LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
After months of contradictory reports, the U.S. on Sept. 10 confirmed that Iran had delivered ballistic missiles to Russia in what could prove a dramatic development for Ukraine.

"We've warned Tehran publicly, we've warned Tehran privately, that taking this step would be a dangerous escalation," U.S. Secretary of State Antony Blinken said during a press conference in the U.K.

"Russia has now received shipments of these missiles."
 
Haaahaaa!! Eti UK inaweza futika na kuzamishwa. WABONGO HEBU ACHENI UJUAJI. Yaani wewe unajua kuliko Muingereza mwenyewe. Kama ingekuwa hivyo unafikiri UK angesubutu kuichokoza Russia. Kimsingi hayo mataifa makubwa ya Magharibi yameshafanya tathimini na wanajua Russia anapigika tu na wanachofanya ni hatua kwa hatua kwa kuitumia Ukraine. IPO SIKU DUNIA ITASHANGAZWA ITAKAPOSIKIA NUCLEAR PLANS ZOTE ZA RUSSIA ZIMEPIPIGWA ILI MADHARA YABAKI KWAO HUKOHUKO.

PIA KWENYE HII DUNIA MWENYE JEURI YA KUTAMBIA NUCLEAR NI MAREKANI TU MAANA NI YEYE TU AMBAYE ALIIFANYIA KAZI . WENGINE WANAWEZA KUSEMA WANA NUCLEAR LAKINI KUMBE NI TUI LA TATU LA NAZI
LGBTQ Kwenye ubora uliotukuka
 
It is clear to us: Crimea and Sevastopol are Ukraine. The EU will always support the territorial integrity of Ukraine,” - European Commission President Ursula von der Leyen in her address to the participants of the fourth Crimean Platform summit.

"Ten years have passed since Russia began its aggression against Ukraine. Ukrainians bravely demanded justice, democracy, and a European future. Russia responded by illegally occupying the peninsula.

The EU will never waver in supporting Ukraine’s territorial integrity. Together, we will stand and win, united in our commitment to a free and democratic Ukraine," von der Leyen affirmed.

1726068692380.jpg
 
Chenchen Bado haiwezi kuhimili vita na Ukraine hapa tusidanganyane, yani hicho kikosi hakifikishi hata wapiganaji 50000 ndio kije kuhimili vita na nchi? Hili ni jeshi la urusi linapigana na wanaokufa Wana sare jeshi la urusi, Hapa Putin anatakiwa apige kama netanyahu kule gaza, tofauti na hapo Bado Putin katuangusha sanaa
Umemwelewe Richard kweli wewe?
Au Kila mtu anaongea lwake?
Richard anasema wanajeshi wa Ukraine waliovamia mkoa wa kursk jukumu la kuwafurusha wamepewa wa Chechen.
Sio Ukraine nzima.

Huko kursk vikosi vya urusi vinavyopigana na wavamizi kimojawapo ndio hao Spertnaz Akhmat,Hawa ni kutoka Urusi mkoa wa Chechen.
Huko ndani ya Ukraine wanajeshi wengine wa Urusi wanaendelea kuchukua miji.
 
Haaahaaa!! Eti UK inaweza futika na kuzamishwa. WABONGO HEBU ACHENI UJUAJI. Yaani wewe unajua kuliko Muingereza mwenyewe. Kama ingekuwa hivyo unafikiri UK angesubutu kuichokoza Russia. Kimsingi hayo mataifa makubwa ya Magharibi yameshafanya tathimini na wanajua Russia anapigika tu na wanachofanya ni hatua kwa hatua kwa kuitumia Ukraine. IPO SIKU DUNIA ITASHANGAZWA ITAKAPOSIKIA NUCLEAR PLANS ZOTE ZA RUSSIA ZIMEPIPIGWA ILI MADHARA YABAKI KWAO HUKOHUKO.

PIA KWENYE HII DUNIA MWENYE JEURI YA KUTAMBIA NUCLEAR NI MAREKANI TU MAANA NI YEYE TU AMBAYE ALIIFANYIA KAZI . WENGINE WANAWEZA KUSEMA WANA NUCLEAR LAKINI KUMBE NI TUI LA TATU LA NAZI
Dah! hata wewe pia ni mbogo unaejitia mjuaji kama wabongo wengine.
hapa umeongea mambo mengi sana ambayo wewe umeonesha unayajua, kua,IPO siku nukes zote za Urusi zitapigwa,wewe umeyaona haya hivyo unaamini kabisa Urusi hawajayaona haya.
Ingawa najua umeongea mawazo Yako TU.
Kwamba wewe umejua lakini wa Russia wasijue.
Hii bongo Kila mtu ni mjuaji aisee.
Mkosoaji na mkosolewa wote wajuaji.
 
Umemwelewe Richard kweli wewe?
Au Kila mtu anaongea lwake?
Richard anasema wanajeshi wa Ukraine waliovamia mkoa wa kursk jukumu la kuwafurusha wamepewa wa Chechen.
Sio Ukraine nzima.

Huko kursk vikosi vya urusi vinavyopigana na wavamizi kimojawapo ndio hao Spertnaz Akhmat,Hawa ni kutoka Urusi mkoa wa Chechen.
Huko ndani ya Ukraine wanajeshi wengine wa Urusi wanaendelea kuchukua miji.
Upo sahihi labda, ndio nauliza urusi kupitia Putin ambae ndie mkombozi wetu dhidi ya NATO ameshindwa vipi kuwa maliza hao wanajeshi wa Ukraine waliovamia Kursk? Kweli mpaka Leo Ukraine wanajivinjari ndani ya urusi na Putin yupo kimya?
 
Aah wapi yani Uganda ivamie Kagera alafu sisi tuite SMO, hiyo ni vita kamili urusi anapigana kaka, kule Donbass anafanya vizurii kuchukuwa maeneo lakini kitendo tu Cha Ukraine kuivamia Urusi na kuhimili vita zaidi ya mwezi maana yake Urusi Bado ina kazi kubwa
Dah ndugu yangu,hivi wewe na Urusi nani anajua maan ya SMO?
Wao wenyewe waniita SMO,wewe unakuja kupinga.
Hebu kuwa serious basi.
Hebu tuwaachie warusi wenyewe wanaoiona hii smo kua ni smo.
wewe mwafrika mwenzangu pamoja na ujuajibwako wote huu wa masuala ya vita,ujuaji huo wewe ama walimu wako walisomea kwa warusi wachina au wengine.
Urusi ni moja ya nchi yenye vyuo vingi sana vya kijeshi na hao hao ndio sisi tunapeleka raia wetu kwenda kusoma lkn hakuna hata Mrusi mmoja utakae mkuta kwenye vyuo vyetu hutaki acha lkn huo ndio ukweli wenyewe.
Labda kwetu chuo Cha Sanaa Bagamoyo ndio unaweza ukawakuta Warusi wanajifunza Sanaa zetu.
Kwa hiyo kama Urusi wao bado wanaoiona hii smo kua ni smo tuwaachie wao.
 

The US and NATO Russia-Ukraine war escalation continues:Blinken and Lammy Arrive in Kiev . . .​


September 11, 2024
Blinken and Lammy Arrive in Kiev . . .


US Secretary of State Antony Blinken and British foreign Secretary David Lammy arrived in Kiev for meetings with Ukrainian officials at a critical juncture in Ukraine's war with Russia.
Based on reports out yesterday, both men will tell Kiev they may now utilize weapons supplied by the US and UK to attack pre-war, interior Russia.
That claim was further confirmed by U.S. House of Representatives, Foreign Affairs Committee Chairman Michael McCaul, who has now publicly said said “I talked to Blinken two days ago, and he is traveling with his counterpart from the UK, to Kiev, to basically tell them that they will allow them [to hit Russia with ATACMS.]"
Russia has ardently warned over the past ten days, that if the West allows Ukraine to begin attacking deep inside Russia with Western-supplied weapons, "it will affect both sides of the Atlantic."
 
U
Haaahaaa!! Eti UK inaweza futika na kuzamishwa. WABONGO HEBU ACHENI UJUAJI. Yaani wewe unajua kuliko Muingereza mwenyewe. Kama ingekuwa hivyo unafikiri UK angesubutu kuichokoza Russia. Kimsingi hayo mataifa makubwa ya Magharibi yameshafanya tathimini na wanajua Russia anapigika tu na wanachofanya ni hatua kwa hatua kwa kuitumia Ukraine. IPO SIKU DUNIA ITASHANGAZWA ITAKAPOSIKIA NUCLEAR PLANS ZOTE ZA RUSSIA ZIMEPIPIGWA ILI MADHARA YABAKI KWAO HUKOHUKO.

PIA KWENYE HII DUNIA MWENYE JEURI YA KUTAMBIA NUCLEAR NI MAREKANI TU MAANA NI YEYE TU AMBAYE ALIIFANYIA KAZI . WENGINE WANAWEZA KUSEMA WANA NUCLEAR LAKINI KUMBE NI TUI LA TATU LA NAZI
Umeruka rukaaaa mwisho wa siku tumejua rangi yako na wewe.

Kumbe nawewe ni shabiki tu Bora ungebaki neutral tu.🤓

Kustahimili u-neutral katika huu Uzi ni ngumu sana hasa ukiwa unapenda kuchangia ni lazima utaonesha tu upande wako.

Lililo bora ni kuoneshe tu upande wako mapema Ili utoe ngebe huku watu tunajua wewe ni waupande upi.
 
Upo sahihi labda, ndio nauliza urusi kupitia Putin ambae ndie mkombozi wetu dhidi ya NATO ameshindwa vipi kuwa maliza hao wanajeshi wa Ukraine waliovamia Kursk? Kweli mpaka Leo Ukraine wanajivinjari ndani ya urusi na Putin yupo kimya?
Dah ndugu yangu,
Unajua unaanza kunitisha,kua najadiliana na mtu mwenye uelewa wa aina Gani juu ya mambo haya.
Hivi Kuna mtu anapuuza nguvu ya NATO humu?
Hivi unafikiri hao wavamizi ni watu wajinga?
Hivi unafikiri hawaijui nguvu ya urusi?
Unajua Siri za Kambi?
Unajua walijizatiti kiasi Gani?
Hivi sisi tulio nje tunaandika TU,unajua ni rahisi kiasi Gani kuwafurusha?
Kwa kifupi masuala mengine yanahitaji muda.
Ila nakuhakikishia wataondolewa TU.lini Mimi sijui.
Wavamizi wako na NATO kubali kataa.
 
Kwanza inabidi uelewe tofauti ya vita na SMO.Ukraine yuko vitani - ndo maana unaona kuna Marshall laws, Rais kaongezewa nguvu, wanaume wamepigwa marufuku kuondoka Ukraine, Mobilization (Forced mobilization)..civilian military groups, Hakuna cha uchaguzi, kila kitu ni vita tu.

Russia akitangaza vita:
1.Uchumi wote:Industrial production zitabadirika - war economy...viwanda vinavyotengeneza civilian products asilimia kubwa vitapaswa kuzalisha mahitaji ya kijeshi

2 Marshall Law: Mambo ya uchaguzi, maisha ya kawaida hakuna

3.Full country mobilization: watu karibia 30M watapaswa kwenda vitank
4.Kutoka nje ya nchi itakuwa ni ngumu ili watu wasitoroke.

5.Huyo Putin ataongezewa nguvu kikatiba ya kuweza kuhandle mambo moja kwa moja...

6.Bunge lingetangaziwa fully na kupitisha.

7.Military exercises hakuna: Wote ni real war.Sasa hivi Russia Navy wako pacific huko wanafanya mazoezi utafikiri hawajui kinachoendelea.

8.Unlimited use ya silaha.Silaa za maangamizi nzitonzito ungeziskia - hata zilizozuiliwa.Watu wangepigwa hadi chemical weapons, (Kasome alichokua anakifanya USA kwa Wa - Vietnam.)
9.Total unhiliation ya miji: Kiev, Odess,Kharkiv,l usingeziona zimesimama....

10.Watu wengi zaidi wangekufa sababu ingekuwa ni kurusha makombora kwa lengo la kuharibu..

11.Hayo majengo ya Bunge la Ukraine, Serikali yasingekuwa yamesimama.

Nenda kaone anachokifanya Israel Gaza ndo utaelewa utofauti.vitu vinashushwa popote tu.
Au nenda kaangalie Berlin ilivyokua 1945....pamoja na mija mingine ya Ulaya au Japan ndo utaelewa utofauti wa kinachoendelea Ukraine.
Umeelezea mengi sana ila nakuliza, anachokofaya Putin kule Kursk ni SMO?
 
Turkish President Erdoğan stated that Crimea must be returned to Ukraine and reaffirmed Turkey's support for Ukraine's sovereignty and territorial integrity in line with international law. In a video address to the Crimea Platform, he expressed Turkey's sincere desire for the war to end with a just and lasting peace based on Ukraine's territorial integrity, sovereignty, and independence.
View attachment 3093233
Erdogan?I do not believe he said these words,especially given the fact that his policies and those of the West are so different.I do not believe he would like to be seen as supporting the West since he has shifted his alliance to BRICS.
 

U.S. and UK to officially APPROVE Long-Range sttacks into Pre-War Russia​


September 10, 2024
U.S. and UK to Officially APPROVE Long-Range Attacks into Pre-War Russia


US Secretary of State Blinken & UK Foreign Secretary David Lammy, will travel to Kyiv to inform Ukraine that restrictions on use of long-range missiles against Russian territory will be lifted.
Initially, this will mean that American-supplied ATACMS (Advanced Tactical Missile System) along with British-supplied "StormShadow" missiles, and French-supplied "SCALP" missiles, can now be used to attack deep inside pre-war Russia.

ANALYSIS
How much longer can any reasonable person expect Russia, to sit back and allow itself to be attacked with American, British, French, and German weaponry, fired by Ukraine?
In the real world, if persons "A" and "b" give a weapon to person "C," and person "C" goes out and uses that weapon to commit an act of violence . . . and gets arrested . . . . they then ask Person "C" "Where did you get this weapon?" When person "C" tells them, the very NEXT people to get arrested are persons "A" and "B."
There is liability and culpability for what the United States, the United Kingdom, France, Germany, and NATO member countries, are doing. They are accessories before the fact.
If it weren't for the fact that the US and NATO breached the promise made by President George H.W. Bush (the father) . . . who promised Mikhail Gorbachev that "NATO will not move one inch eastward" if the then-Soviet Union approved of the reunification of East and West Germany, none of this trouble would be happening.
WE PROMISED the Soviets we would not expand NATO. Bill Clinton got into the US Presidency, and the Presidential promise to the Soviets went out the window.
We not only expanded NATO more than one inch eastward, we expanded it right up to Russia's BORDER!
When the US/EU and NATO tried to get Ukraine to join NATO, back in 2013 and 2014, Ukraine's Democratically-elected President, Viktor Yanukovich said "Thanks, but no thanks." So the US -- under Barack Obama -- the EU, and NATO fomented, financed, and facilitated the forcible, violent overthrow of Yanukovich.
It was THEN . . . . right then . . . . that Russia realized the expansion of NATO was going to put American missiles on Ukrainian soil - and do it by overthrowing Ukraine's President! ! ! !. Those missiles would have a five minute flight time to Moscow.
Russia also pointed out that even if, as the Americans claimed, the missiles were "conventional" and "defensive" that they could also be re-fitted with OFFENSIVE and NUCLEAR warheads. The refit could be done while the missiles were in their launcher, and no one would know the missiles had been swapped-out.
Russia could then find itself on the wrong end of nuclear bombs with a five minute flight time to Moscow, and a slightly longer 7-10 minute flight time to Russia's strategic nuclear missile silos.
Russia pointed out that no nation on earth can defend itself against a missile with a five minute flight time from launch to impact.
Russia pointed out that it was US President John F. Kennedy, who set the precedent for this, when he imposed a naval blockade of Cuba because the then-Soviets, had place nuclear missiles in Cuba with a five minute flight time to Washington DC. (Cuban Missile Crisis.)
Had the Soviets not agreed to remove those missiles, President Kennedy was already massing troops in Florida to invade Cuba.
Russia tried, at least TWICE, to negotiate "iron-clad, legally enforceable security guarantees" via Diplomatic efforts in December 2021 and January 2022 to protect their national security from NATO expansion and more missiles. The collective West laughed and told Russia "No." So the second attempt, Russia told everyone "If we cannot obtain iron-clad, legally enforceable security guarantees via Diplomatic means, we will obtain them by military or military-technical means." They told everyone -- in writing -- they would use military force.
The collective West waited about two weeks and then laughed at the Russians again, and told them "no."
Russia made clear this issue is a "Red Line" and they would not allow Ukraine to Join NATO.
In its final effort to keep the peace, Russia called Ukraine and told them "You have five hours to agree not to join NATO." Ukraine called the US and UK, both of whom told them "ignore the Russian ultimatum."
Russia waited. When the five hours were up, Russia waited two additional hours and, having heard nothing but Ukraine earlier say "We are a Sovereign country, we will do what we want, Russia said "Oh yea? Here. Meet the Russian Army.
In went the Russian troops.
The West then turns around and screeches like girl-men "This is an unprovoked aggression by Russia." No it isn't. It was provoked. Provoked by the expansion of NATO. Provoked by the forcible overthrow of Ukraine's President Yanukovich. Provoked by the Ukraine Army shelling and mortaring Russian-speaking civilians in Luhansk and Donetsk.
Russia is DEFENDING its own national security by forcibly halting this expansion of NATO; done by the forcible overthrow of Ukraine's government by the US and EU. Russia is defending itself from American missiles being on Ukrainian soil.
Russia is defending the Russian-speaking populations of Luhansk, Donetsk Kherson, and Zaporozyhe - many of whom were already being attacked by Ukraine artillery and mortars. In fact, Luhansk and Donetsk, had already lost about 13,000 people to Ukrainian attacks, before Russia stepped-in to help them fight off the Ukrainians in 2013 and 2014.
Russia is right in what it's doing.
If Russia gives-in, NATO will simply continue to expand until all of Russia is surrounded. Then, one day, NATO calls and says something like, you have five minutes to surrender or we will wipe your country from the face of the earth and take all its riches. At that point, it would be too late for Russia.
Russia had to take a stand, now. They had no choice.
We in the West are the aggressors here. It is we in the West who moved our NATO bases right up to Russia's border. It is we in the West aiming more and more missiles at Russia from all those bases. And it is we in the West who have been using Ukraine, as a Proxy army, to attack Russia for OUR (NATO) benefit.
If Russia decides they have had enough of us, it is WE (here in America) that may be hit by their missiles. All because NATO wants to expand.
I say, No thanks, NATO. You don't need to expand anymore.
Wasimruhusu hatutaki kula pizza za msiba kwa mfululizo.
 
Aah wapi yani Uganda ivamie Kagera alafu sisi tuite SMO, hiyo ni vita kamili urusi anapigana kaka, kule Donbass anafanya vizurii kuchukuwa maeneo lakini kitendo tu Cha Ukraine kuivamia Urusi na kuhimili vita zaidi ya mwezi maana yake Urusi Bado ina kazi kubwa
Aah unadhani Russia ni mjinga kutokuwekeza nguvu Kursk!?
Alichokifanya amekilinda kinu cha nuclear cha Kursk na kuweka vizuizi Sumy,mji ambao Ukraine wangeutumia kupitisha msaada kuja Kursk.
Mengine malizia mwenyewe.
 
Turkish President Erdoğan stated that Crimea must be returned to Ukraine and reaffirmed Turkey's support for Ukraine's sovereignty and territorial integrity in line with international law. In a video address to the Crimea Platform, he expressed Turkey's sincere desire for the war to end with a just and lasting peace based on Ukraine's territorial integrity, sovereignty, and independence.
View attachment 3093233
huyu mzee usimuamini sana ni mnafiki wa kiwango cha juu.
 
Aah unadhani Russia ni mjinga kutokuwekeza nguvu Kursk!?
Alichokifanya amekilinda kinu cha nuclear cha Kursk na kuweka vizuizi Sumy,mji ambao Ukraine wangeutumia kupitisha msaada kuja Kursk.
Mengine malizia mwenyewe.
Kama Putin angewekeza nguvu Ukraine isingedhibiti baadhi ya vijiji kule, tusiandike ushibiki vita bado ni vigumu upande wa Urusi
 
Kama Putin angewekeza nguvu Ukraine isingedhibiti baadhi ya vijiji kule, tusiandike ushibiki vita bado ni vigumu upande wa Urusi
Naongea kwa kukusisitiza.
Kwanza unajua lengo la Ukraine kuvamia Russia!??
Malengo yalikua matatu;
-Kukamata nuclear plant iliopo Kursk ili iwe kama leverage kipindi cha majadiliano.
-Kupunguza kasi ya mashambulizi ya Russia ndani ya Ukraine.
-Kulipunguza jeshi la Russia ndani ya Ukraine na kulivuta Kursk.

Je kuna kilichofanikiwa!??
Pia nimekuuliza Russia kwa kukiwekea ulinzi kinu cha Kursk na kuweka vizuizi mji wa Sumy ambao Ukraine ndio hutumia kupitisha misaada,unavyodhani wewe anamaanisha nini??
 
Back
Top Bottom