Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we unaumia kutokea wapi??Hivi unapata faida gani wewe mtz kushadadia ukraine kuharibiwa ?
Inashangaza Vladimir Putin kulalamika vikwazo vya uchumi dhidi ya Urusi siyo halali. Je kuvamia nchi ndio halali? Mzee mzima amelikoroga ,hamna namna zaidi ya kumeza na kushusha na vodka.
Duh hizi data sijui umeztolea wapi...Si vile, mambo ni tofauti kidogo. Kati ya nchi inazouza silaha nyingi duniani kuna ufuatano huu...
Unachukia uonevu ila unaipenda marekani hahahahahaKwa jinsi wanavyofanya uharibu na kuua raia,aisee ningekuwepo huko afu tuwateke ningewafanyia ukatili wa kutisha Sana.
Imagine Ukraine sio Nchi yangu wala vita hainihusu kwa lolote lakini nachukua kuonewa,kuharibiwa mali,kuuwawa na kuvamiwa afu niwateke eti nikawahifadhi,hii kwangu haiwezi kutokea.
Fanya tukio hadi wakiona video waogope sio kuwapaka poda wavamizi.
Belarus mbona siku zote anapigana sambamba na Mrusi, labda aseme anaongeza jeshi. Baada ya vita kuisha Urusi atakuwa na wakati mgumu sana kuwashawishi watu kuhusu uwezo wake halisi wa kivita.Putin majeshi yake yameshindwa ku chukua ukraine in 2 days general 9 wameuliwa na mkuu wa majeshi wa Putin yupo kifo cha ndani .Putin amekasirika vibaya mno so Leo ame waomba wanajeshi wa nchi za afrika na Middle East waende wakamsaidie .Belarus amekubali ila kesho anapigwa sanctions .Je wewe mtanzania unaweza kumsaidia Putin .View attachment 2147480
Hata English anaijua basi, ni ushabiki maandazi tu, watanzania wengi ni vilaza.Maelezo yenyewe apo yanasema "Yet to be confirmed... If this is True...."
Af waja mbio na kufurahia as if umemuona alivokufa... Jaman jaman em tupunguzen mahaba tunajichoresha kijinga na kujionesha how stupid we are....
Hao watu wanataka kujifurahia nafsi zao. Wanaongea na kuandika uongoDuh hizi data sijui umeztolea wapi...
2021 Russia World Rank by GDP ni ya 11....
Wanaelewa basi? Ni mburula hao mkuuDuh hizi data sijui umeztolea wapi...
2021 Russia World Rank by GDP ni ya 11..
Hiki Kiingereza chako kimekata kona ya hatari, andika kiswahili utaeleka vizuri tu.Wao walikuwa kila siku wanatuambia free of expression no limit leo yamewashinda. Tuendeshwe na sheria leo yamewashinda na wanataifisha mali za watu bila kupitia mahakama. Mahakama zimepigwa bypass
Wewe unajua lugha gani!?Hiki Kiingereza chako kimekata kona ya hatari, andika kiswahili utaeleka vizuri tu.
Inasemekana...Hili jengo ni hotel walikaa wanajeshi wa marekani waliojifanya wa kujitolea inasemekana waliokuwa zaida 100 basi urusi ikafyatua air to surface 1 wamekufa wote usiku wa kuamkia leo
View attachment 2147659View attachment 2147660
Naam yan kuna vikwazo vingine nyundo kweli mfano ka ile ya SWIFT... Na ajab wakaona inawaathiri na wao wakaamua kua selective kwa baadhi ya Banks...Au unaskia et wauza pempas wafunga maduka yao Moscow sasa hasara SI kwao