LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
The U.S. may resume military aid to Ukraine if there is progress during talks with Kyiv in Saudi Arabia this week, U.S. Secretary of State Marco Rubio told journalists on March 10 en route to Jeddah, The Guardian reported.
It may,if it sells it's to USA
 
Safi sana Zelensky,sio Kila siku watu wako wanauwawa unaishia kulaani.

Mashambulizi ndani ya Russia tena Moscow ndio yatawalazimisha Kukaa mezani.

Inatakiwa uandae mashambulizi kama haya kwenye Miji 5 Kwa mpigi watu wafe ndio Putin atapiea pressure na watu wake vita itaisha 👇👇

View: https://x.com/MwanzoTvPlus/status/1899418390176891191?t=QOFSyVy5P0wgiIE3se3jbA&s=19

Pale timu imefungwa goli 20 halafu nayo ikafanikiwa kupata 1 jinsi mashabiki wake wanavyoshangilia.

Aisee hongereni sana, kupata hakuna kudogo. Mmekaa kiunyonge sana muda mrefu, hivyo shangilieni hata mmapopata mpira wa kurusha
 
Kumbe Tanganyika inawauzia umeme MAREKANI
1741710726566.jpeg
 
Jamaa wanaingia mbavuni
1741710906708.jpeg

Jamie White, whom Ukraine put on the Ukranian enemies (and death) list was brutally murdered.

Alex Jones: “We are deeply saddened to inform you that InfoWars Reporter Jamie White was brutally murdered around midnight Sunday night due, in part, to the policies of the Soros Austin, TX D.A. Jose Garza.

We pledge that Jamie’s tragic death will not be in vain, and those responsible for this senseless violence will be brought to justice.

Jamie’s important work will be carried on through InfoWars, our readers, and our cherished listeners.”
 
Oil supplies through the Druzhba pipeline from Russia to Hungary are halted due to a Ukrainian drone attack on a metering station on Russian territory, Hungarian Foreign Minister Peter Szijjarto said on March 11 on Facebook.
 
Ukraine’s army remains the country’s primary security guarantee, and it’s important to consider what its armed forces should look like in the future, French Armed Forces Minister Sébastien Lecornu said.
 
BREAKING: Ukraine has agreed to accept a US proposal for an immediate 30-day ceasefire and to take steps toward restoring a durable peace after Russia's invasion, according to a joint US-Ukraine statement. Follow live updates:
 
The United States will not provide military aid to Russia, U.S. Secretary of State Marco Rubio told reporters on March 10 in a curious comment ahead of U.S.-Ukraine talks.
Huu Sasa ni upuuzi, siyo Kila kitu ukusikia tu unaleta kupost humu. Tangu lini USA akatoa military aid to Russia?
 
Back
Top Bottom