LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Uko sahihi kabisa.
Watu hawataki kukubali kua Ukraine ilishamalizwa siku nyingi.
Hivi Sasa vita ni Urusi na all collective west.
Wanaona misaada inatangazwa Kila siku wanafurahia wakisikia package zimeongezwa lkn hawataki kukubali ukweli kua Urusi Sasa hivi inapamabana na Ukraine inayopewa Kila aina ya msaada inayoitaka kutoka wets lkn bado haisaidii kitu.
Katika Hali kama hiyo ni lazima vita itachukua muda mrefu.
Ukiona mtu anang'ang'ania kua Urusi imeshindwa kumaliza vita Kwa muda mfupi ujue huyo ana akili finyu.
Kwa kifupi Urusi ni taifa la kusifiwa Kwa jinsi smo hii inavyokwenda.
Angekua USA saa hizi angeshakimbia kama alivyokimbia Afghanistan
Nini kukimbia, angevurumusha ka nyuklia kamoja ili kutuliza ghasia. US sio mkakamavu kama Urusi.
 
Duh hii kamata kamata ya kuchukua vijana kupeleka kufia front lines inahuzunisha mno, Kweli vita ni vittta murra!
View attachment 3007213
Yet kuna jamaa anajiita "Rat 🐀" kila siku anasema wamekufa warusi kadhaa na kwamba watazidi "kuwachinja"... Ila unfortunately hasemi kama jeshi la Ukraine limefikia hatua hiyo ya kuokoteza watu mtaani tena kwa fujo namna hiyo wale wapiganaji halisi wapo wapi.

Kua na ubongo 🧠 kichwani ni given kwa kila mtu ila namna ya kuutumia ndio yapishana kwa mtu mmoja mmoja. Kuna upande kwenye huu mgogoro kuusikiliza na kuelewa wanachokifanya yakupasa uwe na upungufu flan hivi kichwani, hivi hivi sio rahisi. Maana unaweza headache isio na dawa 🤣.
Jeshi la Ukraine Lina sifa zote na Nazism
 
Jeshi la Ukraine lina Hali mbaya sana. Hayo yamesemwa na Mkuu wa majeshi wa Ukraine.

Screenshot_20240606-070501.jpg
 
⚡"We must be ready for war with Russia in 2029", German Defense Minister Pistorius says.

“A Russian victory would cost us more than the current support for Ukraine.”





cb6b54c4-1760-440b-abe6-d3b8d015c3a5.jpg
 
Russia's Foreign Minister Sergey Lavrov arrived in the Republic of the Congo on an official visit.

At the airport, he was greeted by Foreign Minister of the Republic of the Congo Jean-Claude Gakosso, a brief conversation followed.
Ohooo mbombo ngafu sasa hapa kuna nchi zinaenda Julia shamba linaenda kuwekwa uzio wa chuma hawatavuna tena.
 
Speaker of the US House of Representatives Mike Johnson believes that current authorizations for the Ukrainian Armed Forces to use US weapons are not enough.

According to him, Washington should stop “micromanaging the war effort in Ukraine.” Johnson himself plans to raise this issue in a conversation with the Biden Administration.

“I have already talked about it, and I will talk about it again. We will discuss this with the White House,” the Speaker told a Voice of America correspondent.
 

Attachments

  • 1717661733949.jpg
    1717661733949.jpg
    163.1 KB · Views: 4
1000061272.jpg

Medvedev
: Yesterday, the President of Russia for the first time allowed the sending of our weapons to regions that are at war with states that supply weapons b. Ukraine (or rather, these weapons are used throughout our country). In other words, those forces that are in conflict with America and NATO countries.

This is a very significant change in our foreign policy. After all, as the Yankees and their European slobbering dogs argue: we have the right to transfer any weapons to b. Ukraine (that is, the enemy of our country), and all other countries cannot help Russia. In other words, we will destroy you in every possible way, but no one dares to supply the Russians with weapons/equipment/other property to defend the country.

Let the United States and its allies now feel the direct use of Russian weapons by third parties. These individuals or regions are deliberately not named, but they could be anyone who considers Pindostan and its comrades their enemies. Regardless of their political beliefs and international recognition.
Their enemy is the United States, which means they are our friends.

And let the use of Russian weapons by yet-to-be-named “regions” be as destructive as possible for their and our adversaries. And let “sensitive objects of the states supplying weapons to Kyiv” burn in hellish flames. They burn together with those who control them.
And we will rejoice at their successful strikes with our weapons against our common enemies!
 
View attachment 3010146
Medvedev
: Yesterday, the President of Russia for the first time allowed the sending of our weapons to regions that are at war with states that supply weapons b. Ukraine (or rather, these weapons are used throughout our country). In other words, those forces that are in conflict with America and NATO countries.

This is a very significant change in our foreign policy. After all, as the Yankees and their European slobbering dogs argue: we have the right to transfer any weapons to b. Ukraine (that is, the enemy of our country), and all other countries cannot help Russia. In other words, we will destroy you in every possible way, but no one dares to supply the Russians with weapons/equipment/other property to defend the country.

Let the United States and its allies now feel the direct use of Russian weapons by third parties. These individuals or regions are deliberately not named, but they could be anyone who considers Pindostan and its comrades their enemies. Regardless of their political beliefs and international recognition.
Their enemy is the United States, which means they are our friends.

And let the use of Russian weapons by yet-to-be-named “regions” be as destructive as possible for their and our adversaries. And let “sensitive objects of the states supplying weapons to Kyiv” burn in hellish flames. They burn together with those who control them.
And we will rejoice at their successful strikes with our weapons against our common enemies!
Nawaona Hamas hapa kwenye regardless of their international recognition
 
Back
Top Bottom