Special Treads for USM ALGER VS Dar es Salaam Young Africa

mbona unanilisha maneno hivi Kuna sehemu hapo nimefurahia kufungwa goli 4. Soma kwa makini comment kabla hujamquote mtu
 

Umeongea uhalisia.
 
Msiwakatishe tamaa wachezaji wetu... Wamekufa kiume hasa. Mpango ulikuwa wafungwe 7 ila wachezaji walijitahidi kuzuia hizo tatu zisifungwe hivyo mpira kuisha matokeo ni 4 kwa nunge/tairi au yai. Mechi ijayo zitarudi.
 
Acha ujinga.....badala ya kutuuliza tufanyeje wawakilishi wetu wametuangusha. Unaanza kukenua meno kama mwehu. Stupid
Muulize msemaji wenu yanga! Alivyopiga kauli ya Manara ya kuweka utaifa mbele mlifurahi sana, na kusema wanasimba tunataka kujificha kwenye kivuli chenu,
Pambana tu na hali zenu. UMOJA MLIUKATAA WENYEWE
 
Povu la nini mkuu
 
Umeongea point mkuu,
Mi wakti wameitoa timu ya Ethiopia nilisema kua Yanga wanaweza wakafurahia kupata hiyo 600m afu wakajua kua ndo ubingwa, wakasahau kua mashindano yanaendelea.
Kuweka kumbukumbu sawa
Yangu alitolewa kwenye Club bingwa Africa ndo ikaja kucheza shirikisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…