Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Wako vyema sana. Hai jamaa..
Ila kuna kaparcel naona kamefika bongo. Nilipompigia jamaa wa speedaf akaniambia huo mzigo umepitia posta.
Embu nisaidie mkuu naupataje happo posta?
Posta watakutumia SMS kuwa mzigo umefika, ipo inayofikia mjini na ipo inayofikia posta ya Kiji...
Kama una muda unaweza ukapita mwenyewe posta town pale upande wa parcel, ukiwapa tracking number watakuambia kama upo customs au wanao wenyewe tayari