LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kwa nini mnaona NATO aingilie vita ya urusi na Ukraine.,kwani urusi na Ukraine ndio Wana vita tu Dunia hii!?..,kwa nini NATO wasiingilie huko Sudan.., kwa nini NATO wasiingilie huko Congo..,kwa nini NATO wasiingilie huko Myanmar..,kwa nini NATO wasiingilie huko Gaza.,kwa nini NATO hawakuingilia huko naghno kalabakh kati ya Armenia na arzerbaijan..kwa nini wasiingilie somalia kupambana na alshaababu..,kwa nini hawakuingilia huko Ethiopia wakati wazir mkuu Ahmed alituhumiwa kwa uvunjaji wa haki za binadam
*Sudan NATO hakuna maslahi napo.
*Congo wazungu ndio wafadhili wa vita ili wapate bloody minerals.
*Myanmar hapana maslahi napo NATO.
*Gaza USA,UK na Germany wapo upande wa Israel na hata October 7 walipeleka shehena ya silaha huko.
Hivyo haina haja ya NATO ilhali USA,UK wapo kama washirika wa Israel.
*Nagorno Karabakh NATO hawana maslahi napo licha ya kutokuwa na maslahi napo kuna vidume viwili teyari vimekita mizizi ambavyo ni Turkiye na Russia.
*Ethiopia NATO hawana maslahi napo.

Ila Ukraine kuna geopolitical potentials nyingi sana kwa NATO.
Kwanza utambue kiushindani wa jeshi Russia ndio tishio kwa NATO.
Pili Ukraine kuna maliasili nyingi sana ambazo za kunufaisha.
Hivi unadhani EU na USA/NATO wajinga kuingilia hili suala!??
Hapo ndio wamepata fursa ya kumuangusha Russia ndio maana wao wanasisitiza vita iende muda mrefu.
 
Vikwazo vya kiuchumi ni vibaya sana mkuu wangu jaribu kuangalia miaka ijayo mbeleni, ziangalie nchi kama Venezuela, Syria nchi zenye utajiri wa mafuta bila vikwazo vya marekani zisingekuwa hapo zilipo, iangalie north Korea tokea 1950 baada ya kuwekewa vikwazo wao wameona nibora pesa zote ziende jeshini tu, hata kwa hapa Africa iangalie Zimbabwe, kaka vikwazo sio vya kuombea kabisa hata kwa hiyo marekani
Russia sio taifa jepesi uliwekee vikwazo na viwaathiri kaka.
Hiyo Russia ndio supplier wa petroleum energy kwa mataifa mengi ya Western Europe hasa hasa Germany.
Russia ana mshirika mkubwa China.
Taifa kama Russia sio la kulifananisha na Zimbabwe ama Venezuela kaka.
 
Big changes could happen in Germany: Chancellor Olaf Scholz wants to resign, - Financial Times.
Some members of the country's ruling SPD party are unhappy with the low rating. He may be replaced by Defense Minister Boris Pistorius, who is a pro-Ukrainian.
 
Mkuu unafikiri kwanini USA walifadhili jihadist wa Chechen na Taliban waipindue USSR!??
Japo sio hodari sana katika history, USSR ilivunjika baada ya kufirisika kutokana na vita..,hasa Ile aliyopigana Miaka 10 kisha kukimbia huko Afghanistan

USSR ilivunjika kwa instability za ndani kwa ndani tu
 
Big changes could happen in Germany: Chancellor Olaf Scholz wants to resign, - Financial Times.
Some members of the country's ruling SPD party are unhappy with the low rating. He may be replaced by Defense Minister Boris Pistorius, who is a pro-Ukrainian.
 
NATO WALISHAJIPANGA MIAKA MINGI SANA KUJILINDA DHIDI YA MAKOMBORA YA RUSSIA. NADHANI UNAKUMBUKA KITUO CHA KUZUIA MAKOMBORA KILICHOJENGWA POLAND NA KILIVYOZINDULIWA SERIKALI YA URUSI ILILALAMIKA SANA. Lakini pia lazima NATO imeshaweka Mikakati ya kuiwahi URUSI iwapo kweli vita vitatokea baina yao, hivyo pamoja na kuwa na makombora ya kupiga London au Marekani basi hatapata hiyo nafasi.
Kiongozi, kuna kitu kinaitwa Dead Hand.. ni noma hata kama Russia wote wafe.. Mataifa ya Nato hayapo salama.
 
Mkuu Nikol Pashinyan aliingia 2018 baada ya kufanya maandamano ya kumtoa madarakani Serzh Sergsyan.
Serzh Sergsyan ndiye ambaye alikua na muunganiko na Western na hao NATO.
Maana ali serve kama President halafu akaja chaguliwa kama Prime minister.
Ndipo watu wakaingia road wakiongozwa na Pashinyan.
Pashinyan alipochaguliwa kuwa waziri mkuu alirudisha uhusiano wa kijeshi na Urusi.
Na ilipotokea Azerbaijan inajiandaa kuirudisha Karabakh Putin alituma wanajeshi wasiopungua 500 kwenda Armenia.
Sasa mkuu hao askari hawakutumwa tu pasi na makubaliano.
Na hao askari wa Urusi walishiriki katika mapigano ya Karabakh zaidi ya askari 150 walifariki hapo wakiwa wanapigana.
Ndio hali kuona ngumu jeshi la Armenia na la Urusi ili pull back maeneo mengi,wakabaki waasi wa kikabila asili ya Armenia wakipambana na Azer,mwishowe waliwekwa chini ya ulinzi.
Azerbaijan ni mtoto wa Uturuki.


Sikatai Armenia ilizingua mwanzo kwa kuwa na shobo na Western Imperialists ila toka 2018 Pashinyan alipoingia madarakani alirudisha ule uhusiano wa kijeshi na Urusi.
Pia jambo la Urusi kumsapoti Armenia pale Karabakh lilikua jambo serious lenye dhamiri kabisa.
Baada ya kuipoteza Nagorno Karabakh Armenia ikaamua kufanya mpango wa kusitisha tena mahusiano ya kijeshi na Urusi.

Hawa Uturuki na Urusi ni watu ambao wanakandanaga kimya kimya,ni marafiki ila kuna muda wakikutana katika sehemu ya maslahi basi wanaumana huku baadae wanapulizana.
Bila shaka wewe utakuwa pro Russia,
Madini unayoshusha pro West hawana hizi akili...
 
Kwahyo maana yake nikwamba, ikiwa Ukraine itatumia hizo long range kwa nukuu ya Moscow nikwamba NATO itakuwa imejiingiza direct kwenye vita dhidi ya urusi, kwahyo hapo tutarajie kambi za NATO/ marekani zilizopo ulaya kutiwa viberiti, ngoja tuone itakavokuwa lakini kwa upande mwingine huwezi kupuuza nguvu ya NATO. Vita huwezi kushinda kwa kurusha makombora tu kama anavofanya Israel kule gaza, ni lazima uwe na uwezo wa kutawala anga la adui vikienda sambamba na vikosi vya ardhini
Vyote
Urusi hapigani na NATO bana acha kutudanganya hapa alafu hili mbona kila siku unalirudia? Ingekuwa ni hivyo ungeona makombora yanavypishana huko ulaya pia tungeona silaha Kali Kali kabisa kama su57, f35 nk...
Inachofanya NATO kwasasa ni kutoa tu silaha tena kwa tahadhari kubwa. Acha kudanganya watu kaka
Elimu, Elimu Elimu......
 
Mimi kichwa changu kikubwa sana tofauti na wengi wenu humu ndio maana hamtanielewa. Ni kama kabla hata ya mgogoro wa Ukraine nilivyokataa kuamini kuwa Russia haiingiliki eti sababu ya Defence systems zake za S400 na S500. Mlisema hata jiwe likirushwa linadunguliwa , mimi nilikataa lakini kama kawaida yenu nyie mkawa mnaona mimi sijui.

SIKU IKATOKEA SATELLITE IMEPIGWA UNITUKANE KWA KUNIITA MWIJAKU
Huna hiyo akili,jinsi unavyo logic vitu niwazi una uwezo mdogo sana akili
 
Russian Ambassador: If War Comes, it will affect the US on its own territory

September 14, 2024
Russian Ambassador: If War Comes, it will affect the US on its own territory


Russian Ambassador to Washington Anatoly Antonov said today in a televised interview that there is some kind of illusion in the United States that a war with Russia will not hit US territory; making clear U.S. territory WOULD be hit!
Speaking from the Russian Embassy in Washington, DC, the Ambassador's precise remarks are:
"We have said a hundred times that there can be no nuclear war between nuclear states, especially between the United States and Russia.
And there will be no winners.
But there is some kind of illusion here that if there is a conflict, it will not spread to the territory of the United States of America.
I am constantly trying to convey one thesis to them - the Americans will not be able to sit it out behind the waters of the ocean, this war will affect everyone.
Therefore, we constantly say: do not play with this rhetoric.
Here is video of the Interview in its original Russian language for anyone who wants to self-translate to assure accuracy:

WORSE:
Russia's Deputy Foreign Minister Sergei Ryabkov remarked today: ”The United States has given Kiev all the carte blanche to strike with long-range weapons deep into the Russian territory, Moscow’s response to it will be brutal
He went on to say ”There is an element of serious risk here, because the opponents in Washington, London, and other places clearly underestimate the degree of danger of the game they continue to play.”
 

Attachments

  • Ambassador-Anatov-War-will-hit-US-shores.mp4
    2 MB
NATO WALISHAJIPANGA MIAKA MINGI SANA KUJILINDA DHIDI YA MAKOMBORA YA RUSSIA. NADHANI UNAKUMBUKA KITUO CHA KUZUIA MAKOMBORA KILICHOJENGWA POLAND NA KILIVYOZINDULIWA SERIKALI YA URUSI ILILALAMIKA SANA. Lakini pia lazima NATO imeshaweka Mikakati ya kuiwahi URUSI iwapo kweli vita vitatokea baina yao, hivyo pamoja na kuwa na makombora ya kupiga London au Marekani basi hatapata hiyo nafasi.
Kwahyo wakati NATO anaweka mipango yote hyo na Russia nae kalala tu ??
Punguza mahaba ,think and logic
 
Ha ha haa,Hawa jamaa kumbe ni wajinga sana tofauti na tunavyowafikiriaga.
Hivi RT moja inaweza kuzishinda CNN,BBC, sky news,dw,fox news, Washington Post, Newsweek etc?.
Aisee inaonekana Hawa jamaa Sasa hivi wanatapatapa,aisee nimekubali Putin ni habari nyingine.
Hawamuwezi aisee kilichobaki ni kumuombea kifo tu.
Hata wafuasi wao humu ndani siunawaona uwezo wao ulivyo wakulogic vitu?? ..Huwezi kuruhusu ushoga then uwe akili sawa
 
Huwezi shinda vita kwa kurusha makombora mazito tuu bila kuhusisha vikosi vya ardhini Israel imejaribu hivyo lakini imeshindwa, tangu mwanzoni mwa vita urusi imevurumisha mamia ya makombora kule Ukraine lakini mpaka Leo vita bado vinaendeleaa, Ukraine nikama Hamas tu imezidiwa lakini haikubali kuweka silaha chini itapigana mpaka tone la mwisho
Kwani nyiePro UkrainNato mlipewa timeframe ya vita kua itaisha lini?
Je huoni mafanikio ya Urusi kuichukua Donbas?
Lakini huoni Kila siku NATO wanatangaza misaada mipya je Ile ya zamani inaenda wapi?
Hivi nyinyi wenzetu pro ukrainato hua mnafikiri kwa kutumia viungo Gani?
 
Back
Top Bottom