Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
mbona unanilisha maneno hivi Kuna sehemu hapo nimefurahia kufungwa goli 4. Soma kwa makini comment kabla hujamquote mtuHizo kauli zako ndizo huwa zisitaki kbsa hata kuziona. Unafurahia kufungwa 4-0? Yanga unaweza kuilinganisha na Brazil? Hata kea miaka 100 huwezu kuilinganisha. Mgomo kwa wachezaji kwasabb hawajalipwa huu ni upuuzi sitaki hata kuisikia. Si waache kucheza kwann Yanga ndiyo timu pekee? Wafrika tunasafari ndefu sana ktk uwanjwa soka.
Kuna wakati huwa naona ni upuuzi tu kushabikia hizi timu za nyumbani. Unafungwa 4-0 bila unajisifu?
Shubamit