LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Owners of oil depots located in Russia’s Rostov region bordering Ukraine seek to get rid of these assets against the background of the latest devastating drone strikes.
 
Hii vita urusi alibugi pakubwa mno,Kuna habari nyingi sana,sema tu tunaona uvivu kuzileta hapa, fuel depots zinazoharibiwa kila siku..,air fields zinazotiwa kiberit..,viwanda mbalimbali vinavyounguzwa kila siku..,vituo vya reli vinavyochakazwa kila uchao, hizi ni habari hambazo Huwa naona uvivu kuleta hapa lakini Nina uhakika hata Putin akiangalia hizi hasara kubwakubwa anazozidi kulambishwa kila siku anaona kabisa kwamba alibugi!
Yaani wewe uone Urusi imepigwa uache kuleta?? Hata wakuu wako wa BBC wasiandike??? Wewe Uongo wako sasa umepitiliza mzee Vipanya..Kama week hii Mko kimya mnachezea Nakozzzzzz
 
Masikini urusi 😭😭😭
Convicts took prison employees hostage in a jail in Russia's Volgograd Oblast on Aug. 23 and killed one employee, the Russian state-controlled news agency TASS reported.

 
Mkuu, na mimi naandika kwa tahadhari sana ninapoizungumzia RUssia, Russia ni taifa kubwa inafahamika vema

Hata hivyo, Russia hawezi kushindana na nguvu za NATO hata iweje, na ijulikane kwamba, NATO bado haijaingia Russia kiwaziwazi mkuu

Itakapofikia rasimi NATO ameingiza miguu yote, Nakuhakikishia kwamba, Putin watamnyonga kama USA walivyofanya kwa Sadamu

Ni nani aliyeamini kwamba Ukraine anaweza kuvuka mipaka yake na kuingia moja kwa moja ndani ya aridhi ya Russia?

Tuupe muda ujitetee, kusema moja kwa moja itakuwa hivi, ni mapema mno mkuu Bwana Utam am
Nato ipi iingie Russia hili la NATO kuingia Russia lisahau kabisa tena litoe

Kwanza kabla ya kuamini kua NATO itaingia ndani ya Russia na kumnyonga put in inatakiwa wamtoe kwanza kule Kaliningrad halafu hapa ntaona kweli unayosema itawezekana

Hao NATO wanapigana na Russia kupitia Ukraine kwatahadhari sana wanajua wao kama wao hawawezi

Anachokifanya NATO hapo Ukraine ataendelea kutoa tu sapoti ila hatotangaza ile rasmi kama anaingia vitani na Russia hili sahau na silioni likitokea

Ila kama ndio kweli itatokea NATO wakaingia rasmi kwamba wanaingia vitani na Russia nakuhakikishia kuna mataifa hapo ulaya na sehemu nyengine duniani hutayasikia tena uwepo wake

Mwisho yaani anyongwe put in wakati assad mpaka leo anadunda

Kuhusiana na Ukraine kuingia ndani ya mipaka ya Russia binafsi hata mie sikutegemea ila wala sikushangaa kabisa kusikia hili

Ukraine ipo karibu na Russia sio jambo la kushangaza tofauti na ilivyokua libya au iraq au hata syria kama wangetoka huko wakaja kuingia marekani hii ingeshangaza ila kwa ukraine kuvuka tu mpaka kinashangaza kipi?

Ila ukraine kaenda kufata nini ndani ya Russia na je atafanikiwa alilolifata hili ndio lingeshangaza

Ukraine wameenda kufata kufa hapo Kursk hakuna lamaana lakujivunia walolifata



Unadhani kumnyonga put in nikama kuchinja kuku mzeee
 
Nato ipi iingie Russia hili la NATO kuingia Russia lisahau kabisa tena litoe

Kwanza kabla ya kuamini kua NATO itaingia ndani ya Russia na kumnyonga put in inatakiwa wamtoe kwanza kule Kaliningrad halafu hapa ntaona kweli unayosema itawezekana

Hao NATO wanapigana na Russia kupitia Ukraine kwatahadhari sana wanajua wao kama wao hawawezi

Anachokifanya NATO hapo Ukraine ataendelea kutoa tu sapoti ila hatotangaza ile rasmi kama anaingia vitani na Russia hili sahau na silioni likitokea

Ila kama ndio kweli itatokea NATO wakaingia rasmi kwamba wanaingia vitani na Russia nakuhakikishia kuna mataifa hapo ulaya na sehemu nyengine duniani hutayasikia tena uwepo wake

Mwisho yaani anyongwe put in wakati assad mpaka leo anadunda

Kuhusiana na Ukraine kuingia ndani ya mipaka ya Russia binafsi hata mie sikutegemea ila wala sikushangaa kabisa kusikia hili

Ukraine ipo karibu na Russia sio jambo la kushangaza tofauti na ilivyokua libya au iraq au hata syria kama wangetoka huko wakaja kuingia marekani hii ingeshangaza ila kwa ukraine kuvuka tu mpaka kinashangaza kipi?

Ila ukraine kaenda kufata nini ndani ya Russia na je atafanikiwa alilolifata hili ndio lingeshangaza

Ukraine wameenda kufata kufa hapo Kursk hakuna lamaana lakujivunia walolifata



Unadhani kumnyonga put in nikama kuchinja kuku mzeee
Huyo jamaa unamjibu ila usimjibu tena maana inaonekana ushabiki mwingi au hana anachokijua.....eti NATO wakiingia watamnyonga Putin kama Saddam😂
 
Mkuu, na mimi naandika kwa tahadhari sana ninapoizungumzia RUssia, Russia ni taifa kubwa inafahamika vema

Hata hivyo, Russia hawezi kushindana na nguvu za NATO hata iweje, na ijulikane kwamba, NATO bado haijaingia Russia kiwaziwazi mkuu

Itakapofikia rasimi NATO ameingiza miguu yote, Nakuhakikishia kwamba, Putin watamnyonga kama USA walivyofanya kwa Sadamu

Ni nani aliyeamini kwamba Ukraine anaweza kuvuka mipaka yake na kuingia moja kwa moja ndani ya aridhi ya Russia?

Tuupe muda ujitetee, kusema moja kwa moja itakuwa hivi, ni mapema mno mkuu Bwana Utam am
inahitaji uwe na akili zisizo na maono ndio uhisi kua nato wanaweza kuingia direct.
wanaogopa hilo jambo kuliko hata cancer
 
Haya mchezo wa mateka umeisha huko gerezani! Pata picha ingekuwa Israel, U.S.A, UK n.k ungesikia MOSSAD, CIA, MI6 n.k!

All hostages in Russian prison rescued​


Security forces were successful in storming the Volgograd prison, where several inmates had attacked guards and taken hostages earlier on Friday, the Russian national guard has confirmed. All of the terrorists have been killed, and all the hostages have been released.
 
Haya mchezo wa mateka umeisha huko gerezani! Pata picha ingekuwa Israel, U.S.A, UK n.k ungesikia MOSSAD, CIA, MI6 n.k!

All hostages in Russian prison rescued​


Security forces were successful in storming the Volgograd prison, where several inmates had attacked guards and taken hostages earlier on Friday, the Russian national guard has confirmed. All of the terrorists have been killed, and all the hostages have been released.
Sasa hao walioteka wenzao sI ni raia wa Urusi au ww unafikiri wanatokea wapi?
 
Huyo jamaa unamjibu ila usimjibu tena maana inaonekana ushabiki mwingi au hana anachokijua.....eti NATO wakiingia watamnyonga Putin kama Saddam😂
Kwakweli asee inabidi nisimjibu 😀😀😀😀😀

Au kwao PUT IN maana yake kuku maana kamuongelea PUT IN kama anamuongelea kuku au bata anaetaka kuchinjwa😀
 
Mkuu, na mimi naandika kwa tahadhari sana ninapoizungumzia RUssia, Russia ni taifa kubwa inafahamika vema

Hata hivyo, Russia hawezi kushindana na nguvu za NATO hata iweje, na ijulikane kwamba, NATO bado haijaingia Russia kiwaziwazi mkuu

Itakapofikia rasimi NATO ameingiza miguu yote, Nakuhakikishia kwamba, Putin watamnyonga kama USA walivyofanya kwa Sadamu

Ni nani aliyeamini kwamba Ukraine anaweza kuvuka mipaka yake na kuingia moja kwa moja ndani ya aridhi ya Russia?

Tuupe muda ujitetee, kusema moja kwa moja itakuwa hivi, ni mapema mno mkuu Bwana Utam am
Yamkini Russia ameshatumia uwezo wake kwa zaidi ya 80% dhidi ya Ukraine. NATO mpaka sasa sioni kama imeshatumia hata 40% ya uwezo wake kumpa Ukraine. Kusema kwamba Russia anaweza kutunishiana misuli na NATO huko ni kuikosea NATO.
 
Yamkini Russia ameshatumia uwezo wake kwa zaidi ya 80% dhidi ya Ukraine. NATO mpaka sasa sioni kama imeshatumia hata 40% ya uwezo wake kumpa Ukraine. Kusema kwamba Russia anaweza kutunishiana misuli na NATO huko ni kuikosea NATO.
Sasa hizo 80% siniuwezo jumla wa jeshi maana %mingi sana hizo

Yaani jeshi kubwa kama la Russia kaa muda wa miaka miwili wawe wametumia % zote hizo kwenye SMO tu tena hapo jirani

Ila hata kama ingekua kweli katumia %hizo bado hawezi kutishwa na kakikundi cha NATO
 
Kwakweli asee inabidi nisimjibu 😀😀😀😀😀

Au kwao PUT IN maana yake kuku maana kamuongelea PUT IN kama anamuongelea kuku au bata anaetaka kuchinjwa😀
Hapana umefanya vizuri sana kumjibu,majibu Yako yamewaelimisha wengi waliokua Wana mtazamo kama wa huyo jamaa.
Na pia umetoa elimu kwa wengi wasiofahamu chochote kuhusu hoja za huyo jamaa..
Na Mimi nafikiria kumjibu ili asirudiw Tena kuongea vitu vya kusadikika
 
Yamkini Russia ameshatumia uwezo wake kwa zaidi ya 80% dhidi ya Ukraine. NATO mpaka sasa sioni kama imeshatumia hata 40% ya uwezo wake kumpa Ukraine. Kusema kwamba Russia anaweza kutunishiana misuli na NATO huko ni kuikosea NATO.
Dunia haikutokea tokea tu USA akawa kiranja, ipo akili kubwa iliyotumika na ndiyo hiyo inayoendelea kumshusha chini zaidi Russia!

Asiposema yeye mwenyewe amesalenda, mazingira yatamlazimisha, gharama anayoitumia kuendesha hizi vita si cha mtoto
 
Yaani wewe uone Urusi imepigwa uache kuleta?? Hata wakuu wako wa BBC wasiandike??? Wewe Uongo wako sasa umepitiliza mzee Vipanya..Kama week hii Mko kimya mnachezea Nakozzzzzz
The Armed Forces of Ukraine control 94 settlements and up to 1,300 km² of territory in the Kursk region. In the last week, Ukraine expanded its control by approximately 200 km². Ukrainian troops are now 17 km from Lhov.
1724430928451.jpg
 
Kuna hoja za ki form six zinaendelea hapa . US angeweza kupambana na mataifa makubwa 50? Chini ya vikwazo lukuki ? NATO ni kundi kubwa sana lingeingia live mwanzoni waone moto. Hao west wakifa askari mia saba tayari maandamano wasingeweza
Kuna wakati maandamano hayawezi kufua dafu huko west.,ulichek maandamano ya pro-palestine walivyokula kichapo?
 
Back
Top Bottom