LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ndivyo mkuu wa intelligence katika jeshi la Ukraine anasema hivyo.
Ni mji ambao utampa urahisi Russia kuingia Kyiv, ni ngome iliyokubalika sana hadi Zelensky kuiita haipenyezeki.

Nadhani mahesabu yao hio ngome ikichukuliwa basi hakutakuwa na upinzani mkubwa mbeleni, kumbuka Russia wanachotaka ni kuingia Kyiv.

Kumbuka pia Russia ilishafika hadi km 31 karibu kuingia Kyiv 27 february, siku chache tu vita ilipoanza 2022 Feb 24 hapo ni siku kama 3 tu. Bila NATO Ukraine ai chochote.

Chasiv Yar kuwa chini ya Russia ni kurahisisha Russia kuifikia Kyiv kwa urahisi. Usiangalie umbali kwenye ramani bali ni ngome ngumu kupenyezeka. Kumbuka jeshi la Russia kwa kutoa kichapo na kusonga mbele wapo faster, hawana kuremba. Huo umbali wa kawaida tu, kama walitoka Russia hadi karibu na Kyiv kwa siku 3 hapo ni mbali?

Kama walimpiga mjerumani peke yao kutoka mashariki wakafika wa kwanza Berlin unafikiri ni mchezo.
Hii unaenda chaka mzee karudie kusoma. Akichukua Chasiv Yar anajiwekea wepesi wa kuichukua Donbas yote na sio Kiev.

Halafu mbona sikumbuki kuona hii ID tokea vita imeanza? Sio wewe kweli jamaa aliweka picha ya General Surovikin ukauliza ni nani?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Hii unaenda chaka mzee karudie kusoma. Akichukua Chasiv Yar anajiwekea wepesi wa kuichukua Donbas yote na sio Kiev.

Halafu mbona sikumbuki kuona hii ID tokea vita imeanza? Sio wewe kweli jamaa aliweka picha ya General Surovikin ukauliza ni nani?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
General of military intelligence ndivyo alivyosema mzee sasa utabishana nae?
Unaelewa maana ya Russia kuingia Kyiv? Maana ya Russia kuingia Kyiv ni kushinda hii vita, ndio maana anasema wana uhaba wa silaha.
Hakutaka kusema Russia itashinda, lakini amesema kwamba itakuwa njia ya Russia kuelekea Kyiv.

Kwa maana kama hio ngome Zelensky alisema haipenyezeki kama imepenyezeka inabidi kujiuliza kuna ngome ngumu kuliko hio? Kama ipo itapigwa tu kwa sababu haina tofauti na Chasiv Yar.

Labda ni nikudadavulie Russia akishinda Chasiv Yar ni kama ameishinda Ukraine ndio maana ya kuingia Kyiv.
Ndio maana jamaa anasema kuchukuliwa kwa ngome ya Chasiv Yar itapelekea askari wa Ukraine kuharibika kisaikolojia, morali itashuka.

West ni wakali kuficha uhalisia kinachoendelea vitani, Ukraine pia wamekuwa wanaficha, lakini kwa kinachoendelea wanakiri kwamba ni suala la muda tu Russia kuingia Kyiv(ushindi).

Wakali wa intelligence toka NATO wamesha calculate wakaona Ukraine hachomoki, ndio maana kila siku Putin anasema west wakifanya ufyoko hana budi kutumia nuclear.

North Korea tu ishapeleka silaha kontena zaidi ya 6700 zenye silaha za kila aina kwenda Russia, hivi vita sio mchezo, Russia ana wapambe wake na NATO inakomaa kivyake.
 
Russian troops capture another key Donbass stronghold – MOD

The village of Ocheretino has been described as a major logistics hub for Ukrainian troops in the area
Russian troops capture another key Donbass strongholds.
Russian troops continue to make gains in Donbass, and have captured the strategically important village of Ocheretino to the north of Donetsk, the Defense Ministry has said.

In a statement on Sunday, the ministry said the Russian “Center” group of forces had “completely liberated” the settlement “as a result of active [battle] actions.” Ocheretino is located some 25km northwest of the town of Avdeevka, which was taken by Moscow’s troops in February.
 
BRICS should be ready for dollar collapse – Russian IMF rep

The international group could create an alternative currency based on their national legal tenders, according to Alexey Mozhin

The BRICS group of nations could offer an alternative currency in the event of a collapse of the dollar and the international monetary system, according to Russia’s executive director at the International Monetary Fund, Alexey Mozhin.

In an interview with RIA Novosti published on Friday, the expert noted that the shortcomings of the current financial system are becoming more apparent and that many publications have started to mention BRICS “in the context of the fact that this association can offer an alternative.”

Mozhin explained that it is possible for the economic bloc’s member countries to create a currency that would be “built on a basket of currencies of the five member countries,” which would include the Chinese yuan, Indian rupee, Russian ruble, Brazilian real, and the South African rand.

“Such a proposal is being discussed. In the event of the collapse of the dollar and the international monetary system, it will be necessary to turn the said BRICS accounting unit into a real currency, backed by exchange goods,” the director told the outlet.

Earlier this year, during a meeting of BRICS finance ministers and heads of central banks, representatives of its member states expressed support for moving away from the dollar and for trading in national currencies instead.

Russia’s Deputy Minister of Finance, Ivan Chebeskov, said at the time that “most countries said that payments in national currencies are what the BRICS countries need. We are already a large BRICS family, consisting of ten countries. Most countries supported the need to build new payment mechanisms and shared their experience developing central bank digital currencies, building new platforms, and participating in pilots of various platforms.”
 
Last Resort? NATO Secretly Sets Two 'Red Lines' to Directly Meddle in Ukraine Conflict – Report

Russia has repeatedly stressed that NATO is already directly involved in the Ukraine conflict given the alliance’s ongoing arms supplies and training of the Ukrainian military – something that Moscow warns will only lead to the prolongation of the standoff.
NATO has "established at least two red lines, beyond which there could be the alliance’s direct intervention in the conflict in Ukraine," Italy’s La Repubblica newspaper reported on Sunday, citing a "very confidential" unofficial communique.
The lines are reportedly seen by NATO as "last resorts" amid its concerns over the looming "collapse" of Ukraine against the backdrop of Russia’s ongoing offensive in several areas at the front line.
The first red line purportedly pertains to alleged "direct or indirect interference of a third country" – such as Belarus - in the Ukraine conflict, a scenario that also stipulates the Russian Army breaking through the Ukrainian military’s defensive lines near the Ukraine-Belarus border.
The second red line is supposedly related to a possible "military provocation" against Poland or the Baltic countries or military actions against Moldova.
If either of these two red lines are crossed, NATO will ostensibly activate about 100,000 troops stationed in Hungary, Poland, the Baltic states, Romania and Slovakia.
On the other hand, NATO currently "does not have any operational plans" for sending a military contingent to Ukraine as the alliance is dealing with "assessments of its possible actions in emergency situations," according to La Repubblica
 
Russian Forces Destroy Warehouse of Western Missiles Near Odessa

05.05.2024

According to the Russian Defense Ministry, a Ukrainian fuel depot of the 218th Joint Logistics Support Center, rocket fuel production workshops, drone weapons, troops and military equipment in 108 districts were also struck.
“Over the past 24 hours, operational-tactical aviation, missile forces and artillery of groups of troops of the Armed Forces of the Russian Federation destroyed: a warehouse of Western-made missile weapons in the area of the city of Odessa, as well as a radar station for detecting and tracking air targets P-19 in the area of the village of Kozyutovka, Kharkov region," the Russian Ministry of Defense said in a statement on Sunday.
 
Huyu bwana Ukraine inapotandikwa anaumia kweli kweli.

Ninachompenda jamaa ni professional journalist, nyeupe hutamka nyeupe.
Screenshot_20240505-180153_Chrome.jpg
 
Ku

Lingana na io ramani nimeona kama safari bado ni ndefu kwa russia .
Russia ilifanya makosa sana kurudi nyuma kuiacha Kiev .
Si rahisi kwa Russia hata kidogo kuibeba Ukraine yote yenye kupewa msaada na nchi kubwa duniani.

Inaweza kuchukua miaka 8 hadi 10 ya mapigano, sidhani kama ana nguvu kazi hiyo.
 
Viwete tayari walishapelekwa.
Kuna komenti humu ilimuonesha mpigamaji wa Ukraine alievunjika miguu yote miwili,anatumia ya bandia,aliambiwa kua anatakiwa vitani,akajibu kua Hana miguu,imekatika,akaambiwa alete cheti Cha daktari.
Na wote wenye ulemavu wapeleke vyeti vya dakatari.
mtu hana miguu sasa cheti cha daktari cha nini
 
Si rahisi kwa Russia hata kidogo kuibeba Ukraine yote yenye kupewa msaada na nchi kubwa duniani.

Inaweza kuchukua miaka 8 hadi 10 ya mapigano, sidhani kama ana nguvu kazi hiyo.
Kumbuka upande wa pili nao wanachoka.

Urusi ana nafasi nzuri kwa sababu rasilimali zote zinazohitajika kuendesha vita muda mrefu anazo...upande wa pili hadi wachangishane alafu kuzifikisha Ukraine ni kazi nyingine sababu inabidi wazigawanye vikundi vidogovidogo Jambo ambalo ni risk pia kwa sababu, humo kwenye vikundi vidogovidogo ndimo Urusi alimoficha majasusi wake.

Wakisema wasafirishe kwa kutumia meli kubwa au train/kuweka mayai yote kapu moja ili kuokoa gharama za usafirishaji wanajikuta wanapata hasara kubwa sababu satellite za Urusi zitakuwa zinawafuatilia toka hukohuko America na ulaya na atatumia wale malaika wake pendwa kina Kinzhal, Dagger, Islanders nk kuzamisha meli na treni zenye kubeba silaha hizo pamoja na vibebeo vyake.

Mimi nawaambia watu siku zote kwamba, kuingia vitani na Urusi ni sawa na kudumbukia kwenye karai la kukaangia maandazi.
Urusi inatisha sana sema haiwekwi wazi na hawa wamagharibi waliowekeza sana kwenye vyombo vya habari!
Ukiichunguza Urusi vizuri utagundua ipo kwaajili ya kurejesha utaratibu wa kibinadamu duniani alafu ikisharudisha utaratibu wa kawaida inakaa kimya bila kujitangaza wala kuonesha makucha yake.

Kama Mungu anayatumia mataifa, basi utagundua Urusi imekuwa ikitumika pale tu inapoonekana kusudi la Mungu duniani linakiukwa!

Tuwe tu watazamaji huku tukishuhudia mifumo salama ya dunia ikirejeshwa japo ni kwa taratibu ili wapumbavu wasijue kipi ni kipi.

Kama tukienda kwa mwendo huu mdogo, basi tutafika ule wakati wa maarifa kuongezeka sana duniani pande zote kwa kuwango cha kutisha kitu kitakachopelekea mapatano ya upendo na kuheshimiana/amani iliyo kuu.
Tukienda kwa mwendo mkali tutafikia mapatano ambayo tutatangaziana amani huku wengine wakiwa wameficha mapanga 😁
 
Back
Top Bottom