Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hapa wa kupumzishwa ni aliyemteua.Mwigulu apumzishwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa wa kupumzishwa ni aliyemteua.Mwigulu apumzishwe tu
sahihi wote wakapumzike tu.Hapa wa kupumzishwa ni aliyemteua.
Mimi ni CCM damu, nimejiunga 2007 kipindi wewe bado hujavunja ungo.Sawa msukule wa dikteta Jiwe
Mnyakyusa na mbege kweli? manka una matatizo sanaSasa waziri amkosoe nani?
Mbege hizi!
Nizile za makinikia au ni zipi hizi, na Mpina mpaka anaziulizia WENDA Kuna Jambo , au walishapigwa pesa kuwazima na kununulia mabasiSpika wa Bunge Dkt. Tulia Akson ameitaka wizara ya Fedha na Mipango kujibu upya swali namba 129 lililoulizwa na Mbunge Kisesa Luhaga Mpina, ambaye aliitaka serikali kutoa maelezo ya kwanini kesi 1,097 za kodi zenye thamani ya shilingi trilioni 360 na dola za Marekani milioni 181.4 hazijaamuliwa hadi sasa.
Hatua hiyo ya Spika imekuja baada ya majibu ya Naibu waziri wa Fedha na Mipango Hamadi Hassan Chande kwenda kinyume na swali la msingi la Mbunge Mpina.
Hata waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba alipojaribu kutoa ufafanuzi, maelezo yake hayakufanana na swali la msingi la Mbunge huyo wa Kisesa.
Baada ya Spika kuwahoji viongozi hao wa wizara ya Fedha na Mipango na kukosa majibu yanayoridhisha, ndipo akaamuru swali hilo likajibiwe tena kama ambavyo limeulizwa na Mbunge Luhaga Mpina.
CHANZO: TBC
View attachment 2364512
Inadaiwa kuwa Mwigulu Nchema ana PhD ya Economics kutoka UDSM! Kwa namna anavyopwaya nashawishika kuamini kuwa hii ya Mwigulu Nchema mayo ni PhD FEKIKuna Nchi inaongozwa na Mapaka👇😁😁😁
View attachment 2364515
Mwigulu ana ishi kimaarifa maarifa. Mama ana muona bonge la waziri. Kumbe nigarashaSpika wa Bunge Dkt. Tulia Akson ameitaka wizara ya Fedha na Mipango kujibu upya swali namba 129 lililoulizwa na Mbunge Kisesa Luhaga Mpina, ambaye aliitaka serikali kutoa maelezo ya kwanini kesi 1,097 za kodi zenye thamani ya shilingi trilioni 360 na dola za Marekani milioni 181.4 hazijaamuliwa hadi sasa.
Hatua hiyo ya Spika imekuja baada ya majibu ya Naibu waziri wa Fedha na Mipango Hamadi Hassan Chande kwenda kinyume na swali la msingi la Mbunge Mpina.
Hata waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba alipojaribu kutoa ufafanuzi, maelezo yake hayakufanana na swali la msingi la Mbunge huyo wa Kisesa.
Baada ya Spika kuwahoji viongozi hao wa wizara ya Fedha na Mipango na kukosa majibu yanayoridhisha, ndipo akaamuru swali hilo likajibiwe tena kama ambavyo limeulizwa na Mbunge Luhaga Mpina.
CHANZO: TBC
View attachment 2364512
Ya kwenda wapi?Safari imeanza
Kilele cha siasaYa kwenda wapi?
Hazipo kwenye nini, trilioni 360 haziko kwenye traabu na traat, mashauri haya ya kikodi yaya yayayayyayayayayayayayayayayayayayayayayayayyayayayayay trab na trat. Hilo jibu la Dr wa Tozo. Ndo maana kumbe njia pekee ya mapato ni tozoSpika wa Bunge Dkt. Tulia Akson ameitaka wizara ya Fedha na Mipango kujibu upya swali namba 129 lililoulizwa na Mbunge Kisesa Luhaga Mpina, ambaye aliitaka serikali kutoa maelezo ya kwanini kesi 1,097 za kodi zenye thamani ya shilingi trilioni 360 na dola za Marekani milioni 181.4 hazijaamuliwa hadi sasa.
Hatua hiyo ya Spika imekuja baada ya majibu ya Naibu waziri wa Fedha na Mipango Hamadi Hassan Chande kwenda kinyume na swali la msingi la Mbunge Mpina.
Hata waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba alipojaribu kutoa ufafanuzi, maelezo yake hayakufanana na swali la msingi la Mbunge huyo wa Kisesa.
Baada ya Spika kuwahoji viongozi hao wa wizara ya Fedha na Mipango na kukosa majibu yanayoridhisha, ndipo akaamuru swali hilo likajibiwe tena kama ambavyo limeulizwa na Mbunge Luhaga Mpina.
CHANZO: TBC
View attachment 2364512
Spika wa Bunge Dkt. Tulia Akson ameitaka wizara ya Fedha na Mipango kujibu upya swali namba 129 lililoulizwa na Mbunge Kisesa Luhaga Mpina, ambaye aliitaka serikali kutoa maelezo ya kwanini kesi 1,097 za kodi zenye thamani ya shilingi trilioni 360 na dola za Marekani milioni 181.4 hazijaamuliwa hadi sasa.
Hatua hiyo ya Spika imekuja baada ya majibu ya Naibu waziri wa Fedha na Mipango Hamadi Hassan Chande kwenda kinyume na swali la msingi la Mbunge Mpina.
Hata waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba alipojaribu kutoa ufafanuzi, maelezo yake hayakufanana na swali la msingi la Mbunge huyo wa Kisesa.
Baada ya Spika kuwahoji viongozi hao wa wizara ya Fedha na Mipango na kukosa majibu yanayoridhisha, ndipo akaamuru swali hilo likajibiwe tena kama ambavyo limeulizwa na Mbunge Luhaga Mpina.
CHANZO: TBC
View attachment 2364512