Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari maamuzi yamenyafanyika! G 7 wamepitisha kifurushi kipya Cha Dola billions 50 kwa ajili ya Ukraine kutoka kwenye fedha za urusi zilizozuiliwa huko ulaya..,ikumbukwe kwamba kile kifurushi Cha Dola billions 61 kutoka Us kwa ajili ya Ukraine bado hakijafikisha hata miezi 2 tangu kipitishwe!
KILA Mara unashangilia kifurush kipya, ila hakuna mabadiliko yoyote Vitani😂Tayari maamuzi yamenyafanyika! G 7 wamepitisha kifurushi kipya Cha Dola billions 50 kwa ajili ya Ukraine kutoka kwenye fedha za urusi zilizozuiliwa huko ulaya..,ikumbukwe kwamba kile kifurushi Cha Dola billions 61 kutoka Us kwa ajili ya Ukraine bado hakijafikisha hata miezi 2 tangu kipitishwe!
Nafikiri ni muda Sasa tuizoee hii vita, maana wachambuzi wanasema hizi fedha zitaweza kuifadhili Ukraine katika harakati zake mpaka mwaka 2026!
Bora wewe umejitaidi hata ukareplay! Pro Russia wenzio wakiona habari kama hii wanapita kimyakimya Kwa sababu ya uchungu wanaohisi kwa kuona danadana dhidi ya super power urusi hazina dalili ya kuisha Leo Wala keshoKILA Mara unashangilia kifurush kipya, ila hakuna mabadiliko yoyote Vitani😂
Hata dalili za kuwastopisha Kremlin hakuna!!Kwamba akubali kupangiwa kila kitu na kremlin.
SALAMU kwa wale waliokuwa WANABEZA, WANANANGA, WANABAGAZA "UJAMAA/SOCIALIMS/COMMUNISM"
Hapa ni salam kutoka pande zote...... PETRODOLAR
View: https://x.com/ChrisMcNelly/status/1801015321584710027
Wale tunao ona mbali tulijua this would happen and the US would collapse,and become a third World country,ingawa wasio ona mbali wanasema the US cannot become a third World country,it will.,👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🤝🤝🤝
Putin mlaini sanaaaaaaaaKwa watu wasio ijua Russia hua wanamuona Putin kama katili hivi, ilaaaa 🥱.... Asee ukilinganisha na wengine Putin ni Mlokole kuliko.
Huyu 👇 ni Deputy Chair of Security Council, Medvedev. Imagine ndio angekua final wa kila maamuzi 🤣
View attachment 3016207
Medvedev:- Here are the new American sanctions. There will be new European ones soon. Do we need to respond to them? It seems not, their number is already measured in tens of thousands. We have learned to live and develop with them.
On the other hand, it is necessary. Not only to the authorities, the state, but to all our people in general. To everyone who loves our Motherland - Russia. After all, they - the USA and their fucking allies - declared war on us without rules!
How to react? I already talked about this once, but it’s worth repeating.
Every day we must try to inflict maximum harm on those countries that have imposed these restrictions on our country and all our citizens. Harm in everything that can cause harm. Harm to their economies, their institutions and their rulers. Harm to the well-being of their citizens. Their confidence in the future. To do this, we must continue to look for the critical vulnerabilities of their economies and hit them in all areas. Cause damage in all places, paralyzing the work of their companies and government agencies. Find problems in their most important technologies and strike them mercilessly. Literally destroy their energy, industry, transport, banking and social services. Instill fear of the imminent collapse of all critical infrastructure.
Are they afraid of handing over our weapons to the enemies of the Western world? We must transfer to them all possible types of weapons, except nuclear (for now)!
Are they afraid of anarchy and an explosion of crime in major cities? We must help disorganize their municipal government!
Are they afraid of war in space? This means they will receive it too. Let everything stop for them, let everything deteriorate, let everything go to hell!
Are they afraid of social explosions? Let's arrange them! We need to throw all the most ominous night terrors into their media sphere, use all their terrible phantom pains. No need to spare their psyche anymore! Let them shiver in their cozy homes, let them shiver under the blankets.
Are they yelling about our use of fake news? Let's turn their life into a complete crazy nightmare in which they will not be able to distinguish wild fiction from the realities of the day, infernal evil from the routine of life.
And no rules regarding the enemy! Let them get everything in full for harming Russia and as painfully as possible! Everyone can contribute!
Remember:
Quid pro quo!
Tit for tat!
A fracture for a fracture, an eye for an eye, a tooth for a tooth; as he did <…>, so should he do.
(Leviticus 24:20).