LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Historia imeshaandikwa kwamba kwa mara ya kwanza jeshi la nchi ya kigeni limevamia urusi since world war II..,kama imemchukua urusi zaidi ya miaka 2 kuikomboa Donbass,na bado mpaka Sasa hajaweza,huko Kursk nadhani itamchukua zaidi ya miaka 5


N.B.huko Donbass urusi alikuwa akijarbu kukomboa tangu mwaka 2014 kwa kutumia mamluki, iliposhindikana akaamua ajitokeze yeye mwenyewe halisi Katika rangi yake mwenyewe lakini bado Ngoma ngumu.,narudia Tena urusi bado ana safar ndefu sana kuikomboa Kursk
Naona umeanza kujifariji mwenyewe, sio mbaya maana ukikosa furaha basi jipe mwenyewe furaha
 
Yaani nyie pro USA na NATO sijui hua ni utoto au kutokua na ufahamu wa kutosha wa Geopolitics ndio hua unawasumbua!?
Hapa ukweli umeongea kitoto mno,hoja Yako imekosa weledi na urali.
Hivi Kwa akili za kitoto kabisa ,hasa watoto wa darasa la sita au la saba wanapojadili mada hii hawawezi kutoa ulinganifu dhaifu kama wako.
Hivi kweli mmawezaje kulinganisha Nchi dhaifu kijeshi ya Iraq enzi za Sadam Husein dhidi ya nchi za NATO?
Kweli mtu umemaliza hata form four TU katika Discussion hawezi kulinganisha Iraq na NATO.
Nchi ya Iraq kuilinganisha na NATO hakiwezi kutoa majibu sahihi kua NATO ni umoja wenye nguvu za kijeshi Bora kabisa hapa duniani,kwa sababu Iraq ni nchi dhaifu sana ,wala haikua inaunda silaha zake zaidi ya ku modify vikombora vichache kutoka Urusi.
Waliweza kumodify kombora la kizamani la USSR la Scud B na kuliita El Abbas na jingine El Hussein, na vijisilaha vingine vidogo vidogo.
zaidi ya hapo Iraq hawatengenezi silaha.
Iraq hawakua na mfumo wa maana wa ulinzi wa anga ,hawakua na navy ya maana,wala airforce ya maana kuweza kulinganisha na airforce,navy na ground forcces ya NATO.
Hebu fikiria vizuri wewe mtoto, USA ambayo nyinyi mnaamini ndio number one super power inatengeneza Kila aina ya silaha hapa duniani na silaha nyingine ambazo hata nchi nyingine hawana,hebu fikiria nchi kama UK, German na nchi nyingine zote za NATO Kwa wakati huo huku ukiiondoa ufaransa ambayo haikuenda vitani pamoja na NATO,zitazame nchi hizo uwezo wao wa kuzalisha silaha na uwezo wao kijeshi kisha zilinganishe na Iraq ndio mtajua kua nyie ni watu wa aina Gan.

Leo hii NATO kupata ushindi dhidi ya nchi kama Iraq hii ni aibu kubwa mno.
Kumbuka Iraq haikua ikisaidiwa na nchi yoyote hapa duniani.

Hoja ya pili katika makala Yako ni kuilinganisha NATO na Urusi.
Hoja hii moja Kwa moja inaipa ukuu na heshima kubwa mno Urusi.
Na hoja hii ndio inatufungia mjadala wetu juu ya nani zaidi kati ya Urusi na USA.
Nadhani nyie pro NATO wote humu hua mnaipa Urusi heshima kubwa mno kwa kuilinganisha na NATO.

Kwa sababu nyote humu na sehemu nyingine duniani hua mnasema USA ndio superpower Sasa kama super power wenu peke yake hawezi kukabiliana peke yake na Urusi mpaka awe na ushirikiano na nchi nyingine kubwa kijeshi duniani za ulaya ambazo ndio zinaunda umoja wa NATO, basi maana yake huyo superpower wenu haiwezi Urusi akiwa peke yake.
Haya sio maneno yangu Bali ni maneno Yako wewe mwenyewe hapo juu,umesema kua NATO wakiingia vitani kamili dhidi ya Urusi basi Urusi itapigwa na Putin atanyongwa kama Sadam Husein.
Hapa wewe mwenyewe unakili kwa kinywa chako kua hakuna nchi moja ya ulaya Magharibi peke yake inaweza kuishinda Urusi peke yake bila kushirikiana na nchi nyingine zinazounda umoja unaoitwa NATO.
Kwamba hata super power wenu USA hawezi kuishinda Urusi bila nchi nyingine zinazounda NATO.
Hii ndio tafasiri ya hoja zako.
Mimi nilitarajia ungesema kua USA akiingia vitani na Urusi USA itaishinda Urusi na kumnyonga Putin.
Hapa Kwa maana nyingine umemaanisha kua Urusi moja inaweza kushindwa na nchi 32 pekee.
Nchi moja peke yake haiwezi kuipiga Urusi.

Labda nikuambie kitu Cha mwisho hapa unqpoona sio NATO pekee inayokabiliana na Urusi,Bali ni all collective west,sio TU wanapeleka silaha,Bali pia wameiwekea vikwazo ili idhoofike kiuchumi ishindwe kugharamia vita.
je kwa akili Yako wewe unavyoona Urusi hii ya Putin Hadi tarehe hii ya Leo imeshindwa kugharamia vita baada ya kuwekewa vikwazo?

Unajua kua USA akitaka kupitisha ajenda yake hashindwi?
alikataliwa na UN kua Iraq isipigwe kwa sababu Haina WMD lakini kwa ubabe USA wakaenda kumpiga.

Sasa kwa Nini wasimpe Ukraine uanachama wa NATO kibabe kisha wapate sababu ya kuingia vitani kama NATO, ili kumpiga Urusi?

Kumbuka Kuwait na Kosovo hazikua Wanachama wa NATO lkn NATO walizipigania.

Hata Iraq na Libya zilipigwa na NATO.

Lakini pia napenda nikuambie kua,wanajeshi wa NATO wanashiriki vita hii Kwa jina la marcenaries(mamluki) je wamebadilisha Nini.?

Mfano mwingine NATO waliweza kuyaangusha makombora na droni za Iran zilizokua zinaelekea kuipiga Israel,lakini zelensky kawaomba na kuwasihi waweke No fly zone wamekataa alipoona Israel imepata huduma hiyo akawalaumu sana alisema kwa Nini mnatubagua sisi Ukraine mbona Israel mmeipa huduma ya kudungua makombora yaliyopigwa na Iran?

Jibu ni kwamba Urusi sio sawa na Iraq wala sio sawa na Iran.
Ila napenda nikuhakikishie kua Urusi nae ana washirika ambao NATO wakiingia hawatakaa wakitazama,nao wataingia kuisaidia Urusi.
Ni akina nai hao? Mimi sijui ila wapo.
Je vita itakuaje?
Mimi sijui.
Tafakari.
Well analysis mkuu

Asipoelewa hapa bila shaka atakua ana FUNZA au KINYESI kwenye kichwa chake,na kama akiendelea kushupaza shingo nakusihi achana nae usimjibu tena mkubalie tu maana wahenga wanasema MKUBALIE MJINGA UOKOE MUDA 😀😀😀
 
Ukrainian projectile, drone destroyed over Russia’s Kursk Region

A Ukrainian projectile and a fixed-wing drone have been downed over the Kursk Region

KURSK, August 25. /TASS/. A Ukrainian projectile and an unmanned aerial vehicle have been shot down over Russia’s borderline Kursk Region, Acting Governor Alexey Smirnov said.

"A Ukrainian projectile and a fixed-wing drone have been downed over the Kursk Region. Thank you to air defense troops and border guards," he wrote on Telegram.
 
Operation tokomeza inaendelea vizuri TU.

25 AUG, 15:15
Su-25 attack aircraft eliminate Ukrainian troops, equipment in Kursk Region

After using aircraft weapons, the planes performed an anti-missile maneuver, released decoy flares and returned to the departure airfield

MOSCOW, August 25. /TASS/. Su-25 attack aircraft of the Russian Aerospace Forces have destroyed Ukrainian troops and armored vehicles in a border area of Russia’s Kursk Region, the Defense Ministry said in a statement.

"Su-25 crews carried out an attack with aircraft weapons, targeting Ukrainian troops, armored and motor vehicles in a border area of the Kursk Region," the statement reads. "According to intelligence reports, all designated targets were hit," the ministry added.

The Defense Ministry also released video footage showing the combat operation of pilot crews.

After using aircraft weapons, the planes performed an anti-missile maneuver, released decoy flares and returned to the departure airfield
 
Mara ya mwisho niltoa taarifa kua wahamiaji haramu wa Ukraine mkoani Kursk waliokufa walikua 5500 sasa hivi wefika 5800na wamepoteza silaha nyingi mno.


25 AUG, 14:43
Russian forces repel attacks by Ukrainian assault teams in Kursk Region
MOSCOW, August 25. /TASS/. Russian forces repelled attacks by Ukrainian assault teams in the Kursk Region, making the enemy lose up to 40 servicemembers in the past day, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"The Armed Forces continue repelling the Ukrainian army’s incursion attempt into the Russian Federation. Units of Battlegroup North, backed with army aircraft and artillery forces, repelled attacks by enemy assault teams towards Komarovka, Malaya Loknya, Nechayev and Cherkasskoye Poreshnoye. Attempts to carry out attacks were foiled near Vishnyovka, Borki, Pogrebki and Spalnoye. As a result, the Ukrainian armed forces lost up to 40 troops who were killed and wounded, while a tank, four armored combat vehicles and two motor vehicles were destroyed," the statement reads.

The ministry added that "reconnaissance and search activities continue to detect and eliminate enemy sabotage groups in wooded areas, which are trying to move deeper into Russia.".

Ukraine loses over 300 troops in Kursk area in past day
The Ukrainian army lost over 300 troops in the Kursk area in the past day, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"The Ukrainian armed forces lost over 300 troops and 14 armored vehicles in the past day, including a tank, an infantry fighting vehicle, an armored personnel carrier, 11 armored combat vehicles, seven cars, an artillery gun, a engineering vehicle, two electronic warfare systems and an ST-68 aerial target detection radar," the statement reads.

Russian aircraft hit Ukrainian troops in Kursk Region
Russian army aircraft carried out strikes on Ukrainian troops in the Kursk Region and Ukraine’s Sumy Region in the past day, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"Airstrikes, artillery fire and attacks by ground troops targeted enemy forces and equipment from the 22nd and 61st mechanized brigades, the 80th and 82nd air assault brigades of the Ukrainian armed forces, the First National Guard Brigade and the 1004th Security Brigade near Vishnyovka, Gordeyevka, Ivashkovsky, Krasnooktyabrsky, Kruglenkoye, Lyubimovka, Mikhaikovka, Novaya Sorochina, Plekhovo, Rubanshchina and Snagost," the statement reads.

The ministry added that strikes had also been carried out in the Sumy Region, targeting "troops and military equipment from the reserves of the 22nd, 41st, 54th, 61st and 115th mechanized brigades, the 80th and 82nd air assault brigades, the 92nd Assault Brigade of the Ukrainian armed forces, the First National Guard Brigade, and the 101st and 103th territorial defense brigades near Belopolye, Belovody, Vorozhba, Druzhba, Katerinovka, Obody, Pervomaiskoye, Pershetravnevoye, Peremoga, Svessa, Sumy, Ugroyedy, Yunakovka and Yastrebinoye.".

Ukraine loses over 5,800 troops, 72 tanks since start of fighting in Kursk area
The Ukrainian army has lost over 5,800 troops and 72 tanks since fighting began in the Kursk area on August 6, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"Since the start of fighting in the Kursk area, the enemy has lost more than 5,800 troops, 72 tanks, 31 infantry fighting vehicles, 58 armored personnel carriers, 383 armored combat vehicles, 177 motor vehicles, 37 artillery guns, five missile systems, 11 multiple launch rocket systems, including three HIMARS launchers and one MLRS launcher, nine electronic warfare systems, a counter-battery radar, an air defense radar, five engineering vehicles, including two armored engineering vehicles, and an UR-77 mine clearing vehicle. The operation to destroy Ukrainian troops continues," the statement
 
Hali ya vita huko upande wa Ukraine mbali na kursk wa Ukraine wanazidi kupata kipigo kibaya mno na warusi wanazidi kusonga mbele.


MILITARY OPERATION IN UKRAINE
25 AUG, 14:40
Russian air defenses down eight HIMARS rockets, 41 Ukrainian drones in past day
Ukraine loses up to 510 troops in area of responsibility of Russia’s Battlegroup West

MOSCOW, August 25. /TASS/. Russian air defenses downed 41 unmanned aerial vehicles (UAVs) and eight HIMARS rockets in the past day, the Defense Ministry said in a statement.

"Air defenses shot down eight US-made HIMARS rockets and 41 unmanned aerial vehicles," the statement reads.

The Defense Ministry specified that a total of 640 planes, 283 helicopters, 30,475 unmanned aerial vehicles, 575 missile systems, 17,566 tanks and other armored combat vehicles, 1,425 multiple rocket launchers, and 13,621 field artillery mounts and mortars, as well as 25,200 special military motor vehicles, had been destroyed since the start of Russia’s special military operation.

Ukraine loses up to 510 troops in area of responsibility of Russia’s Battlegroup West
Russia’s Battlegroup West repelled five Ukrainian counterattacks in the past day, causing the enemy to lose up to 510 troops and four ammunition depots, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"Units of Battlegroup West moved to more advantageous positions, hitting the troops and equipment of the 14th, 44th and 45th mechanized brigades and the Third Assault Brigade of the Ukrainian armed forces, and the 112th Territorial Defense Brigade near Berestovoye, Kolesninovka, Novoosinovo and Petropavkovka in the Kherson Region, Novovodyanoye in the Lugansk People’s Republic and Serebryanka in the Donetsk People’s Republic. Five counterattacks by assault teams of the 66th Mechanized Brigade of the Ukrainian armed forces, the 1st and 4th national guard brigades and the 12th Special Operations Brigade Azov were repelled. The enemy lost up to 510 troops, a Kozak armored combat vehicle and nine motor vehicles," the statement reads.

A US-made M777 155 mm howitzer, a US-made M198 155 mm howitzer, a Polish-made Krab 155 mm self-propelled howitzer, three D-30 122 mm howitzers, a US-made M119 105 mm howitzer, and three Anklav-N and Kvertus electronic warfare systems were hit by counter battery fire. Four Ukrainian ammunition depots were destroyed.

Russia’s Battlegroup Center continues advancing deeper into enemy defenses
Units of Russia’s Battlegroup Center continued to move deeper into enemy defenses in the past day, making the enemy lose over 500 troops, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"Units of Battlegroup Center continue moving deeper into enemy defenses. They defeated the forces of the 32nd and 110th mechanized brigades, the 25th Air Assault Brigade, the 71th Ranger Brigade of the Ukrainian armed forces, the 109th, 111th and 129th territorial defense brigades, and the 15th National Guard Brigade near Selidovo, Galitsynovka, Vozdvizhenka, Tarasovka, Gradovka, Rozovka, Toretsk, Memrik and Dimitrov in the Donetsk People’s Republic. <...> The enemy lost over 500 troops," the statement reads.

In addition, Russian forces repelled seven counterattacks by the forces of the 100th, 150th and 151th mechanized brigades, the 68th Ranger Brigade, the 49th Assault Battalion of the Ukrainian armed forces and the 14th National Guard Brigade. Ukraine lost two tanks, nine motor vehicles, a Giatsint-B 152 mm gun, a D-20 152 mm howitzer and a D-30 122 mm howitzer.

Ukraine loses up to 130 troops in area of responsibility of Russia’s Battlegroup East
The Ukrainian army lost up to 130 troops and a Caesar self-propelled howitzer in the area of responsibility of Russia’s Battlegroup East in the past day, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"Units of Battlegroup East improved their tactical position, hitting the troops and equipment of the 58th Motorized Infantry Brigade of the Ukrainian armed forces, the 105th Territorial Defense Brigade and the 48th Territorial Defense Assault Battalion near Ugledar, Vodyanoye, Shakhtyorsk, Prechistovka and Zolotaya Niva in the Donetsk People’s Republic, and Novodarovka in the Zaporozhye Region. Two counterattacks by units of the 72nd Mechanized Brigade of the Ukrainian armed forces were repelled," the statement reads.

According to the ministry, the enemy lost up to 130 troops in the past day, as well as an infantry fighting vehicle, an armored combat vehicle, five motor vehicles, a French-made Caesar 155 mm self-propelled howitzer and two Bukovel-AD electronic warfare systems.

Ukraine loses up to 630 troops, Abrams tank in area of responsibility of Battlegroup South
The Ukrainian army lost up to 630 troops and an Abrams tank in the area of responsibility of Russia’s Battlegroup South, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"Units of Battlegroup South improved their frontline positions, hitting the troops and equipment of the 24th, 28th, 30th, 32nd and 54th mechanized brigades, the 56th Motorized Infantry Brigade, the 46th Air Mobile Brigade and the 79th Air Assault Brigade of the Ukrainian armed forces and the 37th Marine Brigade near Pereyezdnoye, Zaliznyanksoye, Grigorovka, Raigorodok, Chasov Yar, Kurdyumvoka, Pleshcheyevka, Kurakhovo, Katerinovka and Konstantinovka in the Donetsk People’s Republic. An attack by the 59th Motorized Infantry Brigade of the Ukrainian armed forces was repelled. The enemy lost up to 630 troops in the past day, as well as an Abrams tank, an armored combat vehicle and 17 motor vehicles," the statement reads.

The ministry added that a US-made M109 Paladin self-propelled howitzer and eight US-made M119 105 mm howitzers had been hit. Three ammunition depots were destroyed.

Ukraine loses up to 130 troops in Volchansk, Liptsy areas in past day
The Ukrainian Army lost up to 130 troops in the Volchansk and Liptsy areas in the past day, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"In the Volchansk and Liptsy areas, units of Battlegroup North defeated the forces of the 82nd Air Assault Brigade of the Ukrainian armed forces, the 36th Marine Brigade, the 13th National Guard Brigade and the 117th Territorial Defense Brigade near Velikaya Pisaryovka in the Sumy Region, Prudyanka, Liptsy and Volchansk in the Kharkov Region. The enemy lost up to 130 troops, an armored personnel carrier, an armored combat vehicle and four 122 mm D-30 howitzers," the statement reads.

Battlegroup Dnepr hits three Ukrainian brigades, makes enemy lost up to 60 troops
Russia’s Battlegroup Dnepr defeated the forces of three Ukrainian brigades in the past day, making the enemy lose up to 60 troops, the Russian Defense Ministry said in a statement.

"Units of Battlegroup Dnepr defeated the forces of the 65th Mechanized Brigade and the 141st Infantry Brigade of the Ukrainian armed forces, the 35th Marine Brigade and the 124th Territorial Defense Brigade near Novodanilovka in the Zaporozhye Region, Kherson, Tokarevka and Dneprovskoye in the Kherson Area. The Ukrainian armed forces lost up to 60 troops, five motor vehicles, two 152 mm D-20 howitzers and an Anklav-N electronic warfare system," the statement reads.
 
Nawahurumia mnavyojitekenya na kycheka wenyewe 😭🤣😁😅🤣

The situation in the Kursk region on August 23, 2024.View attachment 3078369
kp kipanya44 kwani hiyo kursk ina eneo la kilometa za mraba kiasi gani? Kwa taarifa yako ni zaidi ya mkoa wa morogoro. Km² 29000+. Sasa kukalia hiko kieneo ndio unatambaaah.
 
kp kipanya44 kwani hiyo kursk ina eneo la kilometa za mraba kiasi gani? Kwa taarifa yako ni zaidi ya mkoa wa morogoro. Km² 29000+. Sasa kukalia hiko kieneo ndio unatambaaah.
Russia continues to burn:
The oil base near Rostov has been burning for eight days - the challenge of putting out the fire is difficult. Several firefighters have died from inhaling toxic chemicals. THE LIBERATION OF UKRAINE CONTINUES...
 
Kijana unatatizo gani kwani mbona povu sana

Nyuzi zandani zipo watu wameamua kutozifatilia kama hizi

Nenda kale tunda kimasihara ule uzi wandani mbona nanaona una wachangiaji tele
Unajua kuna watu wengine ukiangalia kwa ukongwe walio nao unaweza fikiri ni matured kifikra lakini holla hii jamii forum ni majukwaa kibao lakini mtu anaongea mashudu utafikiri kajiunga leo
 
Back
Top Bottom