Speech za Idd Amin Dada: Andaa spea za mbavu zako!


Mkuu georgeallen,sasa hapa tatizo ni nini,kukosa confidence,au nini hasa?More than ten yrs as cabinet minister,More than ten years in foreign affairs portifolio with a lot of exposure from outside world and more than five years as mkulu wa kaya,then the above,sielewi honestly
 
Mkuu MTAZAMO hivi hizi speech ni za kweli au kuna kikundi cha watu walikuwa wanataka kuwachekesha dunia.

Hizi za mwisho mwisho ni uongo..,nimebahatika kusoma historia na kuangalia video za Mheshimiwa Alhaj Eid Amini sijawahi kutana na uongo kama huo wa mwisho uloweka! He was a visionary..he had points all the tym..spare ur tym na tafuta mambo alofanya Eid Amini,utamuelewa vizuri...Rest in peace Eid Amini..may god bless you!
 
Last edited by a moderator:
Nimesikia aibu kweli.

Ni kama baba wa familia anajisifia jinsi ambavyo mke na watoto wake wamenunuliwa nguo na chakula na jirani yao tajiri!
 
Last edited by a moderator:
DUH...BASI nishapata jibu,nilikua najiuliza jeuri ya IDIAMIN kutamba TZ ni yake kumbe kichwani kulikua sio salama...NA WAGANDA SIJUI WALIKUTWA NA MKOSI GANI HUU MUNGU IBARIKI AFRICA, TANZANIA IN PARTICULAR...
 

Na hapa anaomba msaada: "But if they can do more.... please". Hahahahaaa!
 

Hitler lilikuwa jembe lingine Mkuu, japo kweli darasani jamaa kitabu kilikuwa hakipandi na hakupenda kabisa kusoma (ndoto zake zilikuwa kuwa mchoraji au mchungaji), lakini alikuja kuwa mwanasiasa na kiongozi wa kupigiwa mfano duniani, aliitoa ujerumani kutoka screpa mpaka nchi ya kuogopwa kwa kila kitu; hotuba zake zilikuwa za kijerumani fasaha, zilizopangiliwa kwa umakini sana zenye maneno yenye maana tupu, zilijaa uzalendo usiomithirika, ziliweza kumbadilisha mtu yeyote na kuwa royal kwa nchi yake, mara nyingi Hitler mara nyingi aliongea kwa ukali huku akionesha vitendo vyenye kugusa nafsi. Ni wanasiasa wachache, narudia tena...NI WANASIASA WACHACHE MNO WENYE KUFIKIA UWEZO WA HITLER KUANDAA NA KUPRESENT HOTUBA ZENYE KUSHANGILIWA KWA DHATI KUTOKA MOYONI!

"Germany will either be a world power or will not be at all."
– Adolf Hitler
 
I can imagine how wadhungu turned pink with fear after they heard, "undressing the queen"...lol!
 
Amin amezushiwa mengi sana!.. Rest In peace Kamanda Amin
 
So! is it true that, some people were born to rule and others just 2b ruled? i thnk this is happening in our today's world!
 
HA HA HA!!! Yaani kimombo bab kubwa!!!!
 
Ha Ha Ha! Hata mimi niliona alivyochemka!! Kumbe wengi mlinote!!!
 
"I am not a politician but a professional soldier. I am, therefore, a man of few words and I have been brief through my professional career."
Idi Amin, president of Uganda, from his first speech to the Ugandan nation in January 1971.


".
Hii ni nzuri sana.
 
Idd amin alienda bank anahitaji pesa akaambiwa mr. President hakuna hela a
 

Mi sijui tatizo ni nini?! sasa huyu ni President sijui First Lady alizunguza ki2 gani!? Hii aibu kabisa,aibu. Tunadharaulika? huenda obama na my wife wake wamecheka mpaka wanafika Washington. Mr. Dhaifu,we ni dhaifu mpaka kwenye lugha?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…