Speech za Idd Amin Dada: Andaa spea za mbavu zako!

@Maishamapya,watoto watapata hapa shuhuda!

Mkuu, What a coincidence! Kwa hiyo tunahitaji kuandika kitabu kingine "Another State of Blood" na kuweka huko speech hizi za mkulu wetu ili watoto wetu wapate kuthibitisha!
 
Mkuu, What a coincidence! Kwa hiyo tunahitaji kuandika kitabu kingine "Another State of Blood" na kuweka huko speech hizi za mkulu wetu ili watoto wetu wapate kuthibitisha!

Nataka wajukuu zangu wanikute na kucha na meno yangu!
 
Thank yu horrible minister MTAZAMO foo yu meki mai dei! Dah ilikuwa balaa
 
@Maishamapya,watoto watapata hapa shuhuda!

Mkuu, What a coincidence! Kwa hiyo tunahitaji kuandika kitabu kingine "Another State of Blood" na kuweka huko speech hizi za mkulu wetu ili watoto wetu wapate kuthibitisha!
 
jana ilikua balaa tupu na siku ile ya mkutano wa kwanza wa partnership dah mungu atusaidie
 
Linganisha na hii ya Raisi wenu: Ithink the... the issue of satisfied with MCC should have com... should havebeen asked me.
hahahaha aisee hapa tatizo wala sio lugha! Ni shalowness ya hio speech! Yani haina substance kabisa!
Dah walahi ushoga ndio huoo tunaukubali.
Jamaa yani full kunyenyekea as if those Americans are here for free. We are cursed I tell you! No hope for us, democracy ndio inatufanya tuchagua wajinga kwasbabu majority yetu ni wajinga!
Development by the ballot box only works effectively in a country with educated people.
 


Hahahahahaha.....
Hii kali asee lolest!
 


Hahahahaha...... Jana nilimuhurumia sana huyu mtu...... Afu alikuwa anaongea kinyongeeeeee daaaaah..... Tanzania kazi tunayo jamani.....
 

Bora udikteta wa Mseven na Kagame, nahisi hakupelekewa maswali kabla.
 

Iiiiiiihaaahaaahaaaaaaa! Kama Dhaifu vile jana kwenye press conference
 
Mkuu MTAZAMO hivi hizi speech ni za kweli au kuna kikundi cha watu walikuwa wanataka kuwachekesha dunia.

kuna movie za idi amini ambazo si za kuigiza bali ni clip original za baadhi ya mikutano na shughuli mbalimbali alizokuwa anazifanya english ya himo ni balaaa, jamaa alikuwa kama comedian flan wakati anaongea,kuna instructions alikuwa anatoa kwa baraza lake la mawaziri,ngeli ya humo ni balaaaaa.
 
Last edited by a moderator:

Dah
Hatariiiii
Mbavu zangu zinahemea juu juu sasa hv.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kikoloni soo mkuu, hii inatuambia kuwa, inabidi watoto wetu tuwapeleke shule za maana sana za kidhungu!.
Sipati picha Lowassa akiwa Rais, manake pia ni mwenzangu na mimi kwenye ngeli! Ila Kayanza Peter Pinda anakipiga!

Mtoto wangu mi nampeleka China, i believe he needs a lot of SKILLS and APPROPRIATE KNOWLEDGE, siyo maneno meengi tu bila utendaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…