Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mnaujua wenyewe, mnapewa hela kuchafua serikali
Nakubalina kabisa na Ndugu Dilunga: Kiwango cha KUVUMILIA kukosolewa KIMEPUNGUA awamu hii ya 5 (miye, kwa mtazamo wangu, KIWANGO cha KUVUMILIA kukosolewa KIMEKUFA KABISA awamu hii ya 5)...Mazungumzo ya Mhariri wa gazeti la Raia Mwema la Tanzania na Idhaa ya Kiswahili ya DW:
Hata mi nmeshindwa kuilewa hii kamati, mipaka yake ni ipi au haina mipaka?Hivi hii kamati ya maadili ya Bunge kazi yake ni kudhibiti maadili ya wabunge au umma?....manake ni kama hii kamati ndiyo polisi na mahakama
Asahau na vidole kabisaKashasahau madrip tayari kazi inaanza rasmi
Angekuwa was kigoma au ngara angeshaitwa mapemaa,Tusubiri mtu/watu kuitwa na UHAMIAJI kwa kutiliwa shaka uraia wao...
TUNGOJE