Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia za kimbeya be hizi
Ndiyo maana nimehakikisha binti yangu kakua kwanza. Sikuweza kumwamini mwanamke ye yote aisee. Wanajua sana kujifanya wema wakati hujamuoa halafu siku ukimfikisha ndani ndo unagundua kuwa ni shetani...anakutesea mtoto wako anakua akiwa na physical na emotional trauma za kufa mtu. Hapana kwa kweli !Single father tuna mitiani kwakwel. Nikionaga hiv naogopa ata kuja kuoa siku moja
Haya mambo ni magumu sanaNdiyo maana nimehakikisha binti yangu kakua kwanza. Sikuweza kumwamini mwanamke ye yote aisee. Wanajua sana kujifanya wema wakati hujamuoa halafu siku ukimfikisha ndani ndo unagundua kuwa ni shetani...anakutesea mtoto wako anakua akiwa na physical na emotional trauma za kufa mtu. Hapana kwa kweli !
Nikuomba Mungu tu atusaidieHaya mambo ni magumu sana
Rare specieBlue eyes.View attachment 1797973
Naomba huyu mwamba aje awe rais miaka ijayo ainyooshe nchi tena. We need dictators once in a while...
Duh..! [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Naomba huyu mwamba aje awe rais miaka ijayo ainyooshe nchi tena. We need dictators once in a while...
Pengine mjukuu wake huyu!!!!! [emoji1787]Naomba huyu mwamba aje awe rais miaka ijayo ainyooshe nchi tena. We need dictators once in a while...
Jiwe!?[emoji23][emoji23][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Pengine mjukuu wake huyu!!!!! [emoji1787]