Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

🤗🤗🤗
20210525_230759.jpg
 
Single father tuna mitiani kwakwel. Nikionaga hiv naogopa ata kuja kuoa siku moja
Ndiyo maana nimehakikisha binti yangu kakua kwanza. Sikuweza kumwamini mwanamke ye yote aisee. Wanajua sana kujifanya wema wakati hujamuoa halafu siku ukimfikisha ndani ndo unagundua kuwa ni shetani...anakutesea mtoto wako anakua akiwa na physical na emotional trauma za kufa mtu. Hapana kwa kweli !
 
Ndiyo maana nimehakikisha binti yangu kakua kwanza. Sikuweza kumwamini mwanamke ye yote aisee. Wanajua sana kujifanya wema wakati hujamuoa halafu siku ukimfikisha ndani ndo unagundua kuwa ni shetani...anakutesea mtoto wako anakua akiwa na physical na emotional trauma za kufa mtu. Hapana kwa kweli !
Haya mambo ni magumu sana
 
Back
Top Bottom