COMPTON BLVD
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 682
- 615
Walisha acha ujinga, nowadays simu zote zinazotoka za huawei ni kali level za kimataifa.Huawei wanajitahidi sana kwa sasa products ziko vizuri sana level za kina Qualcomm wakati walianza na products kama za tecno mtk
Tecno wakiacha ujinga watafika level hizi pia