Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Wenye shaka shaka na put in musiwe na shaka Americant anataka kuanguka na mwenziwe hivyo anamkurupua Russia akurupuke ila put in hakurupuki Safi sana oreshnik
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sanaChuma km hili linawezaje kukimbia kuliko saut Russia ni hatari
View attachment 3159974
Putin's new missile leaves the whole of Europe minutes from Armageddon!!Humu jukwaani Kuna watu wanajiona Wana akili sana kumbe watupu kabisa vichwani,
Hebu fikiria wakuu wa umoja wa kijeshi wenye nguvu kabisa hapa duniani wamekusanyana kujadili kombora moja TU lililorushwa na Urusi nchini Ukraine.
Kama wakubwa Hawa wameona hatari ya kombora hilo Leo Kuna Mtanzania mmoja TU anasema Urusi haman kitu.
Hivi sisi Watanzania tuko sawa kweli?
The powerful next-level, multiple-warhead battlefield weapon, which has been analyzed by the Pentagon, has prompted NATO to hold an emergency summit on Tuesday.
Oreshnik kapiga kwenye mshono wao.Mpaka sasa nashindwa kuelewa kwanini Oreshnik imetingisha vichwa vya habari hivi Dunian?, maana Russia imeshawah kutumia hypersonic missiles sijui Iskander etc, kwann hili limetingisha Dunia? Kuna nn kimetokea uko Ukrain? Au ni sehemu iliyopiga ndo imekuwa gumzo? Maana hypersonic missiles imekuwa ikifyatuliwa na Russia na hakuna air defense yyte iliyokuwa inaweza kuzuia, nini asa cha upekee wa Oreshnik mpaka Dunia imekuwa gumzo, mwenye taarifa, aelezee kwa undani.
Nahisi kilichopigwa this time kimewaumiza sana. Inaweza kuwa ni silaha zao muhimu au lundo la askari muhimu. This time nato wamepigwa panapoumaMpaka sasa nashindwa kuelewa kwanini Oreshnik imetingisha vichwa vya habari hivi Dunian?, maana Russia imeshawah kutumia hypersonic missiles sijui Iskander etc, kwann hili limetingisha Dunia? Kuna nn kimetokea uko Ukrain? Au ni sehemu iliyopiga ndo imekuwa gumzo? Maana hypersonic missiles imekuwa ikifyatuliwa na Russia na hakuna air defense yyte iliyokuwa inaweza kuzuia, nini asa cha upekee wa Oreshnik mpaka Dunia imekuwa gumzo, mwenye taarifa, aelezee kwa undani.
bado hawajasema⚡Zelensky says that NATO is not ready for a "war of attrition" with Russia since the arsenals of missiles and drones of the alliance countries are not comparable with the capabilities of the Russian military-industrial complex.
"The question is; which NATO country is ready to repel an attack by 2,000 targets today? And the trend will be toward increasing the number. Already this month, the number will reach 3,000," Zelensky said in an interview with Ukrainska Pravda.
He stressed that the "means of resistance" provided to Ukraine remain "too expensive" and their quantity is too limited. At the same time, the former commander-in-chief of the Ukrainian Armed Forces expressed the opinion that for the same reasons, "neither Britain nor other countries will be ready" for a potential confrontation with Russia.
"I have some doubts. Again, for the same reason that they are very expensive, and, as a result, it is impossible to have a lot of them because producing them is a problem. Therefore, based on this military component alone, we can say that they (NATO countries) are probably not ready," he concluded.
Unaambiwa chuma ilikuwa imebeba vichwa sita na kila kichwa kilikuwa na watoto sita. West hapo lazima wakalishwe chini. tulikuwa tunasikia story sasa Putin katuonehsa kuwa vitu anavyo. tukumbuke oreshnik ni mdogo wake na ile chuma tuliyosikia inabeba vichwa 15 anbayo inweza samabaratisha Ulaya nzima kwa dakika 15.Hatari sana
Ilipiga vilivyo kwenye kiwanda imara chini ya ardhi cha silaha na kulikuwa na 'vijana' nguli wa west wakifanya maandalizi ya uzalishaji wa makombora hapo mwakani.Mpaka sasa nashindwa kuelewa kwanini Oreshnik imetingisha vichwa vya habari hivi Dunian?, maana Russia imeshawah kutumia hypersonic missiles sijui Iskander etc, kwann hili limetingisha Dunia? Kuna nn kimetokea uko Ukrain? Au ni sehemu iliyopiga ndo imekuwa gumzo? Maana hypersonic missiles imekuwa ikifyatuliwa na Russia na hakuna air defense yyte iliyokuwa inaweza kuzuia, nini asa cha upekee wa Oreshnik mpaka Dunia imekuwa gumzo, mwenye taarifa, aelezee kwa undani.
Oreshnik imepenya kwenye bankers ambazo walikuwa wanaamini ni nulear pekee inaweza penya. kwa kifupi West wamepigwa kwenye mshono. BBC imethibitisha hiloMpaka sasa nashindwa kuelewa kwanini Oreshnik imetingisha vichwa vya habari hivi Dunian?, maana Russia imeshawah kutumia hypersonic missiles sijui Iskander etc, kwann hili limetingisha Dunia? Kuna nn kimetokea uko Ukrain? Au ni sehemu iliyopiga ndo imekuwa gumzo? Maana hypersonic missiles imekuwa ikifyatuliwa na Russia na hakuna air defense yyte iliyokuwa inaweza kuzuia, nini asa cha upekee wa Oreshnik mpaka Dunia imekuwa gumzo, mwenye taarifa, aelezee kwa undani.
Ila hawajamaa utundu wao kama hujauona ana Kwa ana inakuwa ngumu kuamini yani.Hatari sana
Wakitoka kwenye kikao watakuja na jina lao la ilo kombora .Humu jukwaani Kuna watu wanajiona Wana akili sana kumbe watupu kabisa vichwani,
Hebu fikiria wakuu wa umoja wa kijeshi wenye nguvu kabisa hapa duniani wamekusanyana kujadili kombora moja TU lililorushwa na Urusi nchini Ukraine.
Kama wakubwa Hawa wameona hatari ya kombora hilo Leo Kuna Mtanzania mmoja TU anasema Urusi haman kitu.
Hivi sisi Watanzania tuko sawa kweli?
The powerful next-level, multiple-warhead battlefield weapon, which has been analyzed by the Pentagon, has prompted NATO to hold an emergency summit on Tuesday.
Hicho kikao wataishia tu kuamua kuangalia mechi ya Yanga vs Al hilah then kila mtu atachukua time yake coz hamna tena cha maana watajadiri 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁Wakitoka kwenye kikao watakuja na jina lao la ilo kombora .
hakuna wa kuzuia hypersonic missile yeyote.Ni kama kusema unaweza kuipiga risasi kw risasi nyingine,uwezekano ni mdogo sana.Tofauti ya hypersonic nyingine kama Khinzal na hii Oreshnik ni ukubwa wake na uwezo wa kubeba vichwa vya nuklia.Oreshnik inabeba vichwa sita na kila kimoja kina mabomu sita.Hata speed ya Oreshnik iko juu kuliko ya Khinzal.Kinachotisha ni kuwa kwa speed yake inamaanisha ulaya nzima inaweza kuwa ndani ya vilio chini ya dk 20.Oreshnik kapiga kwenye mshono wao.
Ukiona hivyo wanajiona wapo uchi na lolote linaweza kuwatokea na wasiwe na namna yoyote ya kuzuia.
Hizo hypersonic wanaweza kuzizuia ila kwa kuwa wanazo air defence zake ila Oreshnik imewatisha sana.
Asymmetrical retaliation!!!This time nato wamepigwa panapouma