Speculation zimekua ni nyingi sana, taarifa rasmi itolewe kuondoa taharuki

Speculation zimekua ni nyingi sana, taarifa rasmi itolewe kuondoa taharuki

Mkuu si nawasikiliza wakina Msukuma wakiongea madudu Bungeni kuhusu hiyo Kampuni na pia hao jamaa waliwahi omba kwenye Tenda za Transnet SA ili wapewe Durban na Eastern Cape hawakupata na karibu kampuni zote zilikosa zilichambuli wazipo kampuni nne ambazo moja ndio itapewa kazi...
Kwahiyo, zile tetesi za "wamepewa nyumba na mmoja amepewa LC series", huyo mmoja ndio Msukuma?
 
Na hz speculations zinakuja kutokana na hicho wenyewe mnakiita 'freedom of speech'. Jpm alifanya vizuri sana kuzuia hv vidomodomo......vinapotosha mno sababu hata jinga jinga tu lililoathiriwa kiakili katika malezi yake ya kiitikadi huko alikotokea anaweza kuja hapa jf na kuanzisha thread inayohusu bandari na kutupia uharo wake wooote.

Uhuru wa habari, ktk maendeleo ya taifa changa kama hili, una hasara kuliko faida. Huo unafaa ktk nchi za dunia ya kwanza ambako watu hawazungumzii kujenga barabara tena au reli au shule au mahospitali au maji; hivyo vilishakamilika na sasa wanatafura ladha zingine tu kama kuoana jinsia moja n.k.

Naunga mkono hoja, serikali itoe tu ufafanuzi......naamini itatoa wanasubiri tu mapovu yoote yaishe kwanza. Si unajua watu walivyolikurupukia suala la hili ili kujipatia umaarufu. Basi ni technique nzuri kuwasubiri wamalize maneno yao yote kabla ya kuwaambia ukweli. Kuna jamaa nasikia amesema hauna kikomo mkataba....yaani wa milele; hv kuna kitu kama hicho?!!!! Basi inasubiri tu wamalize wao kwanza na sio kwamba hawaoni.
 
Mbarawa ni Mzenji, Samia ni mzenji! Sifa ya wazenji ni uvivu na ufisadi.

Nchi yenye watu chini ya milioni 2, inashindwa vipi kujitosheleza kwa kila kitu?

Bado kidogo tu, mtasema lugha moja, Jiwe ni jiwe la pembeni.
Ndo hoja mlizobaki nazo; wamewahi kukuomba chalula mkuu?!!!!
 
Na hz speculations zinakuja kutokana na hicho wenyewe mnakiita 'freedom of speech'. Jpm alifanya vizuri sana kuzuia hv vidomodomo......vinapotosha mno sababu hata jinga jinga tu lililoathiriwa kiakili katika malezi yake ya kiitikadi huko alikotokea anaweza kuja hapa jf na kuanzisha thread inayohusu bandari na kutupia uharo wake wooote.

Uhuru wa habari, ktk maendeleo ya taifa changa kama hili, una hasara kuliko faida. Huo unafaa ktk nchi za dunia ya kwanza ambako watu hawazungumzii kujenga barabara tena au reli au shule au mahospitali au maji; hivyo vilishakamilika na sasa wanatafura ladha zingine tu kama kuoana jinsia moja n.k.

Naunga mkono hoja, serikali itoe tu ufafanuzi......naamini itatoa wanasubiri tu mapovu yoote yaishe kwanza. Si unajua watu walivyolikurupukia suala la hili ili kujipatia umaarufu. Basi ni technique nzuri kuwasubiri wamalize maneno yao yote kabla ya kuwaambia ukweli. Kuna jamaa nasikia amesema hauna kikomo mkataba....yaani wa milele; hv kuna kitu kama hicho?!!!! Basi inasubiri tu wamalize wao kwanza na sio kwamba hawaoni.
Freedom of speech is guaranteed, but not after speech?
 
Mama Tanzania

Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana.

Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu.

Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi wananchi ili kuondoa taharuki.

Mtu kama mimi nisiye na taarifa rasmi ukiniuliza hii habari nitakujibu kama pornographic movies enthusiasts na nitakuambia DP World means double penetration world

Hadithi ni nyingi muda ni mfupi.

Hivyo basi, Serekali inapaswa kutimiza wajibu wake, toeni taarifa rasmi toshelevu, acheni kuleta taharuki.
Wasiwasi ni akili.

Kelele zote hizo unadhani ni kweli watu hawana taarifa sahihi?
 
wanatoa wapi taarifa mkuu, umeona jana bi mkora kule bungeni katoa pooovuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kwa wanahabari eti atawachukulia hatua, hivi hawa jamaa wanaona watanzania ni wehu ama? kwanza jiulize kati ya kuku na yai nini kinaanza, yaani mbarawa kashatia wino yeye na genge lake then mnaambiwa eti mkataba umepelekwa bungeni kwa maoni SERIOUSLY? mwaka huu mtajua kama hamjui nawaambia. huwezi kupeleka bungeni ishu ambayo tayari mbarawa kashasaini yeye na genge lake kwa muongozo wa Hangaya NEVER.
Nauliza kwanini muwekezaji ameteuliwa kama MBUNGE WA VITI MAALUN?

Kwanini tenda haikutangazwa?
 
Back
Top Bottom