Special Treads for USM ALGER VS Dar es Salaam Young Africa

Special Treads for USM ALGER VS Dar es Salaam Young Africa

ila jamani soka letu badp lipo chini sana ona warabu walivyokuwa wanacheza unaona kbsa kuna kitu wanakitafuta tofauti na yanga ambao walikuwa wanakimbia kimbia uwanjani km watoto wa bata yaan bila malengo!!

na leo tumeshuhudia jinsi wachezaji wazawa viwango vyao vilivyo vidogo wakina chirwa umuhimu wao umeonekana
Mpira ni akili kama ilivyo akili ya kuwa daktari au engineer. Ukiongea watu hawakuelewi but that is the reality. Wachezaji wetu hawana akili ya darasani wala ya mpirani. Yote haya ni zao la elimu yetu mbovu. Isiyofikirisha, isiyochunguzisha, isiyoibusha vipaji na umahiri. Elimu yetu haijengi akili. Imekaa kukata na kupaste tu na kucopy copy, kufanya mitihani na kusubiri ajira zisizokuwepo. This country is doomed. Shida unayoiona uwanjani ndio shida ipo kila sector. Tunatia huruma.
 
Mpira ni akili kama ilivyo akili ya kuwa daktari au engineer. Ukiongea watu hawakuelewi but that is the reality. Wachezaji wetu hawana akili ya darasani wala ya mpirani. Yote haya ni zao la elimu yetu mbovu. Isiyofikirisha, isiyochunguzisha, isiyoibusha vipaji na umahiri. Elimu yetu haijengi akili. Imekaa kukata na kupaste tu na kucopy copy, kufanya mitihani na kusubiri ajira zisizokuwepo. This country is doomed. Shida unayoiona uwanjani ndio shida ipo kila sector. Tunatia huruma.

duh! hili neno kaka hongera sana
 
Acha ujinga.....badala ya kutuuliza tufanyeje wawakilishi wetu wametuangusha. Unaanza kukenua meno kama mwehu. Stupid
ha ha ha ha, Unenikumbusha ile clip ya yule shabiki wa Yanga aliyempiga kofi mbwa koko - Hasira za kufungwa na Simba.
 
Ila huwezi kuifananisha na Yanga. Brazil hata ikifungwa magoli 70 bado huiwezi kuifananisha na Yanga. Tukubali tu kuwa bado hatujafikia huko na Watz wengi wanapenda kujifariji na kujifananisha na timu zingine zilizofungwa ambapo kimsingi ni kosa kubwa sana kujifunza kwa waliofungwa ndiyo maana kila tukicheza na mechi za nje tunafungwa.
"mbona Saudia Arabia ilifungwa 7-0 na ujerumani'' Hebu jiulize hivi sisi Tanzania tumecheza hata kombe la Africa? Hata leo ukiulizwa lini mtacheza kombe la dunia? Hujui
Ifika mahala tuone aibu, tuwekeze kwenye soka.
Raha ya mpira nikiona timu yako ya taifa au klabu ya nyumbani inapata ushindi na kuchukua kombe

Wenzetu wana mipango ya miaka kumi ijayo huku kwetu waziri husika dk mwakyembe yupo wizarani kwa kazi maalum ya kufungia magazeti yanayomkosoa mkuu na kupiga porojo za uwekezaji kwenye michezo huku serikali haitoi hta mia
 
Ulitegemea nini timu haina robo tatu ya wachezaji wake wa kikosi cha kwanza?Yondan, Tshimbi, Ajibu, Ngoma, Chirwa, Tambwe,

Wamesajili wachezaji 29 kwaajili ya Ligi, kukosekana kwa hao isiwe sababu, Tatizo hata hao waliokwenda wana nidhamu ya woga. kinachosumbua Yanga ni posho/mishahara/ mafao ya wachezaji, hao ambao hawakwenda wanajitambua.
 
Ifike mahala tuone aibu. Kuwa na hasira kutukana n.k hakusaidii kbsa. Inakuwaje sisi tuwe watu wa kufungwa tu? Inakuwaje ligi ya nyumbani timu inafanya vizuri lkn nje inafungwa? Hebu jiulize ligi ya hapa nyumbani kuna timu inaweza kuifunga Yanga 4-0? Km hakuna huko nje vipi? Ukitaka kufanikiwa jifunze kwa waliofanikiwa,
mpira wa Jana uliangalia wachezaji waliocheza
hivi haujui kuwa Kuna mgomo wa wachezaji kutolipwa pesa zao za mishahara
mbona mnataka kulaumu timu wakati tunajua mapito inayopitia. Binafsi naona wachezaji waliocheza Jana Ni wazalendo Na wanastahili pongezi. Kufungwa nne sio ishu hata blazil ilifungwa saba. Cha muhimu tunaoijua yanga tunajua Ni mapito Tu timu itakuja kaa sawa
 
Ulitegemea nini timu haina robo tatu ya wachezaji wake wa kikosi cha kwanza?Yondan, Tshimbi, Ajibu, Ngoma, Chirwa, Tambwe,
hawa wengine mkuu mpira hawafuatilii hata wachezaji waliocheza Jana hawawajui. Kazi kuponda bila mantiki
 
Tuweke kumbukumbu sawa halafu ndo tuendelee na majadiliano
IMG_20180507_095119_221.jpg
 
Lilipo ingia la 3
Kwanza Niliona napoteza usingizi wangu burebure
Najisikiaga Amani Simba wakienda nje walau kidogo hatupati Aibu kama hii
kwani Simba awakuwemo katika haya mashindano
ALHAHOOD 5 SIMBA 1
LIBOLO 4 SIMBA 0
 
Tatizo ya timu zetu wanaangia katika mashindano bila ya malengo na mtarajio.
Uwezi shindana bila ya matayarisho una bajeti ya mashindano.
Yanga hadi kufikia hapo aikuwa matarajio yao imekuja kama bahati tu.
Na viongozu kusema ukweli kwao ni mwiko ni Uongo kwa kwenda mbele.

Hii timu inamilikiwa na wanachama kama kuna tataizo mnarudi kwa wenye kumiliki timu na kuwaeleza wao kama waajiliwa waone hao wanaomiliki timu watachukua uwamuzi gani?
Lakini wao viongozi wanaona kama ndio watawala na wanamaamuzi ya kila kitu.

Poor mchezo wa mpira katika nchi hii
Poor uongozi wa Yanga
Poor wanachama wa YANGA
 
Young Africa Sports Club hii ni aibu kubwa sana mchezo dhidi ya USM Alger,

Magoli ni 4-0,
Ball possession 76% kwa 24%,
Shots on target 9 kwa 1,
Shots off target 8 kwa 2 na
Total passes 750 kwa 232

Nani amewaloga?
Hawakupata Conner hata moja?
 
mpira wa Jana uliangalia wachezaji waliocheza
hivi haujui kuwa Kuna mgomo wa wachezaji kutolipwa pesa zao za mishahara
mbona mnataka kulaumu timu wakati tunajua mapito inayopitia. Binafsi naona wachezaji waliocheza Jana Ni wazalendo Na wanastahili pongezi. Kufungwa nne sio ishu hata blazil ilifungwa saba. Cha muhimu tunaoijua yanga tunajua Ni mapito Tu timu itakuja kaa sawa
Mwaka jana walitolewa na MC ALGER kwa kufungwa 4-0 na wachezaji wote wapo pamoja na DIDA, KAMUSOKO, MSUVA, NIOYONZIMA, CHIRWA, NGOMA na YONDANI.

Uwanja wa Taifa Yanga 1 MC Alger 1
Algeria MC Alger 4 Yanga 0 aya matokeoa ya mwaka jana

Tatizo ni matayarisho atuna tunakukurupuka tu na kucheza mpira wa Hamasa atuwezi kufika popote labda uwe mwaka wa bahati tu.
Tuache visingizio
 
Young Africa Sports Club hii ni aibu kubwa sana mchezo dhidi ya USM Alger,

Magoli ni 4-0,
Ball possession 76% kwa 24%,
Shots on target 9 kwa 1,
Shots off target 8 kwa 2 na
Total passes 750 kwa 232

Nani amewaloga?
Bado wamebeba kesi ya Manji akilini mwao!
 
mpira wa Jana uliangalia wachezaji waliocheza
hivi haujui kuwa Kuna mgomo wa wachezaji kutolipwa pesa zao za mishahara
mbona mnataka kulaumu timu wakati tunajua mapito inayopitia. Binafsi naona wachezaji waliocheza Jana Ni wazalendo Na wanastahili pongezi. Kufungwa nne sio ishu hata blazil ilifungwa saba. Cha muhimu tunaoijua yanga tunajua Ni mapito Tu timu itakuja kaa sawa
Hizo kauli zako huwa sizitaki hata kuzisikia. Unafurahia kufungwa 4-0? Yanga unaweza kuilinganisha na Brazil? Hata kwa miaka 100 huwezi kuilinganisha. Mgomo wachezaji kwasabb hawajalipwa ni sbb ya kijinga sana sitaki hata kuisikia. Si waache kucheza kwann Yanga ndiyo timu pekee? Wafrika tunasafari ndefu sana ktk uwanjwa soka.
Kuna wakati huwa naona ni upuuzi kushabikia hizi timu za nyumbani. Unafungwa 4-0 bila unajisifu?
Shubamit
 
Back
Top Bottom