LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kuna ile unakua na uwezo wa kufanya kitu lakini hutaki kufanya, asio na akili anakuona kama mdhaifu hivi. Anapata kiburi na hamasa ya kukuchokoza zaidi...

Mda ukiamua kusema sasa yatosha anaanza kulalamika unamuonea.

Sidhani hata kama masaa manne yamefika ila Ukraine nzima imedunguliwa. Kiev, Odessa, Nikolaev, Zaporozhye, Zhitomir - no electricity at all.

Chini hapo ni raman ya maeneo yaliyopigwa.

1000096833.jpg


Hakuna Air defence inafanya kazi Ukraine, imetokea mara chache tu upande wa mikoa ya Vinnystia na Kiev mara chache kwasabab Air force yote imepelekwa mpakani karibu na Kursk.

Taratibu wanaanza kuelewa kwanini Mrusi aliwaacha wajazane huko Kursk.

Vita ni sanaa, ila wengi washabiki wa nje tunaendeshwa na mihemko hapa. Kelele mingiiiii haya sasa kumekucha huko.

Kwa kuitaja, mikoa iliyogusa joto la asbh ni hiyo hapo.
▪️Kirovograd
▪️Kremenchuk
▪️Vinnytsia region
▪️Kharkov
▪️Kiev
▪️Mirgorod (Poltava region)
▪️Ternopil region
▪️Poltava region
▪️Lvov region
▪️Zhytomyr region
▪️Vinnytsia region
▪️Ivano-Frankivsk region
▪️Khmelnytskyi region
▪️Odessa region
▪️Chernigov region
▪️Kharkov region
▪️Zaporozhya region
▪️Rivne region

Assume hii mikoa ingekua ya Russia, na Kursk ndio Ukraine. Kisha imagine reactions ya team flan hapa jukwaani namna ambavyo ingekua.
 
Kuna ile unakua na uwezo wa kufanya kitu lakini hutaki kufanya, asio na akili anakuona kama mdhaifu hivi. Anapata kiburi na hamasa ya kukuchokoza zaidi...

Mda ukiamua kusema sasa yatosha anaanza kulalamika unamuonea.

Sidhani hata kama masaa manne yamefika ila Ukraine nzima imedunguliwa. Kiev, Odessa, Nikolaev, Zaporozhye, Zhitomir - no electricity at all.

Chini hapo ni raman ya maeneo yaliyopigwa.

View attachment 3079558

Hakuna Air defence inafanya kazi Ukraine, imetokea mara chache tu upande wa mikoa ya Vinnystia na Kiev mara chache kwasabab Air force yote imepelekwa mpakani karibu na Kursk.

Taratibu wanaanza kuelewa kwanini Mrusi aliwaacha wajazane huko Kursk.

Vita ni sanaa, ila wengi washabiki wa nje tunaendeshwa na mihemko hapa. Kelele mingiiiii haya sasa kumekucha huko 🤣
Ongera sana maana nasikia vikosi vyote vya Ukraine vimeweka silaha chini na kujisalimisha kwa Putin 😁
 
Ukraine wanatembeza kipondo kotekote,najiuliza jamaa wanapata wapi ubavu kuitunishia msuli urusi na beralus

Ukraine warns that any violation of its state border by Belarus will make all troop concentrations, military facilities, and supply routes in Belarus legitimate targets for the Ukrainian Armed Forces.

At least 17 potential targets have been identified.
1724661972406.jpg
 
Kuna ile unakua na uwezo wa kufanya kitu lakini hutaki kufanya, asio na akili anakuona kama mdhaifu hivi. Anapata kiburi na hamasa ya kukuchokoza zaidi...

Mda ukiamua kusema sasa yatosha anaanza kulalamika unamuonea.

Sidhani hata kama masaa manne yamefika ila Ukraine nzima imedunguliwa. Kiev, Odessa, Nikolaev, Zaporozhye, Zhitomir - no electricity at all.

Chini hapo ni raman ya maeneo yaliyopigwa.

View attachment 3079558

Hakuna Air defence inafanya kazi Ukraine, imetokea mara chache tu upande wa mikoa ya Vinnystia na Kiev mara chache kwasabab Air force yote imepelekwa mpakani karibu na Kursk.

Taratibu wanaanza kuelewa kwanini Mrusi aliwaacha wajazane huko Kursk.

Vita ni sanaa, ila wengi washabiki wa nje tunaendeshwa na mihemko hapa. Kelele mingiiiii haya sasa kumekucha huko.

Kwa kuitaja, mikoa iliyogusa joto la asbh ni hiyo hapo.
▪️Kirovograd
▪️Kremenchuk
▪️Vinnytsia region
▪️Kharkov
▪️Kiev
▪️Mirgorod (Poltava region)
▪️Ternopil region
▪️Poltava region
▪️Lvov region
▪️Zhytomyr region
▪️Vinnytsia region
▪️Ivano-Frankivsk region
▪️Khmelnytskyi region
▪️Odessa region
▪️Chernigov region
▪️Kharkov region
▪️Zaporozhya region
▪️Rivne region

Assume hii mikoa ingekua ya Russia, na Kursk ndio Ukraine. Kisha imagine reactions ya team flan hapa jukwaani namna ambavyo ingekua.
Naomba hii aisome Pro Russia mwenzetu Somoche mwenye mashaka na uwezo wa Urusi.
Na mwenye kutaka shambulio la maangamizi.
Haya Sasa tukiwaambiaga Putin ni mstaarabu muwe mnaelewa.
Na Urusi ni taifa lisilo na mihemuko muwe mnaelewa.
Na hapo bado wakijifanya kurudisha dozi itaongezeka.
 
Kuna ile unakua na uwezo wa kufanya kitu lakini hutaki kufanya, asio na akili anakuona kama mdhaifu hivi.


26 AUG, 11:37
Russian forces eliminate over 11,000 Ukrainian troops, mercenaries at LPR borders in week

"Twenty-nine Ukrainian servicemen surrendered at the engagement line," expert Andrey Marochko said

LUGANSK, August 26. /TASS/. Russian forces repulsed 21 Ukrainian counterattacks and destroyed more than 11,000 enemy troops and foreign mercenaries at the borders of the Lugansk People’s Republic (LPR) over the past week, military expert Andrey Marochko told TASS on Monday.

"On August 17-23, 2024, units of the Battlegroups South and West repulsed 21 enemy counterattacks: an insignificant increase in the activity of Ukrainian armed formations is observed. The enemy’s losses in the area of responsibility of the Battlegroups North, South and West over the reporting period totaled about 11,020 Ukrainian militants and mercenaries: a growth of losses in the units of Ukrainian armed formations continues to be observed. Twenty-nine Ukrainian servicemen surrendered at the engagement line," the expert said.

Over the reporting period, Russian troops destroyed 22 Ukrainian tanks, 98 field artillery guns, 5 multiple rocket launchers, 14 electronic warfare and counterbattery radar stations, 28 field ammunition depots and more than 340 enemy combat vehicles at the LPR borders, he specified.
 
Ukraine wanatembeza kipondo kotekote,najiuliza jamaa wanapata wapi ubavu kuitunishia msuli urusi na beralus

Ukraine warns that any violation of its state border by Belarus will make all troop concentrations, military facilities, and supply routes in Belarus legitimate targets for the Ukrainian Armed Forces.

At least 17 potential targets have been identified.View attachment 3079572
Ila mkuu twende mbele na kurudi nyuma una moyo mkuu.
 
Back
Top Bottom