SPECIAL THREADS: Post home screen (Mwonekano) wa simu za wana JF

SPECIAL THREADS: Post home screen (Mwonekano) wa simu za wana JF

Screenshot_20201229-122618.jpg
 
Nimepitia home screen za wadau baadhi yao internet inasoma Edge yaani kialama cha E kipo juu ya screen, wengine ma experts kabisa nimeshangaa sana.
Kibongo bongo kwenye technology za internet bado sana inakua taratibu,kwa sasa asilimia kubwa wako 3G na wanatoka taratibu pia ukiangalia mitambo mingi ya kampuni za simu zimewekwa kiubaguzi kuna mahali hamna 2G tu,kuna mahali 3G tu, sehemu chache 4G...baada ya miaka mitano au kumi mbele ndipo wengi watakua 4G na mitambo itakua sehemu nyingi kama 3G.
 
Very customizable ndio maana naprefer android to ios
Screenshot_20201229-134234.png
Screenshot_20201229-134207.png
 
Kibongo bongo kwenye technology za internet bado sana inakua taratibu,kwa sasa asilimia kubwa wako 3G na wanatoka taratibu pia ukiangalia mitambo mingi ya kampuni za simu zimewekwa kiubaguzi kuna mahali hamna 2G tu,kuna mahali 3G tu, sehemu chache 4G...baada ya miaka mitano au kumi mbele ndipo wengi watakua 4G na mitambo itakua sehemu nyingi kama 3G.
Sio kwamba baadhi yetu uelewa mdogo simu inasoma 2G unabaki kulalamika mtandao flani wa simu upo slow kumbe ndivyo ulivyoicomand simu yako Kwa kuweka option ya 2G badala ya 3G na wengine huweka simu zao zichague automatic
Kulingana na mazingira yetu simu huona urahisi kukimbilia 2G kwani 4G huona kama mlima in mrefu kuupanda
Ata wewe upewe option ya kupanda au kushuka utachagua kushuka tu
 
Sio kwamba baadhi yetu uelewa mdogo simu inasoma 2G unabaki kulalamika mtandao flani wa simu upon slow kumbe ndivyo ulivyoicomand simu yako Kwa kuweka option ya 2G badala ya 3G na wengine huweka simu zao zichague automatic
Kulingana na mazingira yetu simu huona urahisi kukimbilia 2G kwani 4G huona kama mlima in mrefu kuupanda
Ata wewe upewe option ya kupanda au kushuka utachagua kushuka tu
Swala la kuforce ikae 3G kama uko maeneo ya mjini sawa, lakini kama unazunguka kuna maeneo hayana minara ya 3G au coverage iko chini sana kiasi kwamba simu itasumbua sana na kupelekea kusoma emergency calls.
Sometimes unakuta eneo lina watumiaji wengi ukilinganisha na mnara uliopo ivo bandwith inakua ndogo lazima isumbue ata kama umeforce.

So ni uamuzi wa mtu ailazimishe au aiache ichague yenyewe kulingana na coverage ya minara ya 2G,3G na 4G eneo alipo.

Simu hua inachagua kulingana na coverage ya minara eneo husika kama coverage ni ndogo ukilazimisha 3G lazima ikusumbue kwa kua slow ama ikate kabisa isome emergency sometimes ata 2G haipo lakini kama coverage ya eneo husika ni zuri haitashuka kama ni la mawenge itakua inashuka na kupanda bila shida na usijue kwa jinsi itavokua inaswitch very fast.
 
Jailbreak your iPhone utapata feature zote unazotaka
Mkuu features nazoweza pata nikiunlock bootloader na kuroot Android, jailbreaking haifikii kabisa mfano kama kubadili OS na kernel tweaks.
Android kuna uhuru limit pekee ni maarifa yako.
sio lazima ungojee Devs kujailbreak firmware mpya kama ilivyo kwa ios.
kingine jailbreaking inatumia vulnerability kama malware zinavyofanya ndio maana apple wako fast kuzipatch.
kiuhalisia iPhone si za customization huwezi pata kile android inachoweza kuoffer once umekua SuperSU.
 
Mkuu features nazoweza pata nikiunlock bootloader na kuroot Android, jailbreaking haifikii kabisa mfano kama kubadili OS na kernel tweaks.
Android kuna uhuru limit pekee ni maarifa yako.
sio lazima ungojee Devs kujailbreak firmware mpya kama ilivyo kwa ios.
kingine jailbreaking inatumia vulnerability kama malware zinavyofanya ndio maana apple wako fast kuzipatch.
kiuhalisia iPhone si za customization huwezi pata kile android inachoweza kuoffer once umekua SuperSU.
Umeongea vizuri sana mkuu, and for real even uki jailbreak ios huwez fikia features za ku root and kuweka custom rom ya android but most custom rom hazina stability
 
Umeongea vizuri sana mkuu, and for real even uki jailbreak ios huwez fikia features za ku root and kuweka custom rom ya android but most custom rom hazina stability
Ni kweli mkuu,na the reason behind ni varying hardware specifications across izi
Simu.
ROM zinahitaji kuwa modified ku include respective hardware drivers za iyo simu ili kila functionality ya simu husika iweze kufanya kazi vizuri.
na developer wengi wa izi custom ROM wapo nje ya Afrika ivo wamebase na brand kubwa kama samsung,google pixel,nexus n.k.
ukipata au kwa maarifa kidogo ukitengeneza maalum au kumodify existing custom ROM kwa ajili ya simu yako utafurahi sana ni very stable ata kuliko stock ya manufacturer.
unakuta mtu ana flash custom ROM ya Samsung kweny tecno lazima iwe unstable na asipokuwa na bahati simu ina brick kabisa.
 
Back
Top Bottom