ila tushukuru kwa kila jamboila jamani soka letu badp lipo chini sana ona warabu walivyokuwa wanacheza unaona kbsa kuna kitu wanakitafuta tofauti na yanga ambao walikuwa wanakimbia kimbia uwanjani km watoto wa bata yaan bila malengo!!
na leo tumeshuhudia jinsi wachezaji wazawa viwango vyao vilivyo vidogo wakina chirwa umuhimu wao umeonekana
kichwa Kama parachichiYoung Africa Sports Club hii ni aibu kubwa sana mchezo dhidi ya USM Alger,
Magoli ni 4-0,
Ball possession 76% kwa 24%,
Shots on target 9 kwa 1,
Shots off target 8 kwa 2 na
Total passes 750 kwa 232
Nani amewaloga?
Tusiwalaumu ,Yanga walikuwa wanacheza na Wazungu leoYoung Africa Sports Club hii ni aibu kubwa sana mchezo dhidi ya USM Alger,
Magoli ni 4-0,
Ball possession 76% kwa 24%,
Shots on target 9 kwa 1,
Shots off target 8 kwa 2 na
Total passes 750 kwa 232
Nani amewaloga?
Hii kesi ni Ya Yanga ..watanzania haituhusu na si kila mtanzania ni YangaHakuna kitu Mtanzania anachoweza. Ukiondoa mambo ya umbaji wa MUNGU, Hivi Tanzania inatambulikaje nje ya mipaka yetu?
Ila huwezi kuifananisha na Yanga. Brazil hata ikifungwa magoli 70 bado huiwezi kuifananisha na Yanga. Tukubali tu kuwa bado hatujafikia huko na Watz wengi wanapenda kujifariji na kujifananisha na timu zingine zilizofungwa ambapo kimsingi ni kosa kubwa sana kujifunza kwa waliofungwa ndiyo maana kila tukicheza na mechi za nje tunafungwa.4 tu, mbona Brazil alipigwa saba nunge nyumbani kwao?
Uwanja wao, mashabiki wao?
Ifike mahala tuone aibu. Kuwa na hasira kutukana n.k hakusaidii kbsa. Inakuwaje sisi tuwe watu wa kufungwa tu? Inakuwaje ligi ya nyumbani timu inafanya vizuri lkn nje inafungwa? Hebu jiulize ligi ya hapa nyumbani kuna timu inaweza kuifunga Yanga 4-0? Km hakuna huko nje vipi? Ukitaka kufanikiwa jifunze kwa waliofanikiwa,kichwa Kama parachichi
Palipo na ukweli lazima pazungumzwe. Kuna wakati inafika mpaka mwenyew unaona aibu kuwa mshabiki wa timu fulani. Tuache mzaha kwenye soka, tucheze mpira wa ushindi. Kwa matokeo hayo ni aibu sana.Acha ujinga.....badala ya kutuuliza tufanyeje wawakilishi wetu wametuangusha. Unaanza kukenua meno kama mwehu. Stupid
mkuu tunaongelea Yanga sio Brazil[emoji2] [emoji2] [emoji2]4 tu, mbona Brazil alipigwa saba nunge nyumbani kwao?
Uwanja wao, mashabiki wao?
Huoni wote Wana vaa njano?mkuu tunaongelea Yanga sio Brazil[emoji2] [emoji2] [emoji2]