Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanangu alikua na hii tabia shida waga ni nini?Hivi vimjamaa unaweza kukesha usiku kucha unajaribu kuvifunika kuvikinga na Baridi ukachemka, Havifunikiki...[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2287221
Ni sehemu ya makuziMwanangu alikua na hii tabia shida waga ni nini?
Kwa kweli mambo siyo kabisa wanangu hata kwenda kusalimia kwa ndugu siwaruhusu wakiwa wenyeweWazazi na walezi wenzangu tuwe making na wale tunaowaacha na watoto Nyumbani......Mtoto hayuko salama Tena si kwa MJOMBA,SHANGAZI,BABU,BIBI,BINAMU, HOUSE BOY WALA HOUSE GIRL .........TUWEKE NAMNA YA KUFUATILIA MAHUSIANO YA WATOTO WETU NA WOTE WANAOISHI MAJUMBANI KWETU......LAKINI MWISHO KABISA TUMUOMBE MUNGU SANA ATUJALIE SALAMA KWA WATOTO WETU..View attachment 2774615
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ya zamani kiasiBaba mkubwa aliyetajwa kwa jina la Mohamed Said a.k.a Muddy, mkazi wa Tegeta-Msufini jijini Dar amepigwa pingu akituhumiwa kumfanyia ukatili wa kutisha wa kumsulubu mtoto wa kiume wa mdogo wake, mwenye umri wa miaka 6( jina linahifadhiwa). Inadaiwa kuwa Muddy alimchukua mtoto huyo kutoka kwa wazazi wake wanaoishi mkoani Mtwara kwa lengo la kuja naye Dar kwa ajili ya kumsomesha lakini kinyume na lengo hilo, jamaa huyo alipomfikisha Dar ilidaiwa alianza kumfanyia ukatili mtoto huyo wa dozi ya vipigo. Majirani walisema kuwa jamaa huyo amekuwa akimshushia kipigo mtoto huyo mara kwa mara kwa kutumia bomba la plastiki na waya wa umeme huku adhabu kama kumnyanyua miguu juu kichwa chini, kumnyanyua juu kwa kumshika masikio na kushinda muda mrefu bila kula vikiwa ni sehemu ya maisha ya mtoto huyo.
View attachment 2831603
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimeipata leo ila kwakuwa huu uzi sio wa live updates hakuna shidahii ya zamani kiasi