator na mpka majuzi apo FIFA kupitia CAF wamepeleka mashindano yao...

Equatorial Guinea watu wanaishi maisha ya hovyo sana... Yule kiongozi wao nae ni sampuli hizo hizo ila sijawah sikia mataofa ya wapenda demokrasia wameenda kumtoa ka walivofanya sehem zingine lias kwamba jamaa kamueka mwanae kua makam wa Rais... "Play Boy w Insta"

But hayapewi uzito... Kwanini....
Unataka nani amuondoe Rais wa Cameroon au au wa Guinea, mbona alipoondolewa Gadaffi tulilalamika. Hii dunia hakuna nchi iko responsible kivile kutatua shida za nyingine. Huwezi feli wewe ukalilia misaada kwa watu waliojikomboa
 
Sanctions against Russia will affect the recovery of the global economy and harm all parties.

Chinese Premier Li Keqiang said:

“The global economy is already heavily impacted by the pandemic, and the corresponding sanctions will hit the global economic recovery and will not benefit either side.”

Today, the head of the EC announced that the European Union will adopt the fourth package of anti-Russian sanctions.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Unataka nani amuondoe Rais wa Cameroon au au wa Guinea, mbona alipoondolewa Gadaffi tulilalamika. Hii dunia hakuna nchi iko responsible kivile kutatua shida za nyingine. Huwezi feli wewe ukalilia misaada kwa watu waliojikomboa
Vyema kwani NATO walipoingia Libya kumtoa Gadafi lilikuwa n jukum lao?

Na ka halikuwa jukum lao kwanini walifanya hivo si wangewaacha wapambane wenyewe?

Apa T14 Armata tukubali tu tunafata mkumbo mpaka kwenye maamuzi. Na wao wanafanya maamuzi au kuingilia maamuzi yanayo fit interest zao ila sio kwamba et "They do care about us"...
 
Back
Top Bottom