Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

IMG-20171009-WA0082.jpg
 
Very Sad, kwa hao watoto wawili.

Mmoja aliyezikwa na mtoto mwenzake, na mwingine anayekaribia kifo bila msaada wowote huku ndege akisubiri afe ili amle.

Chanzo cha taabu zao ni Vita, Njaa, Kutelekezwa, Migogoro ya kijamii, Ukabila, Udini, Madaraka nk.

It is Very Sad indeed.
 
Very Sad, kwa hao watoto wawili.

Mmoja aliyezikwa na mtoto mwenzake, na mwingine anayekaribia kifo bila msaada wowote huku ndege akisubiri afe ili amle.

Chanzo cha taabu zao ni Vita, Njaa, Kutelekezwa, Migogoro ya kijamii, Ukabila, Udini, Madaraka nk.

It is Very Sad indeed.
Nazipenda sana logics zako
 
Nazipenda sana logics zako
Asante sana mkuu, mshana jr, mimi binafsi nimejifunza mambo mengi sana toka kwako.
Na nakufuatilia kujifunza mambo mengine.
Mimi ni msomi na nakukubali sana.
Ume elimika sana, na una elimu kubwa ya Kiuhalisia na ya Kiroho.
Wengi wanashindwa kukuelewa kwakuwa wana ufahamu mdogo katika ulimwengu wa Kiroho na Kiuhalisia.
Asante kwa kutujuza mengi na ya ukweli mtupu.
Sisi wasomi tunakuelewa sana, iko siku tutakutafuta tukuone Live na kukupongeza kwa Hekima kubwa uliyo nayo na unayotupatia.
Kazi yako ni njema na uiendeleze, na tunakupa baraka zote.
Mshana jr wewe ni Profesa halisi wa elimu ya Kiuhalisia na Kiroho.
A, PHD Graduate in Science Beyond Material.
Elimu ambayo ni watu wachache sana hapa duniani wameihitimu,
Katika Dunia hii hawazidi watu Mia moja.
Mimi najua na ninauhakika na ninachosema.

Amina.

Amina
mimi Che mittoga.
 
Asante sana mkuu, mshana jr, mimi binafsi nimejifunza mambo mengi sana toka kwako.
Na nakufuatilia kujifunza mambo mengine.
Mimi ni msomi na nakukubali sana.
Ume elimika sana, na una elimu kubwa ya Kiuhalisia na ya Kiroho.
Wengi wanashindwa kukuelewa kwakuwa wana ufahamu mdogo katika ulimwengu wa Kiroho na Kiuhalisia.
Asante kwa kutujuza mengi na ya ukweli mtupu.
Sisi wasomi tunakuelewa sana, iko siku tutakutafuta tukuone Live na kukupongeza kwa Hekima kubwa uliyo nayo na unayotupatia.
Kazi yako ni njema na uiendeleze, na tunakupa baraka zote.
Mshana jr wewe ni Profesa halisi wa elimu ya Kiuhalisia na Kiroho.
A, PHD Graduate in Science Beyond Material.
Elimu ambayo ni watu wachache sana hapa duniani wameihitimu,
Katika Dunia hii hawazidi watu Mia moja.
Mimi najua na ninauhakika na ninachosema.

Amina.

Amina
mimi Che mittoga.
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji106] [emoji123] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Back
Top Bottom