Acha dharau zako ww ntakuchapa ohoo!!!Hakuna kitu Mtanzania anachoweza. Ukiondoa mambo ya umbaji wa MUNGU, Hivi Tanzania inatambulikaje nje ya mipaka yetu?
Umeenda mbaliii. Eeeeh!Acha dharau zako ww ntakuchapa ohoo!!!
Tanzania inatambulika kama nchi ya kwanza Africa masharik na kat kwa kuwa na vijana makini kwenye usafirishaji Wa madawa ya kulevya
Kwanini ulichagua hii Avatar ndugu?ila tushukuru kwa kila jambo
coz nawapenda sana hawa viumbe ni mabest friend Wang San mkuu.Kwanini ulichagua hii Avatar ndugu?
Hata wangekuwepo wasinge badili hayo matokeo mmealiaibisha taifa.Ulitegemea nini timu haina robo tatu ya wachezaji wake wa kikosi cha kwanza?Yondan, Tshimbi, Ajibu, Ngoma, Chirwa, Tambwe,
Walikuwa wapi? Au wao sio wa "kimataifa"?Ulitegemea nini timu haina robo tatu ya wachezaji wake wa kikosi cha kwanza?Yondan, Tshimbi, Ajibu, Ngoma, Chirwa, Tambwe,
Sema soka la Yanga...Kiujumla soka la Tanzania ni Upumbavu Mtupu...
nyie Clouds ndio maana Wasafi TV wanakuja kuwashikisha adabu ..anafungwa Liverpool, PSG etc hizo goli uandishi kanjanja..Juventus anapigwa fainali 4 na Madrid acheni use#5nge..mnabania kupiga nyimbo kibwege Wasafi wanapiga nyimbo za King kiba rival?...vijana wamewachoka your days are numbered mark my words[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 768745
Mkuu labda tumtegemee diamond platinum akienda ku perform kombe la duniaHakuna kitu Mtanzania anachoweza. Ukiondoa mambo ya umbaji wa MUNGU, Hivi Tanzania inatambulikaje nje ya mipaka yetu?