Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

LRM_EXPORT_20180924_132213.jpg
LRM_EXPORT_20180924_125525.jpg
 
Hii methali huwa siielewi hebu nifafanulie boss. Nasubiri nanasi lakini bado hamu yangu ya ile kitu ipo
Kwa ufafanuzi zaidi kuhusu methali ya "baniani mbaya kiatu chake dawa"

Baniani ni aina ya wahindi wafanyabiashara, kama walivyo singasinga, ambao wamekuwa in contact na East Africa kwa miaka mingi sana wakifanya biashara ikiwemo ya viatu (makubazi).

Walikuwa ni wakorofi sana, wanashurutisha watu kwenye kazi, hivyo waafrika hawakuwapenda kwa ubaya wao huo (ukorofi). Lkn kwavile waafrika hawakuwa na teknolojia ya viatu, walikuwa wanatembea pekupeku, walipata taabu saana na shuruba za miba na mengineyo yanayoambatana na kutembea peku.

Hivyo basi, viatu walivyokuwa wanauziwa na baniani ilikuwa ni dawa ya miiba na madhira ya kutembea peku.

Ndipo ikapatikana hiyo methali "baniani mbaya kiatu chake dawa"
 
AISEE KAKA UMENIKUMBUSHA KUNA MAKALA FLANI NILIISOMA, KUHUSU HUYO PHOTOGRAPHER ALIYEPIGA HIYO PICHA. AT LAST INASEMEKANA HUYO MTOTO ALILIWA NA HUYO TAI
Yeah jamaa akapata tuzo lakini naye akaja kujimaliza kwa sumu
 
Kwa ufafanuzi zaidi kuhusu methali ya "baniani mbaya kiatu chake dawa"

Baniani ni aina ya wahindi wafanyabiashara, kama walivyo singasinga, ambao wamekuwa in contact na East Africa kwa miaka mingi sana wakifanya biashara ikiwemo ya viatu (makubazi).

Walikuwa ni wakorofi sana, wanashurutisha watu kwenye kazi, hivyo waafrika hawakuwapenda kwa ubaya wao huo (ukorofi). Lkn kwavile waafrika hawakuwa na teknolojia ya viatu, walikuwa wanatembea pekupeku, walipata taabu saana na shuruba za miba na mengineyo yanayoambatana na kutembea peku.

Hivyo basi, viatu walivyokuwa wanauziwa na baniani ilikuwa ni dawa ya miiba na madhira ya kutembea peku.

Ndipo ikapatikana hiyo methali "baniani mbaya kiatu chake dawa"
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji123][emoji106][emoji115]learned the true origin
 
Kwa ufafanuzi zaidi kuhusu methali ya "baniani mbaya kiatu chake dawa"

Baniani ni aina ya wahindi wafanyabiashara, kama walivyo singasinga, ambao wamekuwa in contact na East Africa kwa miaka mingi sana wakifanya biashara ikiwemo ya viatu (makubazi).

Walikuwa ni wakorofi sana, wanashurutisha watu kwenye kazi, hivyo waafrika hawakuwapenda kwa ubaya wao huo (ukorofi). Lkn kwavile waafrika hawakuwa na teknolojia ya viatu, walikuwa wanatembea pekupeku, walipata taabu saana na shuruba za miba na mengineyo yanayoambatana na kutembea peku.

Hivyo basi, viatu walivyokuwa wanauziwa na baniani ilikuwa ni dawa ya miiba na madhira ya kutembea peku.

Ndipo ikapatikana hiyo methali "baniani mbaya kiatu chake dawa"
Daah shukrani sana boss
 
Back
Top Bottom