Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge

Pascal Mayala huwa aeleweki yuko upande gani .,sasa atatetewa na upande gani..unafiki ni kama upepo unavuma kusikoeleweka.

where to switch and abide.. you too have funny.
Mtu principled hawi na upande,daima anasimamia ukweli bila kujali huo ukweli umetokea upande gani.
 
wanasheria tunaomba elimu siye kina maamuma..... hivi kweli bunge lina uwezo kisheria kumhoji raia wa kawaida moja kwa moja?
mimi nilidhani bunge lilitakiwa kutoa malalamiko yake (au kushitaki) kwa vyombo husika vya dola kushughulikia hili kisheria?

kama kweli bunge lina uwezo wa kuhoji raia wa kawaida kienyeji namna hii basi sheria yetu ipo lopsided vibaya mno!!
 
Kuna siku nikiandika waliobaki kuhojiwa ni Paskali pamoja Dotti Bulembu,sasa amebaki mmoja ,pole sana kaka Paskali
 
Jibu jepesi, kichwa cha habari kinauliza.
Majibu YAO inatakiwa wayatoe either kukanusha kilichoandikwa au kuthibitisha.
 
Bunge gani hali limegeuka sehemu ya malumbano, wabunge wanalala na wakiamuka kila wanapiga tu meza
.....
 
Kabla ya kuwaita hawa ni vema Ndugai akaweka wazi hatua walizowachukulia Makonda na Mnyeti baada ya kuwahoji kwa kulidhalilisha bunge
 
nyie mna waandishi gani wazuri hata English tu inawashinda,roho mbaya na uuaji ndo vimejaza nafsi zenu.
 
Inanikumbusha Bunge enzi ya mwenyekiti wa hiyo kamati alikuwa Mbunge mmoja anaitwa Eliakimu Simpasa...watu waliitwa Bungeni kutoa maelezo nadhani wanajaza bus katika kipindi cha miaka 5
 
Kama vipi Pascal Mayalla na yeye atayarishe majibu kama yale ya Zitto Kabwe aliyoyatoaga kwenye ile kamati nadhani ilikua ya maadili mpaka jamaa wakaamua kuahirisha kumuita maana majibu yale yalikua hawayawezi kutoa majibu
Hahaha ....Zitto aliwatoa nishai wakabaki kutoa macho! Badala ya kuhoji wakajikuta wanahojiwa ....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…