Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

JamiiForums-1060895343.gif
 
Ananikumbusha JKT. Tukaletewa buti mwisho namba 10. Mimi size yangu ikawa imekosekana, namba 11. Baadaye tena wakaleta namba 12. Nikapewa namba 12, afande akisema "kulia geuka", nageuka halafu naanza kupepesuka. Siku moja afande ikabidi aje akague aone kwenye miguu yangu kuna nini; akagundua kuwa nina buti namba 12! Akasema ndiyo maana unapepesuka kila wakati
 
Ananikumbusha JKT. Tukaletewa buti mwisho namba 10. Mimi size yangu ikawa imekosekana, namba 11. Baadaye tena wakaleta namba 12. Nikapewa namba 12, afande akisema "kulia geuka", nageuka halafu naanza kupepesuka. Siku moja afande ikabidi aje akague aone kwenye miguu yangu kuna nini; akagundua kuwa nina buti namba 12! Akasema ndiyo maana unapepesuka kila wakati
Hahahaha[emoji23]
 
Huyu macho yake yanao pia uwezo wa kuona visivyoweza kuonekana na macho ya wakubwa. God must be very beaultiful
God must be very beaultiful[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Back
Top Bottom