Speech za Idd Amin Dada: Andaa spea za mbavu zako!

Mr queen sir amu why did you phone me to this rope? #myRibs
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini haya mambo ya hotuba za Amini mnayaleta leo jamani? Au kuna kitu mnataka kulinganisha na mimi sijaelewa? Naomba msaada.
 

Mkuu MTAZAMO: Nina uhakika watoto wetu watakuja kuuliza kama Ngongo alivyouliza: Hivi hii speech ni ya ukweli?
 
Angalau historia inaonesha kuwa kuna chizi moja liliwahi kuwa rais...

ila lijamaa lilikuwa chizi sana, yaani mbele ya Queen unasema "Mr. Queen, sir".....and I can put my money kwamba lilikuwa halitanii bali lilikuwa serious...mbona kwingine lilikuwa linanyoosha kizungu cha kueleweka ambacho kwa kidhungu hicho hutarajii mtu kufanya makosa ya "Mr. Queen Sir.....horrible Ministers.....na mavimbwanga mengine"..
 
Ndo maana wanakimbia midahalo kabla ya uchaguzi, haya ni maajabu ya 2013. Leo nimepata ukweli kwa nin gazeti la Mwanahalisi lilifungiwa.
Na huyo ndiye mtu anayetumia pesa yetu yote kuzunguka dunia nzima eti kutuombea misaada. Kama hapa nyumbani amechemka kiasi hiki, huko anakodai kwenda kuomba misaada huwa anaongea kitu gani????
 
Hahahahah naona umetupiamo swagg za Idd Amin...

horrible best(in amin's voice) ha ha ha ujue wakati naisoma speech nilikuwa kwenye bus ikabidi nisitishe kusoma hapa ndo naendelea nakumbuka na vituko vya last king of scotland0
 

Mkuu MTAZAMO naomba kama una speech ya JK kwenye mkutano wa smart partnership dialogue utuwekee hapa,mzee wangu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MTAZAMO naomba kama una speech ya JK kwenye mkutano wa smart partnership dialogue utuwekee hapa,mzee wangu.
hiyo itakuwa nzuri kwasababu imepitia studio, omba nyimbo zake alizopiga live (maswali ya papo kwa hapo) ndo utaona utamu wake. mistari kama manufacturing of teachers ndo ingeonekana.
 
naskia ndio sababu ya Mwalimu Nyerere kutangaza vita na huyu jamaa ni baada ya kumwambia Babu wa watu kuwa ni mzuri kama kiburudisho...
 
horrible best(in amin's voice) ha ha ha ujue wakati naisoma speech nilikuwa kwenye bus ikabidi nisitishe kusoma hapa ndo naendelea nakumbuka na vituko vya last king of scotland0

Hahaha...ila kwenye The Last King of Scotland, Idd Amin walimfanya kilaza mno hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…